Orodha ya matukio yaliyotikisa nchi tokea uhuru


Kuonekana akionekana sana hasa kwenye mihadhara ya Marehemu Ngariba
 
Tulitangaziwa kuwa Jumbe alijiuzulu nafasi zote alizokuwa nazo baada ya Halmashauri Kuu kumtaka afanye hivyo,

ingawa tunajua kuwa alilazimishwaπŸ˜›πŸ˜›
Unabisha unachokisema
 
Naongezea
  • Yule mama fisadi?
  • Kesi ya Kambona na bibi Titi?
  • Kuanguka azimio la Arusha?
  • Yule mkurya na Jamhuri ya Chui?
  • Uchaguzi mkuu 2015?
 
1990 : Kuja kwa Baba Mtakatifu Papa Yohane Paulo wa Pili
 
Ila una kumbukumbu aseh hadi Mzee kifimbo kuingizwa mjini [emoji23]
Hahahaha, Babu ali-mind kinoma.
Nadhani walimfanyia uzandiki wa maksudi kabisa ili kukwamisha juhudi zake maana alikuwa anawaweza kweli.
 
kama walivyomzidi kwenye poromoko la uchumi baada ya vita ya kagera!..
Walimbana sana, tena kwa kumkomoa!
Alikuja kuwatolea gesi miaka ya 90 kwenye mkutano moja hivi. Akawauliza hivi ninyi mlipigia debe zana Structural Adjustment Programmes mkatudharau sisi, sasa nawauliza mbona na ninyi hamjafanikiwa ??? Wakabaki wanatoleana macho tu. Naona alikuwa amejaa gesi muda mrefu sasa akaamua kuwatolea uvivu......
 
Ameruhusu wengine waongezee sio km kamaliza mkuu
 
2017 mnafiki mmoja hivi domo kubwa anashirikiana na wamarekani kuihujumu nchi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…