[emoji16][emoji16][emoji28]...mbeya ,,level za wilaya ya kahamaMbeya tunahitaji Mabadiliko ya DED,Mbeya sio ya kuzidiwa na Tanga..
Huu ni mwaka wa 3 mfululizo Jiji la Mbeya lime stack kwenye 15bln..
Je hakuna uwekezaji mpya? Hakuna biashara mpya? Watu hawaongeseki?
Huu ni uzembe wa Hali ya Juu.
Ushuru wa mazo,leseni za biashara,mapato ya stand,service levies,vibali vya ujenzi,ushuru wa machimbo ya bidhaa za ujenzi nk..Mapato ya halmashauri ni parking, guest house, stendi na cross border.
Sasa hizo zinawagusaje wananchi?
Kahama bado Sana,itapitwa na Tunduma na Njombe kama ilivyopitwa na Chalinze na Mkuranga.[emoji16][emoji16][emoji28]...mbeya ,,level za wilaya ya kahama
Sasa ndio unaongea nini Mkuu,kwa hiyo hakuna baishara mpya,hakuna Ujenzi mpya,hakuna kupima viwanja nk?Wewe unaona biashara mpya Mbeya?
Ukiona sehemu hakuna ujenzi wa miundo mbinu ya biashara, ujue hali siyo.
Hata nyumba za kuishi tu ujenzi umestacka au upo kidogo sana.
Nakaa Mbeya. Hivyo vitu havipo kwa kiasi cha kuleta mabadiliko ya maana kwenye mapato aggregate hapa Mbeya.Sasa ndio unaongea nini Mkuu,kwa hiyo hakuna baishara mpya,hakuna Ujenzi mpya,hakuna kupima viwanja nk?
Hizi sasa ni Chuki binafsi.
Unganisha mapato ya msalala,ushetu na kahama Mc ndo useme hayo maneno ..maana hizi halmashauri ziko wilaya mojaKahama bado Sana,itapitwa na Tunduma na Njombe kama ilivyopitwa na Chalinze na Mkuranga.
Sasa tukiunganisha tuite mapato ya Wilaya au?Unganisha mapato ya msalala,ushetu na kahama Mc ndo useme hayo maneno ..maana hizi halmashauri ziko wilaya moja
Kusanyani parking kwa Bajaj mtapata pesa na malori kibao yanayopita TANZAM.Nakaa Mbeya. Hivyo vitu havipo kwa kiasi cha kuleta mabadiliko ya maana kwenye mapato aggregate hapa Mbeya.
Aisee nimeshangaa ,Dodoma inawezaje ipiku Mwanza, ??? Basi viongozi wa Mwanza ni wapigaji,au maana vyanzo vya mapato Dodoma ni vipi? bila kujali Serikali ipo pale,Moja kwa Moja kwenye mada,
Leo nawajuza List ya Majiji,Miji,Manispaa na Wilaya 50 Zenye Mzunguko Mkubwa wa Hela hapa Tanzania ambazo zinafaa kwa biashara na uwekezaji..
Kigezo kinachotumika ni Makusanyo ya Mapato ya Ndani kuanzia shilingi Bilioni 4 na kuendelea kama yalivyoandaliwa na Tamisemi kwa mwaka 2021/2022.
Makusanyo hayo yanaashiria kwamba maeneo hayo yana shughuli za Kiuchumi zinazoleta pesa kwa watu na hivyo watu Wana purchasing power nzuri..
Figures are in Billions Tanzania Shilling.
1.Dar es Salaam CC=167.557
2.Dodoma CC=45.108,
3.Mwanza CC=27.688,
4.Arusha CC=24.333'
5.Tanga CC=17.392,
6.Mbeya CC=15.228,
7.Chalinze DC=10.240,
8.Mkuranga DC=10.011,
9.Kahama MC=9.957,
10.Morogoro MC=9.353,
11.Geita TC=9.024,
12.Tunduma TC =8.593,
13.Njombe TC=8.473,
14.Mufindi DC=8.232,
15.Moshi MC=7.570,
16.Tarime DC=6.718,
17.Mafinga TC=6.306,
18.Mbarali DC=6.241,
19.Rufiji DC=6.040,
20.Muleba DC=5.718,
21.Hanang' DC=5.655,
22.Mbinga DC=5.578,
23.Rungwe DC=5.521,
24.Kibaha TC=5.352,
25.Morogoro DC=5.268,
26.Geita DC=5.186,
27.Chunya DC=5.113,
28.Shinyanga MC=5.100,
29.Kilosa DC=5.093,
30.Iringa MC=5.018,
31.Kaliua DC=4.981,
32.Songea MC=4.912,
33.Ifakara TC=4.898,
34.Tabora MC=4.827,
35.Kilwa DC=4.779,
36.Mbeya DC=4.778,
37.Karatu DC=4.746,
38.Kibaha DC=4.664,
39.Msalala DC=4.634,
40.Misenyi DC=4.595,
41.Tandahimba DC=4.507,
42.Tanganyika DC=4.452,
43.Rungwe DC=4.421,
44.Tunduru DC=4.400,
45.Bagamoyo DC=4.322,
46.Singida MC=4.286,
47.Igunga DC=4.207,
48.Wanging'ombe DC=4.186,
49.Ngara DC=4.142,
50.Njombe DC=4.001..
My Take..
Mikoa ya Dsm, Pwani, Mbeya, Morogoro na Shinyanga Wilaya zake ziko vizuri sana.π
View attachment 2313627View attachment 2313628
Watakuja kujibu mkuu πππ..Aisee nimeshangaa ,Dodoma inawezaje ipiku Mwanza, ??? Basi viongozi wa Mwanza ni wapigaji,au maana vyanzo vya mapato Dodoma ni vipi? bila kujali Serikali ipo pale,
Mwanza ikipata viongozi wabunifu, inatakiwa kuanza kimbizana na Dar,
Iringa manispaa ya 30Poleni sana Baasheee
Nimefurahishwa na Mafinga TC na Mufindi DC kama wasingetenganishwa hii Wilaya ya Mufindi ingekuwa na mapato ya 14.538Bil ambapo ingekuwa ya 7 Kitaifa...hatari sana kwa kweli.
Miaka miwili ijayo Makambako nayo itaingia top 50
Wapinzani wamechelewesha sana maendeleo hapo Moshi.Nani kawaonea mumefilisika hakuna new investment
Wewe ndiye una shida kubwa sana kichwani kwako, maana mwanzoni ulituambia wilaya zote za Dar zimeunganishwa kwenye ile 75bn lakini sasa hivi umeshuka na figure nyingine!Una shida kichwani π
Hiyo bil.75 umeitoa wapi? Wapi nilipoiandika kwenye Orodha hapo juu?.Wewe ndiye una shida kubwa sana kichwani kwako, maana mwanzoni ulituambia wilaya zote za Dar zimeunganishwa kwenye ile 75bn lakini sasa hivi umeshuka na figure nyingine!
Haipo TAMISEMIMbona sijaona Zanzibar jamani?
Mkuu upo Moro eneo ganiMorogoro ingebidi iwe ya nne hapo sehemu zenyewe idadi kubwa ya watu ndo zina mzungurko mkubwa WA pesa na kufanya mji kukua sasa sijui wewe umetumia kigezo gani
Eti mwanza ipo chini ya dodoma
Siyo mbayaIringa manispaa ya 30