The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
- #81
Na Ngara pia imo kwenye list hii.Kweli hii....
Wilaya za misenyi na muleba zinazidi bukoba mapato...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Ngara pia imo kwenye list hii.Kweli hii....
Wilaya za misenyi na muleba zinazidi bukoba mapato...
Tanga hii hii ninayoijua mimiSasa mzunguko utatoka wapi kama hakuna incentives za kuleta pesa?
Tanga inaizidi Mbeya Kwa sababu Tanga Kuna vitega uchumi vya kuleta pesa na hivyo Tanga ina mzunguko mkubwa wa biashara kuliko Mbeya..
Kigoma inanuka umasikini.Kigoma mmetuonea
Mmeonewa na macho au pua ?Moshi mmetuonea!
Ila dar inaongoza kwa uchafu dunianiHii tabia ya watu wa kaskazin hasa Arusha kuipambanisha na Dar kuanzia sasa IFE. Kwa Tz Dar ni Dar tu.
Ni suala la mda,ngoja miundombinu ifunguke..Kigoma inanuka umasikini.
Mwanza kitu kingine kileYaani anatumia mapato ya halmashauri..kupima mzunguko wa pesa.[emoji16][emoji16][emoji38] Mara mia angetumia mapato ya TRA .
Yeah na nazan sasa ni wakati wa serikari kugawanya huduma zake kulingana na uchangiaji wa kila mkoa kwwnye pato la taifa ili kufanya maendeleo ya haraka ni lazima watu waone wanachotoa kikiwasaidia wao moja kwa moja.Kwa hilo uko sahihi yaani ukichukulia kwa perspective ya kutazama Wilaya zake,Mbeya mara nyingi inakuwa namba 3[emoji116]
Mwenyew nimeshangaa. Nikajiuliza kwani badari yetu haiingizi chochote..?? Na reli nayo jee. Pia vipi kuhusu zile kahawa kasulu Ani huko kote Ni bila bila😢😢Kigoma mmetuonea
Yeah na nazan sasa ni wakati wa serikari kugawanya huduma zake kulingana na uchangiaji wa kila mkoa kwwnye pato la taifa ili kufanya maendeleo ya haraka ni lazima watu waone wanachotoa kikiwasaidia wao moja kwa moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtwara🤣🤣🤣🤣🤣Masasi ipo wapi?,,
Amina, japo tunaoumia ni sisi mkuu!!Mawazo ya kibepari Kama hayo yashindwe kwa jina la Yesu..!!
Usiwastue mkuu waache waendelee kukulisha upepo.Kwani hamuamini kuwa Dodoma jiji kuna mzunguko mkubwa sana wa pesa kwa sasa? Hivyo naamini kabisa makusanyo ni makubwa.
Halmashauri haichukui pesa bandarini,nendeni TRA na TPA watawaonyesha mnachoingiza..Mwenyew nimeshangaa. Nikajiuliza kwani badari yetu haiingizi chochote..?? Na reli nayo jee. Pia vipi kuhusu zile kahawa kasulu Ani huko kote Ni bila bila😢😢