Orodha ya Nchi Maskini zinazoongoza kwa mikopo kutoka China

Namba 3 imenikumbusha Mabeki mashuhuri

1. Mohamed Kajole - Simba

2. Ahmed Amasha - Yanga

3. Fred Felix Minziro - Yanga

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸΌ
 
Kimasihara masihra nchi itauzwa kwa kushindwa himili madeni,
Kama vipi mie nipewe changu nikatafute pakuishi katika hilo deni la dola bilioni 12.6 sijala hata thumni
 
mbona kenya aipo wakati kidogo wachina wachukue uwanja wa ndege wa jomo kenyata na bandari ya mombasa?
Labda haipo kwenye kigezo cha nchi maskini sana kama sisi duniani.

Hapo ni wenye madeni makubwa na maskini wa kutupwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…