Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gazeti ya uingereza hilo hawajui kama kuna simu inaitwa TECNOTECNO hatumo, TECNO pop 8 airwing
Hahahahahaha AFADHAli wasijueGazeti ya uingereza hilo hawajui kama kuna simu inaitwa TECNO
Usiwaze mzeeAhsante kwa taarifa...
Mtatuvunja mbavu jamani,,
Tecno Ni Brand Kubwa Isiyojulikana Kutokana Na Mambo Yake Ya Ajabu
Jidanganye,wewe chakufanya angalia simu yako ina android version chini ya tano basi.Sasa hapo si watanzania karibia wote wamepona...
Bora wasijue, wakijua tu tumeumia.Gazeti ya uingereza hilo hawajui kama kuna simu inaitwa TECNO
Aiseeemwenye huo mtandao sijui anajisahau sana
wengine wakiwa busy kusogeza huduma zao kwa jamii yeye kila mwaka anatoa list ya simu zitakazokosa huduma yake
ipo siku atakuja mpinzani wa whatsapp atajuta
[emoji38][emoji38][emoji38]Tecno imepona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1487]
Wao wametaja hizo IPhone 4S,5,5S,5C,6 na 6C watatakiwa ku update OP kuwa IOS 9 na za Android 4.0.3 Operating Systemiphone zote ulizotaja hapo,zitaendelea kuwa na whatsapp maana zina sifa tajwa ios 10 na kuendelea.
miaka 2 baadae labda ndio tutafikiria kuitoa 5,5c maana ina ios 10.