Mikdde
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 6,200
- 5,879
Au hujui data zote za masoko ,na biashara hukusanywa na nbs...How kwa mifumo ipi iliyopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au hujui data zote za masoko ,na biashara hukusanywa na nbs...How kwa mifumo ipi iliyopo
Benk kuu unajua fedha zote zilizopo ndani ya mzungukoHow kwa mifumo ipi iliyopo
Huyo jamaa atkuchosha tu, yeye anataka umwambie Kilimanjaro inauchumi mkubwa kuliko mikoa yote ndio atafurahi.
Imekuwaje mbeya ime drop kiasi hicho?!
Achana na Kilimanjaro??? Angalia TRA 2022 walikusanya bilioni 227 wakati mwa nza na kuwa jini 222? Ila kuna sehemu zinasikitisha yaani Lindi na Katavi bilioni 6?? wanastahili kuwa mkoa???
Arusha415,417.6 Coast 96,596.1 Dodoma 190,197.6 Iringa 59,935.4 Kagera 94,864.3 Kigoma 19,210.7 Kilimanjaro 227,430.7 Lindi 6,503.6 Mara 99,147.9 Mbeya 73,300.4 Morogoro 99,545.3 Mtwara 54,972.4 Mwanza 221,186.2 Ruvuma 19,857.0 Shinyanga 33,371.8 Singida 11,876.2 Tabora 21,613.9 Tanga 206,260.8 Rukwa 20,767.9 Manyara 27,900.4 Kariakoo 148,393.5 Geita 34,370.0 Kahama 16,103.4 Katavi 7,142.5 Njombe 26,540.5 Simuyu 9,537.8 Songwe 117,166.9
Nafikiri Mbeya wanadrop baada ya mkoa kugwawanywa na kupata So gwe na Songwe tra wAnakusnya zaidi sababu ya Tunduma! ITOSHE TU KUSEMA KUSEMA ARUSHA NA KILIMANJARO WAHESHIMIWE SANA MAANA HAYA NI MAPATO TRA YASIYOHUSISHA KODI KATIKA UTALIIImekuwaje mbeya ime drop kiasi hicho?!
Zanziba TRA wanakusanya bilioni 250 2022 yaani ni nusu kiasi Arusha wanachokusanya ya 450 bilioni! Halafu unasema Zanzibar ni nchi eti!mbona zanzibar haipo, mie naamini kwa miji yote tz. inazidiwa na dar tu???
Upigaji na viongozi wa kudumu😂😂😂😂🤣[emoji16][emoji16][emoji28]...mbeya ,,level za wilaya ya kahama
Tofautisha mapato ya biashara za dar na za mkoa wa dar mfano bandar hukusanya 40 ya mapato yote sasa hapo unaisifiaje dar peke yake ??? Hiyo mizigo ni ya mikoa yote .kodi ya mafuta unataka usifiwe mkoa wa dar ??? Ni sawa na ww kuamini dadoma inaifikia arusha au mwanza kwa biashara gani ? Viwanda vipi?? Ni michezo ya serikaliHii tabia ya watu wa kaskazin hasa Arusha kuipambanisha na Dar kuanzia sasa IFE. Kwa Tz Dar ni Dar tu.