Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 2,109
- 5,284
Amani iwe nanyi ndugu zangu
Mimi huwa najua waarabu ndo watu matajiri zaidi duniani nikiamini Mansour wa Man City atakuwa hata tajiri wa tatu au nne duniani kumbe hata kwenye matajiri mia mbili duniani hayupo nimeshangaa sana.
Lakini nilichokutana nacho huko Forbes sijaamini macho yangu kama mashabiki ya Yanga ile jana
Sijaona Mwisilam hata mmoja , Mwisilam nimeenda kumukuta namba 144 naye ni mweusi mnaigeria Aliko Dangote
Naona wapagani tu wenye majina ya kizungu, naona Wahindi tu wenye majina ya kihindi, naona wacomunist tu wenye majina ya kikorea na kichina
Wakristo na waislam tumefell wapi? Waarabu na mafuta yao wameangukia wapi?
Kumbe tena Elon Musk siyo namba moja
Duh! Nawasilisha
Mimi huwa najua waarabu ndo watu matajiri zaidi duniani nikiamini Mansour wa Man City atakuwa hata tajiri wa tatu au nne duniani kumbe hata kwenye matajiri mia mbili duniani hayupo nimeshangaa sana.
Lakini nilichokutana nacho huko Forbes sijaamini macho yangu kama mashabiki ya Yanga ile jana
Sijaona Mwisilam hata mmoja , Mwisilam nimeenda kumukuta namba 144 naye ni mweusi mnaigeria Aliko Dangote
Naona wapagani tu wenye majina ya kizungu, naona Wahindi tu wenye majina ya kihindi, naona wacomunist tu wenye majina ya kikorea na kichina
Wakristo na waislam tumefell wapi? Waarabu na mafuta yao wameangukia wapi?
Kumbe tena Elon Musk siyo namba moja
Duh! Nawasilisha