Hahahaha π ππBila uwepo wa jina la Kiduku Lilo basi hii orodha ni feki.
Fanya hivyo itapendeza sana.Narudia kuongezea nyama nyama
AnhaaYeye yupo nafasi ya 13
Mtoa maada hajielewi , sjui ni mshamba wa wap , na hata hvyo unapotoa taarifa za namna hii huwa wanaweka na wa Taifa lako hata kama yupo mwishoni ....Mkuu umeandika uzi kirahisi sana...Hata nchi hujaweka,hujawesema ni top 10 au la ,hujaweka source ya list yako and so much more
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
GSM vip au bado yuko busy na TambweYule mdaiwa sugu wa 20bilioni pale msimbazi tupo nafasi ya ngapi?
Data azidanganyi pesa yake ya madafu mbele ya hiyo miambaBakhresa mjanja sana yule mzee anawapoteza watu maboya kweli
pesa ya madafu!!!?... seriously!!!? π π πData azidanganyi pesa yake ya madafu mbele ya hiyo miamba