Orodha ya mambo ya uongo na uzushi kwenye siasa za Tanzania

Uwanja wa ndege wajengwa huko CHATO, kumbe ni uzushi mtupu
. wanyama pori wasombwa na maloli kupelekwa Buligi chato, kumbe ni uzushi mtupu
Nyumba za Serikali za uzwa kama njugu, kumbe ni uzushi mtupu
 
Utawala wa awamu ya tano umekopa tirioni 41
 
Utawala wa awamu ya tano umekopa tirioni 41
 
3. Lowasa ni fisadi mkubwa kumbe ni uongo uliopitiliza kwa maana hajawahi kushitakiwa
 
Magufuli kaleta maendeleo tanzania. Huu ni uongo uliokubuhu.
 
3. Kila kituo cha mafuta kipya ni cha ridhiwani
4. Kinana anauza pembe za ndovu
5. Kikwete ameiuza kigamboni kwa wamarekani
6. Cuf walishinda chaguzi zote zanzibar
Hayo yote yalikuwa na vijielements za ukweli if you take time to think.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…