Orodha ya mwisho ya Klabu Bora Africa 2023

Orodha ya mwisho ya Klabu Bora Africa 2023

Sawadakta nami nimehisi hivyo ila akili ikanigomea USM alger ambae ametwa shirikisho na bado akamtwanga al ahly kwenye super cup japo ligi ya ndani hakufanya vizuri, ndio asiwemo hata kwenye 10 bora wakati hapo kawazidi mafanikio wengi tu, kuna watu wapo kwenyr listi hata kombe la nyumbani hawakubeba, makombe ya caf hawakugusa.
[emoji23][emoji23]
 
Sawadakta nami nimehisi hivyo ila akili ikanigomea USM alger ambae ametwa shirikisho na bado akamtwanga al ahly kwenye super cup japo ligi ya ndani hakufanya vizuri, ndio asiwemo hata kwenye 10 bora wakati hapo kawazidi mafanikio wengi tu, kuna watu wapo kwenyr listi hata kombe la nyumbani hawakubeba, makombe ya caf hawakugusa.
Sure
 
Hatujakataa ila zikiletwa takwimu za simba takadini na mazuzu wenzake watatumia kila aina njia kuthibitisha sio kweli mpaka sasa hawaamini kwamba simba ni team ya kwanza Tanzania kushiriki AFL na kuileta VAR uwanja wa mkapa.
 
Hatujakataa ila zikiletwa takwimu za simba takadini na mazuzu wenzake watatumia kila aina njia kuthibitisha sio kweli mpaka sasa hawaamini kwamba simba ni team ya kwanza Tanzania kushiriki AFL na kuileta VAR uwanja wa mkapa.
Kutumia VAR nayo ni takwimu? mzee Rage aliona mbali
 
Hatujakataa ila zikiletwa takwimu za simba takadini na mazuzu wenzake watatumia kila aina njia kuthibitisha sio kweli mpaka sasa hawaamini kwamba simba ni team ya kwanza Tanzania kushiriki AFL na kuileta VAR uwanja wa mkapa.
[emoji23][emoji23] VAR Hata kwangu ipo kitambo
 
Poti za caf wakati wa kupanga makundi zilimaliza kila kitu na kila mtu akajua nafasi yake kweye pot
 
Sawadakta nami nimehisi hivyo ila akili ikanigomea USM alger ambae ametwa shirikisho na bado akamtwanga al ahly kwenye super cup japo ligi ya ndani hakufanya vizuri, ndio asiwemo hata kwenye 10 bora wakati hapo kawazidi mafanikio wengi tu, kuna watu wapo kwenyr listi hata kombe la nyumbani hawakubeba, makombe ya caf hawakugusa.
IFFHS wao hawa deal na mafanikio bali wana deal na overall performance za timu. Wao kazi yao ni kuchukua takwimu za idadi ya mechi ulizocheza, idadi ya magoli uliyofunga, idadi ya magoli uliyoruhusu, idadi ya clean sheet, idadi ya mechi ulizoshinda n k. Wao ni mwendo wa namba tu na ndio maana wanaitwa international federation of football history and statistics ( IFFHS)
 
Back
Top Bottom