Orodha ya mishahara ya Marais wa Afrika ni jambo la kujiuliza na kutafakari

Orodha ya mishahara ya Marais wa Afrika ni jambo la kujiuliza na kutafakari

Ni Rais ghani Afrika anayepokea mshahara mkubwa kuliko wote Afrika , kwa mujibu wa mtandao wa Africa business , walichapisha chapisho la viongozi wa Afrika wanaopokea mshahara mrefu kuliko wote, ambapo wengi wa viongozi hao wana utajiri wao binafsi ukiachana na uongozi.

Ambapo kipindi cha uchaguzi viongozi hupelekea kupigana kutokana kugombea nafasi ya uongozi wa nchi kutokana na ukusanyajji wa taarifa mbalimbali ikiwemo CIA WORLD FACTBOOK inaonesha mishahara ya Raisi

Namba moja;
Paul Biya ni Rais wa Cameroon ambapo ameingia madarakani november 1982 hadi sasa ana miaka 88 akipokea Bilioni 1.5 kwa mwaka.
Namba mbili;
Mfalme Mohammed VI wa Moroko aliingia madarakani mwaka 1999 baada ya kifo cha baba ake ambapo kwa mwaka anapokea Bilioni 1.1
Namba tatu;
Cyril Ramaphosa ni rais wa Afrika kusini ambapo ameingaia madarakani 2018 hadi sasa akipokea Milioni 520 kwa mwaka ni miongoni wa matajiri Afrika kusini.
Namba nne;
Uhuru kenyatta ni Rais wa awamu ya nne kenya akipokea milioni 448 kwa mwaka pia akiwa na utajiri unaokadiriwa kufikia Trilioni 1.5
Namba tano;

Yoweri Museveni ni miongoni wa marais walotawala kwa kipindi kirefu Afrika kwa miaka 34 akipokea milioni 427 kwa mwaka.
Namba sita
Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune akipokea milioni 398 kwa mwaka.
Namba saba
Rais wa Equatorial Guinea Teodoro Obiang Nguema Mbasogo akipokea milioni 356 kwa mwaka.
Namba nane
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa akipokea milioni 341 kwa mwaka
Namba Tisa
Rais wa Republic of Congo Denis Sassouakipokea milioni 252 kwa mwaka. Namba Kumi
Rais wa Ivory coast Alassane Ouattara akipokea milioni 233 kwa mwaka

mimi nilifikiri wangetajwa hata wale Marais wenye mshahara wa chini kabisa ili tujue uwezo wake na Kodi za mwananchi anazolipwa
 
Gombea tafadhali afu Mimi nitakuwa kuwa mke wa rais
Hapo una hakikisha mtoto wako mmoja yupo hadhina mwingine TISS, Shemeji bank kuu mwingine bandari, mkwe jaji
Had hapo mchezo umekamilika
 
willliam mhando alikua anakunja 40m/m, simuoni katika listi
 
Hivi kwanini huwa mnaona TISS wana hela??
Shida sio Ela Ila ujasusi. Hiv unazania M7 ni mjingaa kumweka mtoto wake kwenye kile cheo jeshini? Kama asinge kuwa hapo angehakikisha anampenyeza ata usalama wa taifa ili kulinda mambo yake. Alaf sahv wanawafanyia maigizo watu
 
Yule raisi anayeendesha baiskeli atakuwa wa mwisho kwa kulipwa pesa ndogo Africa.
 
Hivi kwanini huwa mnaona TISS wana hela??
Hata mimi huwa nawashangaa sana wanaodhani TISS kuna hela za bure bure ama hela ndefu.

Ingawaje mdau hapo juu pengine amemaanisha ukiwa na mtu wa TISS atakuwa anakupenyezea taarifa muhimu kama kuna msala ama vinginevyo.

Pia Jaji ni kumlinda endapo atapelekwa mahakamani kwa ubadhirifu wa mali ya umma.
 
Fanya update hapo, Rais wa visiwa vya Comoro Azzali Athouman anakunja Euro 32,600 per month which is equal to 81,500,000/- Tsh ambayo kwa mwaka ni sawa na 978,000,000/- Tsh, anakaa namba tatu hapo.
 
Hata mimi huwa nawashangaa sana wanaodhani TISS kuna hela za bure bure ama hela ndefu.

Ingawaje mdau hapo juu pengine amemaanisha ukiwa na mtu wa TISS atakuwa anakupenyezea taarifa muhimu kama kuna msala ama vinginevyo.

Pia Jaji ni kumlinda endapo atapelekwa mahakamani kwa ubadhirifu wa mali ya umma.
Wewe Sasa umeelewa nilichomaanisha.
 
Ni Rais ghani Afrika anayepokea mshahara mkubwa kuliko wote Afrika , kwa mujibu wa mtandao wa Africa business , walichapisha chapisho la viongozi wa Afrika wanaopokea mshahara mrefu kuliko wote, ambapo wengi wa viongozi hao wana utajiri wao binafsi ukiachana na uongozi.

Ambapo kipindi cha uchaguzi viongozi hupelekea kupigana kutokana kugombea nafasi ya uongozi wa nchi kutokana na ukusanyajji wa taarifa mbalimbali ikiwemo CIA WORLD FACTBOOK inaonesha mishahara ya Raisi

Namba moja;
Paul Biya ni Rais wa Cameroon ambapo ameingia madarakani november 1982 hadi sasa ana miaka 88 akipokea Bilioni 1.5 kwa mwaka.
Namba mbili;
Mfalme Mohammed VI wa Moroko aliingia madarakani mwaka 1999 baada ya kifo cha baba ake ambapo kwa mwaka anapokea Bilioni 1.1
Namba tatu;
Cyril Ramaphosa ni rais wa Afrika kusini ambapo ameingaia madarakani 2018 hadi sasa akipokea Milioni 980 kwa mwaka ni miongoni wa matajiri Afrika kusini.
Namba nne;
Uhuru kenyatta ni Rais wa awamu ya nne kenya akipokea milioni 448 kwa mwaka pia akiwa na utajiri unaokadiriwa kufikia Trilioni 1.5
Namba tano;

Yoweri Museveni ni miongoni wa marais walotawala kwa kipindi kirefu Afrika kwa miaka 34 akipokea milioni 427 kwa mwaka.
Namba sita
Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune akipokea milioni 398 kwa mwaka.
Namba saba
Rais wa Equatorial Guinea Teodoro Obiang Nguema Mbasogo akipokea milioni 356 kwa mwaka.
Namba nane
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa akipokea milioni 341 kwa mwaka
Namba Tisa
Rais wa Republic of Congo Denis Sassouakipokea milioni 252 kwa mwaka. Namba Kumi
Rais wa Ivory coast Alassane Ouattara akipokea milioni 233 kwa mwaka

Yaani Tanzania tuna gundu.

Kika orodha nzuri htupo kwenye kumi bora

Sijafurahi😡
 
Shida sio Ela Ila ujasusi. Hiv unazania M7 ni mjingaa kumweka mtoto wake kwenye kile cheo jeshini? Kama asinge kuwa hapo angehakikisha anampenyeza ata usalama wa taifa ili kulinda mambo yake. Alaf sahv wanawafanyia maigizo watu
Nimekuelewa
 
Ni hela ndogo sana kulingana na kazi kubwa wanayoifanya kuwaongoza mazumbukuku.
 
Ni Rais ghani Afrika anayepokea mshahara mkubwa kuliko wote Afrika , kwa mujibu wa mtandao wa Africa business , walichapisha chapisho la viongozi wa Afrika wanaopokea mshahara mrefu kuliko wote, ambapo wengi wa viongozi hao wana utajiri wao binafsi ukiachana na uongozi.

Ambapo kipindi cha uchaguzi viongozi hupelekea kupigana kutokana kugombea nafasi ya uongozi wa nchi kutokana na ukusanyajji wa taarifa mbalimbali ikiwemo CIA WORLD FACTBOOK inaonesha mishahara ya Raisi

Namba moja;
Paul Biya ni Rais wa Cameroon ambapo ameingia madarakani november 1982 hadi sasa ana miaka 88 akipokea Bilioni 1.5 kwa mwaka.
Namba mbili;
Mfalme Mohammed VI wa Moroko aliingia madarakani mwaka 1999 baada ya kifo cha baba ake ambapo kwa mwaka anapokea Bilioni 1.1
Namba tatu;
Cyril Ramaphosa ni rais wa Afrika kusini ambapo ameingaia madarakani 2018 hadi sasa akipokea Milioni 980 kwa mwaka ni miongoni wa matajiri Afrika kusini.
Namba nne;
Uhuru kenyatta ni Rais wa awamu ya nne kenya akipokea milioni 448 kwa mwaka pia akiwa na utajiri unaokadiriwa kufikia Trilioni 1.5
Namba tano;

Yoweri Museveni ni miongoni wa marais walotawala kwa kipindi kirefu Afrika kwa miaka 34 akipokea milioni 427 kwa mwaka.
Namba sita
Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune akipokea milioni 398 kwa mwaka.
Namba saba
Rais wa Equatorial Guinea Teodoro Obiang Nguema Mbasogo akipokea milioni 356 kwa mwaka.
Namba nane
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa akipokea milioni 341 kwa mwaka
Namba Tisa
Rais wa Republic of Congo Denis Sassouakipokea milioni 252 kwa mwaka. Namba Kumi
Rais wa Ivory coast Alassane Ouattara akipokea milioni 233 kwa mwaka

Huyo wa million 356
Ina maana KILA siku yeye anakunja 1M.
[emoji28][emoji16]
 
Ni Rais ghani Afrika anayepokea mshahara mkubwa kuliko wote Afrika , kwa mujibu wa mtandao wa Africa business , walichapisha chapisho la viongozi wa Afrika wanaopokea mshahara mrefu kuliko wote, ambapo wengi wa viongozi hao wana utajiri wao binafsi ukiachana na uongozi.

Ambapo kipindi cha uchaguzi viongozi hupelekea kupigana kutokana kugombea nafasi ya uongozi wa nchi kutokana na ukusanyajji wa taarifa mbalimbali ikiwemo CIA WORLD FACTBOOK inaonesha mishahara ya Raisi

Namba moja;
Paul Biya ni Rais wa Cameroon ambapo ameingia madarakani november 1982 hadi sasa ana miaka 88 akipokea Bilioni 1.5 kwa mwaka.
Namba mbili;
Mfalme Mohammed VI wa Moroko aliingia madarakani mwaka 1999 baada ya kifo cha baba ake ambapo kwa mwaka anapokea Bilioni 1.1
Namba tatu;
Cyril Ramaphosa ni rais wa Afrika kusini ambapo ameingaia madarakani 2018 hadi sasa akipokea Milioni 980 kwa mwaka ni miongoni wa matajiri Afrika kusini.
Namba nne;
Uhuru kenyatta ni Rais wa awamu ya nne kenya akipokea milioni 448 kwa mwaka pia akiwa na utajiri unaokadiriwa kufikia Trilioni 1.5
Namba tano;

Yoweri Museveni ni miongoni wa marais walotawala kwa kipindi kirefu Afrika kwa miaka 34 akipokea milioni 427 kwa mwaka.
Namba sita
Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune akipokea milioni 398 kwa mwaka.
Namba saba
Rais wa Equatorial Guinea Teodoro Obiang Nguema Mbasogo akipokea milioni 356 kwa mwaka.
Namba nane
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa akipokea milioni 341 kwa mwaka
Namba Tisa
Rais wa Republic of Congo Denis Sassouakipokea milioni 252 kwa mwaka. Namba Kumi
Rais wa Ivory coast Alassane Ouattara akipokea milioni 233 kwa mwaka

Unakuta anazoingiza nje ya mshahara ni kubwa kuliko mshahara
 
Back
Top Bottom