The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Hapa tutakua tunaweka mambo ambayo yalivuma mno baadae tukaja kugundua kumbe ni uzushi mtupu.. kwenye siasa zetu za Tanzania...
Nitaanza na haya:
1. Riziwani Kikwete akamatwa na madawa huko China.
Hili lilivuma hadi watu usiotarajia nao kuchotwa.
2. Sumaye ni bilionea anamiliki hadi kampuni ya ndege ya Precision, uzushi mtupu..
Mengine mtaongezea.
Nitaanza na haya:
1. Riziwani Kikwete akamatwa na madawa huko China.
Hili lilivuma hadi watu usiotarajia nao kuchotwa.
2. Sumaye ni bilionea anamiliki hadi kampuni ya ndege ya Precision, uzushi mtupu..
Mengine mtaongezea.