Orodha ya Simu ambazo ifikapo mwezi Novemba 2021 hazitaweza kuingia WhatsApp

Orodha ya Simu ambazo ifikapo mwezi Novemba 2021 hazitaweza kuingia WhatsApp

OMG lenovo😥😥, but cm za lava zinatumika kama kawa thanks maana ni mpya tupu
 
Duh, moyo ulikuwa unanidunda na tecno yangu
 
😂😂tecno haipo🤸🏿‍♂️🤸🏿‍♂️
 
iphone zote ulizotaja hapo,zitaendelea kuwa na whatsapp maana zina sifa tajwa ios 10 na kuendelea.

miaka 2 baadae labda ndio tutafikiria kuitoa 5,5c maana ina ios 10.
 
iphone zote ulizotaja hapo,zitaendelea kuwa na whatsapp maana zina sifa tajwa ios 10 na kuendelea.

miaka 2 baadae labda ndio tutafikiria kuitoa 5,5c maana ina ios 10.
Wao wametaja hizo IPhone 4S,5,5S,5C,6 na 6C watatakiwa ku update OP kuwa IOS 9 na za Android 4.0.3 Operating System
 
Back
Top Bottom