Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
And kwa kukusaidia tu, kuna jinsi ya hadi kupata fake likes Facebook na huko Instagram..
Unapata Likes za hizo hizo Account hewa... kama unahitaji darasa, njoo PM ili hata vile vizawadi vya likes wanavyotoa Tigo na Vodacom uwe unashinda..
So unaamini uwepo wa followers fake? Kivipi yani ebu tusaidie na sie tutambue. Pengine unakijua unachokiongea.
Ghost followers ni wale wamekufollow ila hawafanyi chochote kwenye account yako
Mimi ninayo account facebook na nimelike baadhi ya pages ikiwemo ya diamond yenye likes zaidi ya 840,000 ila huwa siingii mara kwa mara, inaweza kuwa mara moja kwa wiki..! Sasa watu kama mimi tupo wengi sana
Kitu cha pili kuna watu hawana mazoea ya kulike podt yani yeye anapita tu anaangalia afu anapotezea.. Chukulia mfano princess tiffah siku amezaliwa ile siku insta alipata followers zaidi ya 40,000 ila ile picha aliyopost kwa siku ile haikufika hata likes 25,000 kilichotokea ni mtu kaingia kwenye page yako ila hajafanya chochote ila kila ulichopost amekiona
Mfano wa mwisho kabisaaaa Youtube unaweza ukawa na subscribers wengi sana, mtu kaingia kuangalia video hajalike wala kudislike wala kucomment ila anauwezo wa kufanya yote hayo.. Unaweza kujidanganya kusema watu hawajaiona kwa kuangalia likes na dislikes, ila views zitakupa jibu sahihi jalokuwa mtu mmoja anaweza view zaidi ya mara moja ila si kwa kiwango cha kutofautiana kiivo.. My number one remix ya diamond ina likes na dislikes zisizofika 25000 ila inaviews zaidi ya mil 11 kwahiyo tusijidanganye watu hawazioni post, wapo ila wachache.....
Sasa labda uprove ni kwa namna gani watu wanapata followers fake, kwasababu kwenye instagram kuna sehemu kabisa unaweza kuangalia waliokufollow kwa majina yao, sijui msingi wa madai yako ni upi kwasababu kama ni uwiano kati ya followers na likes kutofautiana mbona ni kitu cha kawaida? Na je kama kuna fake followers kwanini kusiwe na fake likes? Kivipi mtu aweze kutengeneza fake followers ashindwe kutengeneza fake likes?
Kwa mfano kuna kipindi nilikuwa na followers 987 , likes napata 350-400 comments napata 44-120. sa sioni madai yako yanaposimama kama ushahidi wa madai yako unajigeza katika idadi ya comments na likes Vs number of followers.
Situation kama hiyo imewafanya wenzio waamini kuwa kuna watu wana followers fake, ndo kitu nilichokuwa nabishana na mdau hapo juu, wala haihitaji mathematics ya kiwango cha secondary kugundua kuwa kuna watu unao kwenye account yako lakini wao ni observers tu!
Ndo maana nikamuomba mdau hapo juu atuelezee jinsi ya kupata followers fake, na iweje hawa mastaa wetu wanatengeneza followers fake halafu wanasahau likes fake ili kuondoa mismatching kati ya followers vs likes.
Siamini kama kuna muujiza mwingine hapa unless mtu aje hapa aniprove wrong, hahhaha wabongo wanaamini ujanja ujanja kwenye kila kitu hadi followers!?
Wakati mwingine ubishi wala hausaidii chochote.. Nimekwambia hapa hizo fake account zinatengenezwa na zina DP/Profile Picture ya mtu kabisa, na hata hizo fake likes pia zinatengenezwa.. Na nimekuwekea hiyo video hapo sasa sijui kama umeangalia au lah, au unabisha ili mradi unabisha..
Hao Ghost Followers unaoongelea wapo Tanzania pekee??
Msanii wa Marekani mwenye Followers laki 4 anapata mpaka "LIKES" elfu 50 mpaka 60, Lakini Msanii wa Tz kama Wema mwenye Followers Million 1 anapata chini ya "LIKES" elfu 15, hapa inakuwaje?? Na kama hao Ghost Followers mostly ni wako Tanzania tena huko Instagram, kwanini tusiseme hao wao watu hawana akili sawasawa??
Hii post yako ndiyo iliyonifanya mi niongee hayo yote, ulivyokuwa unafanya comparison ya wasanii wa nje na wa huku kwetu, maelezo yako hapo juu ndiyo yalitaka kusema kuwa wasanii wa huku kwetu ndio wana hao followers fake, sioni kama nimekubishia kuhusu followers fake ila nimekukatalia prove ya followers fake kwa kujigeza kwenye likes Vs number of followers.
Ghost followers ni wale wamekufollow ila hawafanyi chochote kwenye account yako
Mimi ninayo account facebook na nimelike baadhi ya pages ikiwemo ya diamond yenye likes zaidi ya 840,000 ila huwa siingii mara kwa mara, inaweza kuwa mara moja kwa wiki..! Sasa watu kama mimi tupo wengi sana
Kitu cha pili kuna watu hawana mazoea ya kulike podt yani yeye anapita tu anaangalia afu anapotezea.. Chukulia mfano princess tiffah siku amezaliwa ile siku insta alipata followers zaidi ya 40,000 ila ile picha aliyopost kwa siku ile haikufika hata likes 25,000 kilichotokea ni mtu kaingia kwenye page yako ila hajafanya chochote ila kila ulichopost amekiona
Mfano wa mwisho kabisaaaa Youtube unaweza ukawa na subscribers wengi sana, mtu kaingia kuangalia video hajalike wala kudislike wala kucomment ila anauwezo wa kufanya yote hayo.. Unaweza kujidanganya kusema watu hawajaiona kwa kuangalia likes na dislikes, ila views zitakupa jibu sahihi jalokuwa mtu mmoja anaweza view zaidi ya mara moja ila si kwa kiwango cha kutofautiana kiivo.. My number one remix ya diamond ina likes na dislikes zisizofika 25000 ila inaviews zaidi ya mil 11 kwahiyo tusijidanganye watu hawazioni post, wapo ila wachache.....
Na ndio maana nikakwambia usiamini kwenye Ghost Followers pekee... Post yangu haikatai uwepo wa hao Ghost Followers lakini inawezekanaje kati ya Followers 1 Million upate Likes chini ya 15,000?? Ndio maana nikasema basi huo Mtandao kwa hapa Tanzania umejaa wajinga ambao hawajielewi... Na ndio maana mimi binafsi ninaamini hao watu lazima wanatumia njia hasi kupata hao fake followers..
In comparison ndio nikakwambia, mfano; Msanii wa Ulaya mwenye Followers 1 Million+ ukiangalia Post zake unakuta amepata mpaka Likes Laki moja au mbili.. Ndio nikahoji hao Ghost kwa uwiano huo wako Tz pekee?? Mfano mwingine mdogo ili uamini hawa watu wanao fake followers, inawezekanaje Diamond mwenye base all over Africa amzidi Wema kwa Followers laki 2 tu ambaye yeye anajulikana Tanzania pekee.. Wewe unaamini hilo?? Au Wema pia ana followers kutoka nchi zingine za Africa kama Nigeria na SA??
Ngumu sana kibongo kutumia watu ka kina shishi wasanii wana sifa na reputations mbaya kwa jamii ndo mana hawapati matangazo ka hayo ya makampuni makubwa tofauti na TV zinawatazamaji wengi rika zote na kila mtu anaona kiurahisi kutumia hao machangu ni kuzalilisha kampuni
Usiongee vitu kwa nadhari, instagram walitoa report ilikuwa mwezi wa 5 au 6 hivii kama sijakosea, kwamba wamefikisha watumiaji active waliotimia idadi ya milioni mia 3..
Wakati huohuo walitoa accounts ambazo zilikuwa ni spam na fake zooooote na Tanzania diamond wala wema hawakupungukiwa na followers hata 2000, ila justin bieber na kim kadarshian ndio walioongoza kupungukiwa na watu wengi, kwa Bieber walikuwa kaa mil. 2.5
Na mwezi wa 9 hivii walikuja kufanya tena cleaning na hapo hakuna alieathirika kiivo inamaana kwa sasa e erything is under control. Kusema mtu anaweza kujiongezea followers fake, hakuna hicho kitu ila likes unaweza ukajiongezea hadi zizidi idadi ya followers wako.
Utofauti wa wenzetu na sisi ni kuwa wao wapo active zaidi kwenye mitandao kuliko sisi, japo tatizo lipo pale pale. Ukiangalia beyonce ana zaidi ya followers mil. 52 ila likes anazopata ni kama mil 1 sasa jiulize hao mil 51 wapo wapi???? na sio kama hawapo active, ni kwa muda fulani tu na ujuwe tu insta sio kama watsaapa kusema uingie mara mia kwa siku, ninaweza ingia mara 2 tu, afu post nyingi zinakuwa zimenipita.. Ndio maana nikatoa mfano wa views na likes youtube ujuwe kuwa wengi hatuna hulka ya kulike
watu hapa naona wana kubishia ... sababu wanataka kukubishia.... ila hii ipo na iliwah tokea miaka allmost miwili imepta.... justine bieber ndo alipoteza followers weng sana... Japo sjajua kama na Wabongo wana Followers Fake.... af inakuaje watu wana followers million af likes hazifiki hata 20000 Hazifiki... japo ndio sio kila unachopost watu watapenda.... mfano wema post nyng likes zna range ya 12000 mpaka 15000 same to daimond...ambayo ni sawa na asilimia 1.5% ... Kwahyo mm ambae nna followers 140 Ila nna likes 30 ni sawa na asilimia 21.4% .... Ina Raha gani sasa... Sawa najua mtasema Anafikisha taarifa zake za kazi yake pale anapohitajiii... Lakini Kiukweli Followers Wa mitandaoni hawana maana yoyote Mda Mwingine... Mfano Mzuri Mwanamuziki wa Marekani Jay Z hajafikisha hat 500k.. Lakini unadhani akifanya kitu daimond na Jay Z nan Anaweza sikika Kwa urahisi?? Au Unadhani Kat ya Jay Z na Diamond nan Anafahamika hapa Dunian?? Huo Mfano Tuuuu... Ila kuna Wasanii Weng Wa Marekan Na Dunian Kwa ujumla Na wanafollowers wachache kuliko Wema... Lakini wana mafanikio, Fanbase Na Ushawishi mkubwa Kuliko wema ....
Nawapa mfano mwingine... Katika Football Wachezaji bora kabisa ni Mesi Na Christian Ronaldo... Lakini Messi amezidiwa na Neymar Kwa Followers...Katika Mtandao Huoo Wa Instagram Na Ronaldo Kampiku kwa Siku za Karibuni Tuu...So Manaake kwamba neymar alikua bora Kuliko hao...
Any Way Mtu Maarufu Tanzania Yaan Rais Mstaaf JK Hajafikisha hata 50K
Wakati Billionare Mo Dewj Pia Akiwa Na 21k...
MTu Maarufu Duniani Barack Obama Ana 5M Followers Wakat Beyonce Na Kim K wakiwa Na Zaid Ya 50m na Official Page ya Insta Wakiwa Na Zaidi Ya 100m Followers... Lakin Hao wote sizan kama Wanamzidi Bwana Obama kwa Mambo Mengi... Hii Ndo imewafanya Vijana skuiz wanahangaika kupost picha chafu mitandaon ili wapate followers wengi.. Ni Mtazamo Tuu
Usiongee vitu kwa nadhari, instagram walitoa report ilikuwa mwezi wa 5 au 6 hivii kama sijakosea, kwamba wamefikisha watumiaji active waliotimia idadi ya milioni mia 3..
Wakati huohuo walitoa accounts ambazo zilikuwa ni spam na fake zooooote na Tanzania diamond wala wema hawakupungukiwa na followers hata 2000, ila justin bieber na kim kadarshian ndio walioongoza kupungukiwa na watu wengi, kwa Bieber walikuwa kaa mil. 2.5
Na mwezi wa 9 hivii walikuja kufanya tena cleaning na hapo hakuna alieathirika kiivo inamaana kwa sasa e erything is under control. Kusema mtu anaweza kujiongezea followers fake, hakuna hicho kitu ila likes unaweza ukajiongezea hadi zizidi idadi ya followers wako.
Utofauti wa wenzetu na sisi ni kuwa wao wapo active zaidi kwenye mitandao kuliko sisi, japo tatizo lipo pale pale. Ukiangalia beyonce ana zaidi ya followers mil. 52 ila likes anazopata ni kama mil 1 sasa jiulize hao mil 51 wapo wapi???? na sio kama hawapo active, ni kwa muda fulani tu na ujuwe tu insta sio kama watsaapa kusema uingie mara mia kwa siku, ninaweza ingia mara 2 tu, afu post nyingi zinakuwa zimenipita.. Ndio maana nikatoa mfano wa views na likes youtube ujuwe kuwa wengi hatuna hulka ya kulike
Nakubaliana na wewe kabisa followers wengi ni feki aiingii akilini una followers 1.2m ukitoa post unapata likes 4000 na comments 50 tu wakati Justin Bieber akiweka post insta ndani ya dakika ina likes 25 elfu comments 4000....Insta za wabongo followers fekero.