Ibrahim augustine
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 428
- 576
Haya maneno hua yanatumiwa na watu wa jamii forums kutokana na uchunguzi wangu ngoja nianze kuyataja haraka bila kupoteza muda.
1. MKUU: hili meno utalisikia kwa baadhi ya watu humu humu mfano:samahani mkuu bei yake ni shillingi ngapi,au mkuu vipi?
2. UZI: hili meno pia linapendwa sana kutumiwa na watu wengi, Uzi maana yake ni mada husika. Mfano, MTU akianzisha Uzi maana yake ameanzisha mada kwa kiingereza tunaita (thread)
3. JF: kifupi cha jamii forums
Haya ni baadhi tu ya maneno taja na wewe ya kwako unayo yafahamu na yanapendwa kutumiwa sana na members wa JF
1. MKUU: hili meno utalisikia kwa baadhi ya watu humu humu mfano:samahani mkuu bei yake ni shillingi ngapi,au mkuu vipi?
2. UZI: hili meno pia linapendwa sana kutumiwa na watu wengi, Uzi maana yake ni mada husika. Mfano, MTU akianzisha Uzi maana yake ameanzisha mada kwa kiingereza tunaita (thread)
3. JF: kifupi cha jamii forums
Haya ni baadhi tu ya maneno taja na wewe ya kwako unayo yafahamu na yanapendwa kutumiwa sana na members wa JF