Orodha ya matukio, vimbwaga na maamuzi yalioyotolewa wakati wa awamu ya Tatu ya Benjamini Mkapa

Orodha ya matukio, vimbwaga na maamuzi yalioyotolewa wakati wa awamu ya Tatu ya Benjamini Mkapa

Alikuta nchi imekopewa mpaka haikopesheki kapambana na madeni mpaka tukafutiwa madeni na akawa na ukopaji wenye tija kulingana na ukuaji wa uchumi na ukusanyaji mapato baada kutoka na kufikia sasa ni aibu hata kufikiria kinachoendelea
 
Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
 
Kipindi cha awamu ya tatu King Mswati III alikuja Tanzania mara 6 - Ili tuwe na mfumo wa uKing kwenye "Katiba MPYA"
download-1.jpg
 
Mimi nakumbuka shule ya msingi tulirudishwa sababu hatujalipa ada shilingi elfumbili lakini baada ya kama wiki Moja mkapa akaifuta.
 
Aliexcute SAPs, Structural Adjustment Programs tuendane na matakwa ya IMF na WB, akaunda PSRS ikafanya mambo ya kutosha hadi tukawa tulipo kabla ya mkwere na waliofuata kuleta mambo yao ya kibongo
 
Uwanja Wako uliwekewa Tatizo ulikamilika lakini watanzania bado wanafikiria kujenga Benjamini Mkapa tufanyaje!?

Uwanja gani Watanzania wanajenga huko duniani haukamiliki!?

Tanzania_National_Main_Stadium_Aerial.jpg
 
Hizi ni baadhi tu ya Taasisi zilizoanzishwa na Rais Mkapa;
1. TAA
2. TCRA
3. PPRA
4. BRELA
5. EWURA
6. TACAIDS
7. SUMATRA
8. TANROADS
9. TAKUKURU
10. TRA.
11. MKUKUTA.
12.MKURABITA.
Tasisi za Awamu hii ya 6
1.CHAWA WA MAMA
2.Mama anafanikisha
3.Kizimkazi festival
4.Samia Bond
5.Samia Sensa
6.Mapishi na Mama
7.happbirthday ya Mama
8.SamiaCheche
 
Kipindi hicho mkapa alitamka "MTAJI WA MASKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE""
Akanukuliwa vibaya na
Majambazi yakaongeza kuteka magari na kuwaibia raia mali ZAO

Baada ya hapo raia wali imbishwa mtaji wa MASKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE BY TOT SOUND....BANZA STONE.
 
Kipindi hicho mkapa alitamka "MTAJI WA MASKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE""
Akanukuliwa vibaya na
Majambazi yakaongeza kuteka magari na kuwaibia raia mali ZAO

Baada ya hapo raia wali imbishwa mtaji wa MASKINI NI NGUVU ZAKE MWENYEWE BY TOT SOUND....BANZA STONE.
Masikini hivi wapo Tanzania😂😂😂😂😂😂Waliaminishwa ni "Nchi Tajiri" hadi leo hakuna Masikini Tanzania😂😂😂Wanafanana na karibu wanawazidi wamarekani

Tukae kimya sijui huo wimbo atauimba nani maana bila wimbo inakuwa kama AKAPERA na mapera
 
Hata mie makumbuka olikuwa nikirudi nyumbani nasema "Baba wamenirudisha Ada" siku hizi "Baba Nyumba yetu inanuka mkojo wa Sungura" - "Baba Nyumba yetu inakukia Dampo" kweli ada nomaaaa😂😂😂😂😂😂😂
Na ada yenyewe ilikuwa shilingi elfumbili tu lakini watu walikosa Hadi wanarudishwa nyumbani
 
Back
Top Bottom