Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi taarifa anayezitoa nani?[emoji28][emoji28]Sasa kama mpaka huyu Mwamba "Chief of staff" mkuu wa majeshi wa Urusi,anajeruhiwa kwenye battlefield,kwanini usiamini kilichoandikwa?
View attachment 2210792
Hiyo ni orodha ya majina na haina ugumu wowote kuipata ama kuitengeneza na Wala huitaji kuwa na idara ya ujasusi yenye weledi mkubwaUshahidi si umewekwa hapo majina vyeo na idara zao?
Wewe kanusha kwa ushahidi kwamba fulani wa idara fulani yupo hai.
Lete ya kwako ya ukweliiii dindgiiiiHiz propaganda za uongo wanaamin wajinga tu .hii list ulipo toa ni waongo
Sasa kama mpaka huyu Mwamba "Chief of staff" mkuu wa majeshi wa Urusi,anajeruhiwa kwenye battlefield,kwanini usiamini kilichoandikwa?
View attachment 2210792
Tunaongelea hiyo orodha kwa mapana yake Kama ilivyowasilishwaSasa kama mpaka huyu Mwamba "Chief of staff" mkuu wa majeshi wa Urusi,anajeruhiwa kwenye battlefield,kwanini usiamini kilichoandikwa?
View attachment 2210792
... Russia yenye watu wao waliotajwa kwa majina na vyeo hawajapinga anatokea mbogo asiyejua hili wala anaanza kupinga.Sasa wewe unaushauidi gani kuwa hao waliotajwa Ni kweli wameuawa?
... umefunga mjadala Chief. Jamaa wanachojua kwa sasa ni neno moja PROPAGANDA. Wamemaliza.UKRAINE wametoa list yenye majina,vyeo na vitengo vyao katika Jeshi la Urusi.Ni jukumu la Russia and proPutin kuelezea kwamba hiyo list ni ya uongo Kwa sababu Moja,mbili,tatu...wakiwa na DATA na sio kubisha tu kama uko kwenye vijiwe vya kahawa,ubishi wa Simba na Yanga🤔
‼️
Màteka wapya wa kirusi huko UKRAINE 🤔
In the Zaporozhye region, the Armed Forces of Ukraine took a new group of prisoners
... aombe msamaha; ila kwa kiburi kile sidhani.Putin ameiingiza Urusi choo Cha kike anashindwa kutoka manake anaona aibu!
... dogo anatoa dozi ya maana haswa. Wakati mwehu Putin anaua raia na chekechea wasio na hatia; Zelensky anapasua wenye combat na nembo tu; wengine wote wako salama.Comedian zelensky anatoa dozi huku analia.
Anajifanya kama amezidiwa hivi huku behind the scene anatoa kipigo cha kufa mtu.
Labda tuangalie data zinasemaje kuhusu nani wamepoteza wanajeshi wengi, hizo data ni mpaka jana may 3 ni za pande zote mbili, Russia na Ukraine fanya comparison utaona nani anapoteza wanajeshi sana.Chini Russia imepoteza wanajeshi wengi kuliko Ukraine ila wameua raia wengi Kwa kurusha makombora Yao kwenye maeneo ya raia.Majina yamewekwa na vyeo vyao paomoja na vitengo walivyokuwepo.Sasa uongo utoke wapi?
Thibitisha basi uncle?Mleta mada ni mwongo
Kweli ww ni Thomaso, dah! Unataka mpaka uletewe maiti zao au uoneshwe.Hiyo ni orodha ya majina na haina ugumu wowote kuipata ama kuitengeneza na Wala huitaji kuwa na idara ya ujasusi yenye weledi mkubwa
Hoja Ni ushahidi kuwa watu hao Ni kweli wamekufa
Hiz propaganda za uongo wanaamin wajinga tu .hii list ulipo toa ni waongo