Orodha ya makabila ya Tanzania

Nimejaribu kuahesabu haya makabila, yako 138. Kwa hiyo, tunaposema makibla zaidi ya 120 si kweli ila ni zaidi ya 130?
Kweli wanadamu waliamua kufikiri!?

"Every to hours America Today child dies of gunshot wound!? "Is scared they what family planning to work or behavior"


Tuendelee kuchezea Label ya "tanzania mpya" na "tanzania ni nchi ya amani"
 
Sijaona waarabu, wahindi, watusi, wasomali nk, orodha fanya kui-apdate maana wote tuko nao hapa
 


Wagweno na wapare ni kabila mmoja. Ugweno ni sehemu tu
 
Hebu weka na idadi ya makabila uone Wasukuma walivyo pasua, huenda ikawa idadi sawa na dar + zanzibar
 
Sijaona waarabu, wahindi, watusi, wasomali nk, orodha fanya kui-apdate maana wote tuko nao hapa

Kweli kabisa, maana waarabu wana haki. Wamezaliwa na kukulia huku, so ni watanzania wenzetu pia, au kwa lugha nyingine ni ndugu zetu kamanda
 
Waware wanapatikana mkoa gani Tanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…