Damian J Ntundagi
JF-Expert Member
- Jun 28, 2017
- 1,652
- 2,355
Magufuli ni raisi wa wanyonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeokota vichwa vya treni huko bandarini kumbe ni uongo mtupu!
Hii habari umeitunga mwenyewe haikuwahi kuwepoLissu akirudi Tanzania atakuwa na ulinzi mkali wa FBI,,,uzushi.
Labda FBI ya buza.
3. Lowasa ni fisadi mkubwa kumbe ni uongo uliopitiliza kwa maana hajawahi kushitakiwaHapa tutakua tunaweka mambo ambayo yalivuma mno baadae tukaja kugundua kumbe ni uzushi mtupu.. kwenye siasa zetu za Tanzania...
Nitaanza na haya:
1. Riziwani Kikwete akamatwa na madawa huko China.
Hili lilivuma hadi watu usiotarajia nao kuchotwa.
2. Sumaye ni bilionea anamiliki hadi kampuni ya ndege ya Precision, uzushi mtupu..
Mengine mtaongezea.
Hahahaaa wabongo nyoko kweli.Jamii forum raha sanaTumeokota vichwa vya treni huko bandarini kumbe ni uongo mtupu!
Magufuli kaleta maendeleo tanzania. Huu ni uongo uliokubuhu.Hapa tutakua tunaweka mambo ambayo yalivuma mno baadae tukaja kugundua kumbe ni uzushi mtupu.. kwenye siasa zetu za Tanzania...
Nitaanza na haya:
1. Riziwani Kikwete akamatwa na madawa huko China.
Hili lilivuma hadi watu usiotarajia nao kuchotwa.
2. Sumaye ni bilionea anamiliki hadi kampuni ya ndege ya Precision, uzushi mtupu..
Mengine mtaongezea.
Tunajenga miradi kwa pesa za ndani huku deni la taifa trilion 30 zinapaa zaidi. Sasa tuko tril 59 za deni.Wewe haukuwa mpenzi wa Mbowe Hotels wakati Freeman akiwa Dj?
Anyway ni miaka mingi nilidhani naongea na Mrangi......sorry!
Hayo yote yalikuwa na vijielements za ukweli if you take time to think.3. Kila kituo cha mafuta kipya ni cha ridhiwani
4. Kinana anauza pembe za ndovu
5. Kikwete ameiuza kigamboni kwa wamarekani
6. Cuf walishinda chaguzi zote zanzibar
hii ndo ilitisha kuliko zoteLowassa ni fisadi. Wale wale waliosema ni fisadi, ndio akaenda kua mkombozi wao.