Orodha ya matajiri duniani imenichanganya. Elon siyo namba moja, sijaona mwarabu wa mafuta hata mmoja

Orodha ya matajiri duniani imenichanganya. Elon siyo namba moja, sijaona mwarabu wa mafuta hata mmoja

Attachments

  • Screenshot_20241208-174205.png
    Screenshot_20241208-174205.png
    96.5 KB · Views: 3
Utajiri wa billion 25 $ ukiwafitilia hao matajiri utagundua ni kiwanda kimoja tu cha dangote ambacho kipo Nigeria ndo kina thaman hiyo kwahiyo kama huyo mwana mfalme ana utajiri huo bas dangote anaweza kumwajiri hata kuosha vyombo pale lagos
Mkuu unaongea tu wewe. DAngote ana utajiri wa 11.3 bilioni sasa anamwajiri vipi mbs wewe?
 
Kuna clip moja ya MBS na Trump walikua wananegotiate deal, ikafika hatua trump akataja mpunga mrefu kinoma halafu akamwambia MBS 'That's peanuts to u' hapo ndo uelewe UAE kuna hela chafu sana ila utaratibu wao wa kuzimiliki ndio unafanya wasikae kwenye list moja na hawa jamaa.

Utajiri wa Musk na wengine ulotaja hapo mostly upo tied kwenye stocks ndio maana utasikia unapanda na kushuka. Utajiri wa waarabu ni cash, they do cash hawana mambo ya virtual money. Ndio mana hela zao zina thamani kubwa sana ili noti moja ibebe value ya kutosha, sio huku hadi buku eti ina noti.
 
Mkuu unaongea tu wewe. DAngote ana utajiri wa 11.3 bilioni sasa anamwajiri vipi mbs wewe?
Wewe unazungumzia hela alizonazo mda huu siyo utajiri

Tofautisha hela na utajiri kaka

Utajiri ni mali
 
Wewe unazungumzia hela alizonazo mda huu siyo utajiri

Tofautisha hela na utajiri kaka

Utajiri ni mali
Huo ndio utajiri wake na mali zake zote. Hakuna mtu ambaye wakisema ni tajiri anakuwa na cash. Wanadhaminisha mali zake ikiwemo shares ndio maana utajiri wao unapanda kushuka tu kwa sababu ya thamani za shares. Wewe najua kisa umesikia mfano kiwanda chake cha refinery cha lekki kina thamani ya bilioni 19 basi unadhani ana zaidi ya utajiri huo. Kile kiwanda yeye ni major shareholder akimiliki kama asilimia 30% nyingine ni wawekezaji.
 
Sidhani kama wanaweka utajiri wa familia kama familia bali wa mtu mmoja mmoja ambapo mfano falme ya kifalme ya saudi arabia ina utajiri wa 1.4 tillioni hiyo ni familia. Wakati MBS utajiri wake unakadiriwa kuwa ni bilioni 25 na mtawala wa duabi anakadiriwa kuwa na utajiri wa 18 bilioni. Wakati bwana elon yeye kama yeye ana 354 bilioni. Hivyo utaona ukichambua familia za kiarabu mtu mmoja mmoja basi hakuna anayemkaribia.
Ila pia kumbuka kuna watu wana pesa ila hawapigi kelele.
Mfano Nan ana pesa na hapigi kelele

Pesa hupiga kelele yenyewe ndugu
Wewe namba ngapi mkuu?
Dah mwaka unaanza mpaka unaisha bila bila mtumish
 
Amani iwe nanyi ndugu zangu

Mimi huwa najua waarabu ndo watu matajiri zaidi duniani nikiamini Mansour wa Man City atakuwa hata tajiri wa tatu au nne duniani kumbe hata kwenye matajiri mia mbili duniani hayupo nimeshangaa sana.

Lakini nilichokutana nacho huko Forbes sijaamini macho yangu kama mashabiki ya Yanga ile jana

Sijaona Mwisilam hata mmoja , Mwisilam nimeenda kumukuta namba 144 naye ni mweusi mnaigeria Aliko Dangote

Naona wapagani tu wenye majina ya kizungu, naona Wahindi tu wenye majina ya kihindi, naona wacomunist tu wenye majina ya kikorea na kichina

Wakristo na waislam tumefell wapi? Waarabu na mafuta yao wameangukia wapi?

Kumbe tena Elon Musk siyo namba moja

Duh! Nawasilisha
GSM na Mo hawamo?

Diamondi kaingia Top ten?
 
Back
Top Bottom