Uko sahihi kabisa, pia kua na njia nzuri ya kukabiliana na msongo wa mawazo.Vidonda vya tumbo havitibiki kwa kunywa dawa, dawa inatuliza tu maumivu kwa mda flani then vinatibuka tena.
Vidonda vya tumbo vinatibika kwa kubadili tu life style ya maisha yako.
Mfano : kula chakula kwa wakati, kuepuka vitu vye asili ya asidi kama pili pili, tangawizi,ndimu n.k.
Kuepuka hasira zilizopitiluza, msongo wa mawazo/stress inabidi uviepuke sana.
Hapo utapona vidonda vya tumbo permanently
Hilo ni somo refu. Kiufupi tu RA ni kifupisho cha Rheumatoid Arthritis au kwa Kiswahili unaitwa Baridi Yabisi.Uo RA
Syndrome siyo ugonjwa, ni host wa magonjwa mengineSyndrome ndio Ugonjwa?
Afrika nzima Depression na Magonjwa ya akili huhusishwa na laana, ulozi, uchawi, mizimu na imani mbalimbali ilhali ni ugonjwa km magonjwa mengineyoDepression
* Saratani. Saratani ikigundulika hatua za mwanzo kuna wengi tu wanapona moja kwa mojaSalatani haijawahi kuwa na tiba popote pale duniani, ukiupata huu ugonjwa kinachobakia ni kusogeza siku tu
HakikaAfrika nzima Depression na Magonjwa ya akili huhusishwa na laana, ulozi, uchawi, mizimu na imani mbalimbali ilhali ni ugonjwa km magonjwa mengineyo
Tatizo kubwa kwetu ni kwamba tiba huanza baada ya ugonjwa kuwa umeshakomaa sana. Bado uwezo wetu wa kutambua magonjwa na kuyatibu yangali hayajakomaa hauridhishi. Halafu tatizo jingine nadhani vipimo vyetu vingi havijitoshelezi. Yaani dakatari anaweza kukupa dawa ya ugonjwa fulani kutokana na kipimo kimoja bila kuangalia kama kipimo hicho kinakubaliana na vipimo vingine; kwa hiyo tiba inakuwa ya trial and error.4. CKD ( Chronic Kidney Disease)
5. Liver Cirrhosis
6. Heart Failure
7. Rheumatoid Arthritis
Kwa ujumla uwezo wetu wa kutibu magonjwa sugu ya kudumu ni mdogo ukilinganisha na nchi zilizoendelea. Na hii ni kwa Afrika nzima.
Kuna sababu nyingi zinachangia km vile kutumia dawa za zamani, teknolojia ya zamani, uhaba wa wataalam wazuri na vifaa tiba, kipato duni cha wagonjwa n.k
Well said kakaTatizo kubwa kwetu ni kwamba tiba huanza baada ya ugonjwa kuwa umeshakomaa sana. Bado uwezo wetu wa kutambua magonjwa na kuyatibu yangali hayajakomaa hauridhishi. Halafu tatizo jingine nadhani vipimo vyetu vingi havijitoshelezi. Yaani dakatari anaweza kukupa dawa ya ugonjwa fulani kutokana na kipimo kimoja bila kuangalia kama kipimo hicho kinakubaliana na vipimo vingine; kwa hiyo tiba inakuwa ya trial and error.
Wahuni na wapuuzi km huyo Mzizimkavu only thrive in ignorant society km za huku kwetu AfrikaMzizimkavu asiione hii
Mkuu Jaundice inatibika?Hilo ni somo refu. Kiufupi tu RA ni kifupisho cha Rheumatoid Arthritis au kwa Kiswahili unaitwa Baridi Yabisi.
Ugonjwa huu hutokana na kinga ya mwili kuanza kushambulia joints( viungio) za mwili. Hii hutokana na mabadiliko mbalimbali ndani ya mwili na wengine huwa ni ugonjwa wa kurithi unaotembea ndani ya familia.
Hii hupelekea kuvimba, kuuma na kushindwa kufanya kazi kwa viungio( joints) mbalimbali vya miguu na mikono
Saratani haitibiwi kwa mionzi mkuu?Saratani haijawahi kuwa na tiba popote pale duniani, ukiupata huu ugonjwa kinachobakia ni kusogeza siku tu
Obstructive jaundice haijawahi kuwa na tiba mkuu.Mkuu Jaundice inatibika?