Orodha ya matukio yaliyotikisa nchi tokea uhuru

Orodha ya matukio yaliyotikisa nchi tokea uhuru

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Haya ni matukio muhim yaliyotokea na kutikisa nchi

1962: Mwalimu Nyerere kujiuzuru uwaziri mkuu wakati ameijenga Tanganyika kwa heshima, wengi walishangaa kumbe alikuwa na malengo yake,

1962: kilianzishwa chuo kikuu cha kwanza UDSM pale Lumumba kabla ya kuhamia kilipo sasa hivi,

1963: Jaribio la kwanza la Kumpindua mwalimu Nyerere , kwa bahati nzuri halikufanikiwa, na Nyerere akaomba usaidizi wa waingereza,

1964 : Mapinduzi makubwa ya mfumo ndani ya jeshi , mwalimu karibia alifukuza jeshi zima na recruitment ikaanza upya chini ya jeshi la waingereza,

1964 : Kubadiri jina la nchi kutoka Tanganyika na kuwa Tanzania kutokana na muungano na Zanzibar

1965 : Uanzishwaji wa Benki kuu ya Tanzania, baada ya EACB kuvunjwa,

1967: Azimio la arusha lilitikisa nchi na kuja na mpango wa utaifishaji,

1971: Tanzania iliingia mgogoro kwa mara ya kwanza na Uganda, lakin mwalimu Nyerere akajiandaa kwenda urusi kuomba silaha baada ya kugundua jamaa aliyekuja ni upuuzi, Amini mwaka huo alitikisa kiberiti kwanza kwa kuichapa kyaka,

1972 : Waziri Fundikira alitandikwa viboko na kufungwa jela kwa kosa la rushwa,

1977: Kujiondoa katika EAC
1978: Vita na Uganda ambayo iliacha matatizo makubwa sana,

1980: Mwalimu Nyerere aliatoa pendekezo la kung'atuka , watanzania wa karibu yake wakakataa na kusema mwalimu itaonekana unayakimbia matatizo haya, akahairisha,

1982: Ndege ya Air Tanzania ilitekwa na kupelekwa uingereza, na vijana machachari wa Tanzania,

1983: Kuwekwa kizuizini kwa aliyekuwa rais wa Zanzibar na makamu wa rais wa JMT kwa kipindi hicho Aboud Jumbe, kwa kutaka kuiuza Zanzibar uarabuni,

1984: Ajari ya gari na kumuondoa Moringe Sokoine, waziri mkuu wa Tanzania ambaye alitisha sana,

1985: Mwalimu Nyerere aling'atuka na kumuachia mzee Mwinyi,

1992: Uanzishwaji wa Vyama vingi vya siasa,

1994 : Kujiuzuru kwa Bwana Augustine Lyatonga Mrema, ilitikisa sana, na kuleta tahamaki kwa nchi,

1995: Uchaguzi wa Vyama vingi kwa mara ya kwanza Tanzania,

1996: Ajari ya Mv Bukoba iliua maelf ya watu

1999: Kifo cha mwanzilishi wa Taifa ili Mwalimu Nyerere huko London,

2002 : Ajali ya Treni Dodoma na kuua namia ya watu,

Hayo ndo matukio ambayo so rahisi kufutika vichwani mwa watanzania walio wengi

Ongeza mengine unayojua,

Britannica
 
Kuna matukio kama ya mukono kuchoma bank, na mengine sinayaweka , hata kuuawa kwa karume sina accuracy ya mwaka husika,
 
Haya ni matukio muhim yaliyotokea na kutikisa nchi

1962: Mwalimu Nyerere kujiuzuru uwaziri mkuu wakati ameijenga Tanganyika kwa heshima, wengi walishangaa kumbe alikuwa na malengo yake,

1963: Jaribio la kwanza la Kumpindua mwalimu Nyerere , kwa bahati nzuri halikufanikiwa, na Nyerere akaomba usaidizi wa waingereza,

1964 : Mapinduzi makubwa ya mfumo ndani ya jeshi , mwalimu karibia alifukuza jeshi zima na recruitment ikaanza upya chini ya jeshi la waingereza,

1964 : Kubadiri jina la nchi kutoka Tanganyika na kuwa Tanzania kutokana na muungano na Zanzibar

1965 : Uanzishwaji wa Benki kuu ya Tanzania, baada ya EACB kuvunjwa,

1967: Azimio la arusha lilitikisa nchi na kuja na mpango wa utaifishaji,

1971: Tanzania iliingia mgogoro kwa mara ya kwanza na Uganda, lakin mwalimu Nyerere akajiandaa kwenda urusi kuomba silaha baada ya kugundua jamaa aliyekuja ni upuuzi, Amini mwaka huo alitikisa kiberiti kwanza kwa kuichapa kyaka,

1972 : Waziri Fundikira alitandikwa viboko na kufungwa jela kwa kosa la rushwa,

1975 : kilianzishwa chuo kikuu cha kwanza UDSM pale Lumumba kabla ya kuhamia kilipo sasa hivi,

1977: Kujiondoa katika EAC
1978: Vita na Uganda ambayo iliacha matatizo makubwa sana,

1980: Mwalimu Nyerere aliatoa pendekezo la kung'atuka , watanzania wa karibu yake wakakataa na kusema mwalimu itaonekana unayakimbia matatizo haya, akahairisha,

1982: Ndege ya Air Tanzania ilitekwa na kupelekwa uingereza, na vijana machachari wa Tanzania,

1983: Kuwekwa kizuizini kwa aliyekuwa rais wa Zanzibar na makamu wa rais wa JMT kwa kipindi hicho Aboud Jumbe, kwa kutaka kuiuza Zanzibar uarabuni,

1984: Ajari ya gari na kumuondoa Moringe Sokoine, waziri mkuu wa Tanzania ambaye alitisha sana,

1985: Mwalimu Nyerere aling'atuka na kumuachia mzee Mwinyi,

1992: Uanzishwaji wa Vyama vingi vya siasa,

1994 : Kujiuzuru kwa Bwana Augustine Lyatonga Mrema, ilitikisa sana, na kuleta tahamaki kwa nchi,

1995: Uchaguzi wa Vyama vingi kwa mara ya kwanza Tanzania,

1996: Ajari ya Mv Bukoba iliua maelf ya watu

1999: Kifo cha mwanzilishi wa Taifa ili Mwalimu Nyerere huko London,

2001 : Ajari ya Treni Dodoma na kuua namia ya watu,

Hayo ndo matukio ambayo so rahisi kufutika vichwani mwa watanzania walio wengi

Ongeza mengine unayojua,

Britannica


1983 - hakuna tukio hilo ,

Jumbe alijiuzulu uraisi mwaka 1984 tena sijasikia kuwa alitaka kuiuza Zanzibar Uarabuni , Mimi nilikuwepo , Kosa lake alikuja kuamka na kutaka kuitoa Zanzibar kutoka kwenye uvamizi wa mkoloni Tanganyika ili iwe huru
 
Haya ni matukio muhim yaliyotokea na kutikisa nchi

1962: Mwalimu Nyerere kujiuzuru uwaziri mkuu wakati ameijenga Tanganyika kwa heshima, wengi walishangaa kumbe alikuwa na malengo yake,

1963: Jaribio la kwanza la Kumpindua mwalimu Nyerere , kwa bahati nzuri halikufanikiwa, na Nyerere akaomba usaidizi wa waingereza,

1964 : Mapinduzi makubwa ya mfumo ndani ya jeshi , mwalimu karibia alifukuza jeshi zima na recruitment ikaanza upya chini ya jeshi la waingereza,

1964 : Kubadiri jina la nchi kutoka Tanganyika na kuwa Tanzania kutokana na muungano na Zanzibar

1965 : Uanzishwaji wa Benki kuu ya Tanzania, baada ya EACB kuvunjwa,

1967: Azimio la arusha lilitikisa nchi na kuja na mpango wa utaifishaji,

1971: Tanzania iliingia mgogoro kwa mara ya kwanza na Uganda, lakin mwalimu Nyerere akajiandaa kwenda urusi kuomba silaha baada ya kugundua jamaa aliyekuja ni upuuzi, Amini mwaka huo alitikisa kiberiti kwanza kwa kuichapa kyaka,

1972 : Waziri Fundikira alitandikwa viboko na kufungwa jela kwa kosa la rushwa,

1975 : kilianzishwa chuo kikuu cha kwanza UDSM pale Lumumba kabla ya kuhamia kilipo sasa hivi,

1977: Kujiondoa katika EAC
1978: Vita na Uganda ambayo iliacha matatizo makubwa sana,

1980: Mwalimu Nyerere aliatoa pendekezo la kung'atuka , watanzania wa karibu yake wakakataa na kusema mwalimu itaonekana unayakimbia matatizo haya, akahairisha,

1982: Ndege ya Air Tanzania ilitekwa na kupelekwa uingereza, na vijana machachari wa Tanzania,

1983: Kuwekwa kizuizini kwa aliyekuwa rais wa Zanzibar na makamu wa rais wa JMT kwa kipindi hicho Aboud Jumbe, kwa kutaka kuiuza Zanzibar uarabuni,

1984: Ajari ya gari na kumuondoa Moringe Sokoine, waziri mkuu wa Tanzania ambaye alitisha sana,

1985: Mwalimu Nyerere aling'atuka na kumuachia mzee Mwinyi,

1992: Uanzishwaji wa Vyama vingi vya siasa,

1994 : Kujiuzuru kwa Bwana Augustine Lyatonga Mrema, ilitikisa sana, na kuleta tahamaki kwa nchi,

1995: Uchaguzi wa Vyama vingi kwa mara ya kwanza Tanzania,

1996: Ajari ya Mv Bukoba iliua maelf ya watu

1999: Kifo cha mwanzilishi wa Taifa ili Mwalimu Nyerere huko London,

2001 : Ajari ya Treni Dodoma na kuua namia ya watu,

Hayo ndo matukio ambayo so rahisi kufutika vichwani mwa watanzania walio wengi

Ongeza mengine unayojua,

Britannica


Ulisahau mauwaji ya Karume Senior mwaka 1972 Zanzibar
 
1983 - hakuna tukio hilo ,

Jumbe alijiuzulu uraisi mwaka 1984 tena sijasikia kuwa alitaka kuiuza Zanzibar Uarabuni , Kosa lake alikuja kuamka na kutaka kuitoa Zanzibar kutoka kwenye uvamizi wa mkoloni Tanganyika ili iwe huru
Nani kakwambia kwamba jumbe alijiuzulu?
 
20**lowasa kujiuzulu
20**-lissu kushambuliwa
20**-ulimboka kutekwa na kutupwa mabwe
20**-uchaguzi ulifanyika ambao ulileta matokeo ya usomaji namba hata kwa wali wataalamu wa lugha ya kiswahili nao ilibidi wazisome tu
20**-bombadia zatua nchini
20**-upotevu wa 1.5 waibuliwa
•°•°°•°•°•°°•°•°•°•°•°•°•°•°•°•°•°•°•°•°••°•°•°•°•°
 
Back
Top Bottom