Orodha ya mikopo iliyokopwa awamu ya sita tangu Rais Samia Suluhu aingie madarakani March 19, 2021

Magazetini

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
593
Reaction score
1,712
Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua mikopo tangu enzi katika kutimiza majukumu yake ya kimaendeleo na kila siku. Deni la Taifa limekuwa likikua huku Serikali ya awamu ya sita ikilifikisha trilioni 91 kwa miaka 3 iliyokuwa madarakani kutoka trilioni 60 iliyoachwa na Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli.

Hili ni ongezeko la zaidi ya 50% ya deni lililoachwa March 17, 2021 kwa miaka mitatu. Pamoja na kuwa himilivu, kuna sehemu kubwa ya bajeti ya nchi inatumika kulipa madeni haya na kupelekea mchezo wa kukopa hela kutimiza mipango huku hela unazokusanya zikienda kulipa madeni mpaka kupelekea kuwa giza tuendako.

Mwenendo wa deni wa Taifa ulipelekea spika wa Bunge, Job Ndugai kujiuzulu nafasi yake baada ya kusema Ipo siku Tanzania itapigwa mnada baada ya kupelekea mjadala na sintofahamu kubwa.

Nikaona tuweke orodha na itakuwa inaongezeka kulingana na mwenendo wa deni letu, ikianza na deni la mwanzo kulekea mwisho

==========
Mwigulu_Samia Suluhu_Deni Taifa.jpg
  1. Mbunge Josephine Genzabuke, aishukuru Serikali ya CCM kwa kupata Mkopo wa Sh. Bilioni Laki Tatu-Jun 3, 2021
  2. Tanzania yakopa Benki ya Dunia tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya Elimu, Barabara na Mawasiliano!-Aug 19, 2021
  3. IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania-Sep 8, 2021
  4. Tanzania imepokea bilioni 67.82 kutoka Serikali ya Ujerumani kupitia Benki yake ya Maendeleo ya KfW-Sep 8, 2021
  5. Japan yaipatia Tanzania mkopo wa Shilingi bilioni 761.8. Zanzibar yapata mgao wa Tsh bilioni 218-Feb 4, 2022
  6. Ziara ya Rais Samia Ufaransa: Tanzania yasaini Mkataba wa Mkopo wa Masharti nafuu wa Euro Milioni 178-Feb 12, 2022
  7. Benki ya Dunia yaipa Tanzania mkopo wa Tsh Trilioni 1.5-Feb 21, 2022
  8. Tanzania yapokea mkopo wa trilioni 1.2 kutoka Benki ya Dunia. Kuboresha tabia nchi, usalama na barabara-May 27, 2022
  9. Tanzania yapata Mkopo wa Dola Mil 278 kutoka Benki ya Dunia-Jun 16, 2022
  10. Ufaransa yaikopesha Tanzania shilingi bilioni 195 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Usambazaji wa Maji safi Shinyanga-Jun 21, 2022
  11. IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4-Jul 19, 2022
  12. Tanzania yapewa mkopo nafuu wa trilion 1.24 kutekeleza mradi wa REA na daraja la Jangwani mto Msimbazi-Nov 21, 2022
  13. Benki ya Dunia yaidhinisha Mkopo wa Shilingi Trilioni oni 1.8 kwa Tanzania kwa ajili ya Sekta ya Afya na kuimarisha Uchumi-Dec 22, 2022
  14. Serikali yapata mkopo wa Tsh. Bilioni 650 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mradi wa BRT awamu ya 4 & 5 mwaka 2023-Dec 29, 2022
  15. Tanzania kupata mkopo mwingine wa Tsh. Bilioni 353.3 kutoka IMF ili kusaidia Uchumi-Feb 28, 2023
  16. StanChart Bank Yaipatia Tanzania Mkopo Nafuu wa Shilingi Bilioni 1.4 Kwa Ajili ya Sgr Lot 3 & 4-Mar 15, 2023
  17. Tanzania yapata mkopo wa nyongeza Dola Mil 153 kutoka shirika la fedha duniani (IMF)-Apr 25, 2023
  18. Benki ya Dunia imetoa Mkopo wa zaidi ya Shilingi Bilioni 700 Kwenye Kilimo-Jun 1, 2023
  19. Uingereza Yaipa Zanzibar Mkopo wa Sh.Tilioni 1 Kujenga Uwanja wa Ndege Pemba-Jun 20, 2023
  20. Zaidi ya Shilingi Bilioni 600 kujenga upya Hospitali ya Muhimbili, Mkopo utalipwa baada ya miaka 25-Aug 11, 2023
  21. Benki ya AfDB yaidhinisha Mkopo wa Tsh. Bilioni 165.6 kwaajili ya kusaidia Benki ya Kilimo Tanzania (TADB)-Dec 11, 2023
  22. African Development Bank yaidhinisha mkopo wa zaidi ya trilioni 1.4 kujenga reli itakayounganisha Burundi na Tanzania-Dec 13, 2023
  23. Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51-May 30, 2024
  24. Korea yaikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 400 za kujenga Hospitali ya Rufaa Zanzibar-Jun 5, 2024
  25. IMF yaidhinisha ufadhili wa Dola Milioni 900 kwa Tanzania kwa ajili ya Bajeti na kukabiliana na Mabadiliko ya hali ya Hewa-Jun 21, 2024
 
Mapato yetu ni kwa ajili ya kulipa madeni na mishahara ya watumishi tu, kwa hiyo ili tufanye maendeleo lazima tukope. Hadi itakapofika hatua hatujengi shule, hospitali, barabara, reli nk
Kinachosikitisha wanaongeza tozo kila kukicha na wanakopa kwa kiwango cha juu haijapata kutokea, hizi hela zinaenda wapi?
 
Vyuo vikuu vya Tanzania vinasubiri nini kumtunuku uprofesa spika mstaafu Job Yustino Ndugai ?
Yustino nadhani alikuwa na karata yake tofauti sema ikachezeka vibaya..
 
Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua mikopo tangu enzi katika kutimiza majukumu yake ya kimaendeleo na kila siku. Deni la Taifa limekuwa likikua huku Serikali ya awamu ya sita ikilifikisha trilioni 91 kwa miaka 3 iliyokuwa madarakani kutoka trilioni 60 iliyoachwa na Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli.

Hili ni ongezeko la zaidi ya 50% ya deni lililoachwa March 17, 2021 kwa miaka mitatu. Pamoja na kuwa himilivu, kuna sehemu kubwa ya bajeti ya nchi inatumika kulipa madeni haya na kupelekea mchezo wa kukopa hela kutimiza mipango huku hela unazokusanya zikienda kulipa madeni mpaka kupelekea kuwa giza tuendako.

Mwenendo wa deni wa Taifa ulipelekea spika wa Bunge, Job Ndugai kujiuzulu nafasi yake baada ya kusema Ipo siku Tanzania itapigwa mnada baada ya kupelekea mjadala na sintofahamu kubwa.

Nikaona tuweke orodha na itakuwa inaongezeka kulingana na mwenendo wa deni letu, ikianza na deni la mwanzo kulekea mwisho

==========
  1. Mbunge Josephine Genzabuke, aishukuru Serikali ya CCM kwa kupata Mkopo wa Sh. Bilioni Laki Tatu-Jun 3, 2021
  2. Tanzania yakopa Benki ya Dunia tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya Elimu, Barabara na Mawasiliano!-Aug 19, 2021
  3. IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania-Sep 8, 2021
  4. Tanzania imepokea bilioni 67.82 kutoka Serikali ya Ujerumani kupitia Benki yake ya Maendeleo ya KfW-Sep 8, 2021
  5. Japan yaipatia Tanzania mkopo wa Shilingi bilioni 761.8. Zanzibar yapata mgao wa Tsh bilioni 218-Feb 4, 2022
  6. Ziara ya Rais Samia Ufaransa: Tanzania yasaini Mkataba wa Mkopo wa Masharti nafuu wa Euro Milioni 178-Feb 12, 2022
  7. Benki ya Dunia yaipa Tanzania mkopo wa Tsh Trilioni 1.5-Feb 21, 2022
  8. Tanzania yapokea mkopo wa trilioni 1.2 kutoka Benki ya Dunia. Kuboresha tabia nchi, usalama na barabara-May 27, 2022
  9. Tanzania yapata Mkopo wa Dola Mil 278 kutoka Benki ya Dunia-Jun 16, 2022
  10. Ufaransa yaikopesha Tanzania shilingi bilioni 195 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Usambazaji wa Maji safi Shinyanga-Jun 21, 2022
  11. IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4-Jul 19, 2022
  12. Tanzania yapewa mkopo nafuu wa trilion 1.24 kutekeleza mradi wa REA na daraja la Jangwani mto Msimbazi-Nov 21, 2022
  13. Benki ya Dunia yaidhinisha Mkopo wa Shilingi Trilioni oni 1.8 kwa Tanzania kwa ajili ya Sekta ya Afya na kuimarisha Uchumi-Dec 22, 2022
  14. Serikali yapata mkopo wa Tsh. Bilioni 650 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mradi wa BRT awamu ya 4 & 5 mwaka 2023-Dec 29, 2022
  15. Tanzania kupata mkopo mwingine wa Tsh. Bilioni 353.3 kutoka IMF ili kusaidia Uchumi-Feb 28, 2023
  16. StanChart Bank Yaipatia Tanzania Mkopo Nafuu wa Shilingi Bilioni 1.4 Kwa Ajili ya Sgr Lot 3 & 4
  17. Tanzania yapata mkopo wa nyongeza Dola Mil 153 kutoka shirika la fedha duniani (IMF)
  18. Benki ya Dunia imetoa Mkopo wa zaidi ya Shilingi Bilioni 700 Kwenye Kilimo
  19. Uingereza Yaipa Zanzibar Mkopo wa Sh.Tilioni 1 Kujenga Uwanja wa Ndege Pemba
  20. Zaidi ya Shilingi Bilioni 600 kujenga upya Hospitali ya Muhimbili, Mkopo utalipwa baada ya miaka 25
  21. Benki ya AfDB yaidhinisha Mkopo wa Tsh. Bilioni 165.6 kwaajili ya kusaidia Benki ya Kilimo Tanzania (TADB)
  22. African Development Bank yaidhinisha mkopo wa zaidi ya trilioni 1.4 kujenga reli itakayounganisha Burundi na Tanzania
  23. Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
  24. Korea yaikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 400 za kujenga Hospitali ya Rufaa Zanzibar
Nakuongezea
View: https://www.instagram.com/p/C8aOhqzNSf9/?igsh=MTAyb2tvbGN5enUzdg==
 
Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua mikopo tangu enzi katika kutimiza majukumu yake ya kimaendeleo na kila siku. Deni la Taifa limekuwa likikua huku Serikali ya awamu ya sita ikilifikisha trilioni 91 kwa miaka 3 iliyokuwa madarakani kutoka trilioni 60 iliyoachwa na Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli.

Hili ni ongezeko la zaidi ya 50% ya deni lililoachwa March 17, 2021 kwa miaka mitatu. Pamoja na kuwa himilivu, kuna sehemu kubwa ya bajeti ya nchi inatumika kulipa madeni haya na kupelekea mchezo wa kukopa hela kutimiza mipango huku hela unazokusanya zikienda kulipa madeni mpaka kupelekea kuwa giza tuendako.

Mwenendo wa deni wa Taifa ulipelekea spika wa Bunge, Job Ndugai kujiuzulu nafasi yake baada ya kusema Ipo siku Tanzania itapigwa mnada baada ya kupelekea mjadala na sintofahamu kubwa.

Nikaona tuweke orodha na itakuwa inaongezeka kulingana na mwenendo wa deni letu, ikianza na deni la mwanzo kulekea mwisho

==========
  1. Mbunge Josephine Genzabuke, aishukuru Serikali ya CCM kwa kupata Mkopo wa Sh. Bilioni Laki Tatu-Jun 3, 2021
  2. Tanzania yakopa Benki ya Dunia tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya Elimu, Barabara na Mawasiliano!-Aug 19, 2021
  3. IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania-Sep 8, 2021
  4. Tanzania imepokea bilioni 67.82 kutoka Serikali ya Ujerumani kupitia Benki yake ya Maendeleo ya KfW-Sep 8, 2021
  5. Japan yaipatia Tanzania mkopo wa Shilingi bilioni 761.8. Zanzibar yapata mgao wa Tsh bilioni 218-Feb 4, 2022
  6. Ziara ya Rais Samia Ufaransa: Tanzania yasaini Mkataba wa Mkopo wa Masharti nafuu wa Euro Milioni 178-Feb 12, 2022
  7. Benki ya Dunia yaipa Tanzania mkopo wa Tsh Trilioni 1.5-Feb 21, 2022
  8. Tanzania yapokea mkopo wa trilioni 1.2 kutoka Benki ya Dunia. Kuboresha tabia nchi, usalama na barabara-May 27, 2022
  9. Tanzania yapata Mkopo wa Dola Mil 278 kutoka Benki ya Dunia-Jun 16, 2022
  10. Ufaransa yaikopesha Tanzania shilingi bilioni 195 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Usambazaji wa Maji safi Shinyanga-Jun 21, 2022
  11. IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4-Jul 19, 2022
  12. Tanzania yapewa mkopo nafuu wa trilion 1.24 kutekeleza mradi wa REA na daraja la Jangwani mto Msimbazi-Nov 21, 2022
  13. Benki ya Dunia yaidhinisha Mkopo wa Shilingi Trilioni oni 1.8 kwa Tanzania kwa ajili ya Sekta ya Afya na kuimarisha Uchumi-Dec 22, 2022
  14. Serikali yapata mkopo wa Tsh. Bilioni 650 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mradi wa BRT awamu ya 4 & 5 mwaka 2023-Dec 29, 2022
  15. Tanzania kupata mkopo mwingine wa Tsh. Bilioni 353.3 kutoka IMF ili kusaidia Uchumi-Feb 28, 2023
  16. StanChart Bank Yaipatia Tanzania Mkopo Nafuu wa Shilingi Bilioni 1.4 Kwa Ajili ya Sgr Lot 3 & 4
  17. Tanzania yapata mkopo wa nyongeza Dola Mil 153 kutoka shirika la fedha duniani (IMF)
  18. Benki ya Dunia imetoa Mkopo wa zaidi ya Shilingi Bilioni 700 Kwenye Kilimo
  19. Uingereza Yaipa Zanzibar Mkopo wa Sh.Tilioni 1 Kujenga Uwanja wa Ndege Pemba
  20. Zaidi ya Shilingi Bilioni 600 kujenga upya Hospitali ya Muhimbili, Mkopo utalipwa baada ya miaka 25
  21. Benki ya AfDB yaidhinisha Mkopo wa Tsh. Bilioni 165.6 kwaajili ya kusaidia Benki ya Kilimo Tanzania (TADB)
  22. African Development Bank yaidhinisha mkopo wa zaidi ya trilioni 1.4 kujenga reli itakayounganisha Burundi na Tanzania
  23. Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
  24. Korea yaikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 400 za kujenga Hospitali ya Rufaa Zanzibar
Mikopo mingi haipokelewi papo.kwa.papo Bali ni mwaka Kwa mwaka
 
Serikali ya Tanzania imekuwa ikichukua mikopo tangu enzi katika kutimiza majukumu yake ya kimaendeleo na kila siku. Deni la Taifa limekuwa likikua huku Serikali ya awamu ya sita ikilifikisha trilioni 91 kwa miaka 3 iliyokuwa madarakani kutoka trilioni 60 iliyoachwa na Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Magufuli.

Hili ni ongezeko la zaidi ya 50% ya deni lililoachwa March 17, 2021 kwa miaka mitatu. Pamoja na kuwa himilivu, kuna sehemu kubwa ya bajeti ya nchi inatumika kulipa madeni haya na kupelekea mchezo wa kukopa hela kutimiza mipango huku hela unazokusanya zikienda kulipa madeni mpaka kupelekea kuwa giza tuendako.

Mwenendo wa deni wa Taifa ulipelekea spika wa Bunge, Job Ndugai kujiuzulu nafasi yake baada ya kusema Ipo siku Tanzania itapigwa mnada baada ya kupelekea mjadala na sintofahamu kubwa.

Nikaona tuweke orodha na itakuwa inaongezeka kulingana na mwenendo wa deni letu, ikianza na deni la mwanzo kulekea mwisho

==========
  1. Mbunge Josephine Genzabuke, aishukuru Serikali ya CCM kwa kupata Mkopo wa Sh. Bilioni Laki Tatu-Jun 3, 2021
  2. Tanzania yakopa Benki ya Dunia tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya Elimu, Barabara na Mawasiliano!-Aug 19, 2021
  3. IMF yaidhinisha mkopo wa Tsh Trilioni 1.2 kwa ajili ya Corona Tanzania-Sep 8, 2021
  4. Tanzania imepokea bilioni 67.82 kutoka Serikali ya Ujerumani kupitia Benki yake ya Maendeleo ya KfW-Sep 8, 2021
  5. Japan yaipatia Tanzania mkopo wa Shilingi bilioni 761.8. Zanzibar yapata mgao wa Tsh bilioni 218-Feb 4, 2022
  6. Ziara ya Rais Samia Ufaransa: Tanzania yasaini Mkataba wa Mkopo wa Masharti nafuu wa Euro Milioni 178-Feb 12, 2022
  7. Benki ya Dunia yaipa Tanzania mkopo wa Tsh Trilioni 1.5-Feb 21, 2022
  8. Tanzania yapokea mkopo wa trilioni 1.2 kutoka Benki ya Dunia. Kuboresha tabia nchi, usalama na barabara-May 27, 2022
  9. Tanzania yapata Mkopo wa Dola Mil 278 kutoka Benki ya Dunia-Jun 16, 2022
  10. Ufaransa yaikopesha Tanzania shilingi bilioni 195 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa Usambazaji wa Maji safi Shinyanga-Jun 21, 2022
  11. IMF yaidhinishia Tanzania mkopo wa Trilioni 2.4-Jul 19, 2022
  12. Tanzania yapewa mkopo nafuu wa trilion 1.24 kutekeleza mradi wa REA na daraja la Jangwani mto Msimbazi-Nov 21, 2022
  13. Benki ya Dunia yaidhinisha Mkopo wa Shilingi Trilioni oni 1.8 kwa Tanzania kwa ajili ya Sekta ya Afya na kuimarisha Uchumi-Dec 22, 2022
  14. Serikali yapata mkopo wa Tsh. Bilioni 650 kwa ajili ya kuanza ujenzi wa mradi wa BRT awamu ya 4 & 5 mwaka 2023-Dec 29, 2022
  15. Tanzania kupata mkopo mwingine wa Tsh. Bilioni 353.3 kutoka IMF ili kusaidia Uchumi-Feb 28, 2023
  16. StanChart Bank Yaipatia Tanzania Mkopo Nafuu wa Shilingi Bilioni 1.4 Kwa Ajili ya Sgr Lot 3 & 4
  17. Tanzania yapata mkopo wa nyongeza Dola Mil 153 kutoka shirika la fedha duniani (IMF)
  18. Benki ya Dunia imetoa Mkopo wa zaidi ya Shilingi Bilioni 700 Kwenye Kilimo
  19. Uingereza Yaipa Zanzibar Mkopo wa Sh.Tilioni 1 Kujenga Uwanja wa Ndege Pemba
  20. Zaidi ya Shilingi Bilioni 600 kujenga upya Hospitali ya Muhimbili, Mkopo utalipwa baada ya miaka 25
  21. Benki ya AfDB yaidhinisha Mkopo wa Tsh. Bilioni 165.6 kwaajili ya kusaidia Benki ya Kilimo Tanzania (TADB)
  22. African Development Bank yaidhinisha mkopo wa zaidi ya trilioni 1.4 kujenga reli itakayounganisha Burundi na Tanzania
  23. Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51
  24. Korea yaikopesha Tanzania Shilingi Bilioni 400 za kujenga Hospitali ya Rufaa Zanzibar
Mimi naamini kuambiwa "deni ni himilivu" ni changa la macho,infact ni quackery.Hivi sisi wananchi tunajuaje kwamba deni ni himilivu?

Halafu mimi najiuliza,hivi tuliingiaje kwenye dimbwi hili baya kabisa la mikopo, wakati tuna rasilimali lukuki.For God's sake how did we get into this mess.Mbona tunajua kukopa sio lazima.Yaani ni kama sasa wanatulazimisha kuamimi kwamba kukopa ni lazima,huku tunajua kwamba si kweli.

Mimi mtu hatabadilisha mawazo yangu,kukopa ni aibu kwa mtu binafsi na kwa Taifa, kwa kuwa akopaye anakuwa mtumwa wa akopeshaye.Kwa hiyo Tanzania ni mtumwa wa wote waliotukopesha,hu ndio ukweli,haijalishi kama deni ni "himilivu" au la,hiyo ni misemo ya quackers,ambao wame-infiltrate mifumo yetu yote ya utawala.Mbona sio siri kwamba our country is "state captured" to the highest level.
 
Mbona amekopa kidogo sana kulinganisha na maendeleo yanayotokea? Yaani huku treni ya umeme, hatujamaliza, bwawa la mwalimu hilo hapa, chafya haijakatika Mv. Mwanza na daraja la kigongo Busisi, hatujamaliza kumuuliza amepigaje hapo, daraja la Jangwani linataka kujengwa.

Toyangana gete, twibohoja, tokogeshe ng'wa nani? Tunasubiri jibu, soko kuu mwanza, stendi nyamongolo, na nyegezi hizi hapa.

Bhojo, omuka, buhaya, chuo kikuu hiki hapa! Omwanawaitu, na Bukoba ina njia nne zinajengwa na bandari ya kemondo, bukoba, mwanza kusini, zinafumuliwa fumuliwa zijengwe upya.

Urakoze? Ahhaaahaa, na bandari ya kigoma inasukwa

Nchi nzima nyundo zinalia na magreda yanaunguruma. Nchi imekuwa kama construction site
 
Mikopo mingi haipokelewi papo.kwa.papo Bali ni mwaka Kwa mwaka
Sawa, lakini kwa mujibu wa mleta mada mikopo hiyo ni trend ya miaka mi3 toka bi mkubwa aingie magogoni and so tungetegemea tayari tuone matokeo chanya ya mikopo mingi.
Sasa mbona hali ya kiuchumi huku kitaa ni tait sana, imeelekezwa wapi mikopo hiyo?!.
 
Sawa, lakini kwa mujibu wa mleta mada mikopo hiyo ni trend ya miaka mi3 toka bi mkubwa aingie magogoni and so tungetegemea tayari tuone matokeo chanya ya mikopo mingi.
Sasa mbona hali ya kiuchumi huku kitaa ni tait sana, imeelekezwa wapi mikopo hiyo?!.
Matokeo kama yapi hayo chanya ambayo wewe ulitegemea
 
Hiyo ya barabara ndio imeniacha hoi wakati barabara zote kwa sasa hazipitiki. Yaani zinazibwa viraka tu.
 
Matokeo kama yapi hayo chanya ambayo wewe ulitegemea
Mzunguko wa biashara uko chini sana, tulitegemea sasa mikopo hiyo pengine ingebust uchumi wa baadhi ya watanzania hivyo kuongeza flow ya pesa.
Lakini bado hali ni ngumu sawa na hatujapata mkopo hata 10!.
 
Ongeza la Jana la IMF sijui la mabilioni mangapi 😡
 
Back
Top Bottom