Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NhifOfisi na taasisi nyingi za serikali hawapokei simu pamoja na kuweka namba za simu mtandaoni.
- BRELA
- Baraza la wataalamu wa maabara
Kwani ring tone ilikuwa inaongea lugha ya malkia?BRELA walikuwa hawapokei, kuna siku nikawapigia kupitia Lugha ya malikia wakapokea fasta!
Ukipiga unaambiwa kwa kiswahili bonyeza 1, for english press 2.Kwani ring tone ilikuwa inaongea lugha ya malkia?
Sent from my SM-A530N using JamiiForums mobile app
Na baadhi ya mitandao ya simu pia shenzi zao, unapiga huduma kwa wateja inaita tu haipokelewi.
Wanazingua sana, unakosea muamala utapiga mpaka utaamua hela ipoteeHalotel hao
TanapaOfisi na taasisi nyingi za serikali hawapokei simu pamoja na kuweka namba za simu mtandaoni.
- BRELA
- Baraza la Wataalamu wa Maabara
Karibu taasisi zote za serikali hawapokei simu hata kama namba zipo, kwenye e-mail sasa ndo shughuli. Hawajibu kabisa. Hili wakubwa huko juu waliangalie, nchi inaenda kianalogy sana.Ofisi na taasisi nyingi za serikali hawapokei simu pamoja na kuweka namba za simu mtandaoni.
- BRELA
- Baraza la Wataalamu wa Maabara
Mkurugenzi wa hapo ni mpumbavuDaah Kuna wapuuzi fulan, na minamba yao, nilipiga simu kuanzia Asubuhi mpaka saa nane ,hawapokei !!.
Hivi Huwa wanaweka zann
UtumishiOfisi na taasisi nyingi za serikali hawapokei simu pamoja na kuweka namba za simu mtandaoni.
- BRELA
- Baraza la Wataalamu wa Maabara
Walijua mchongo unajipelekaBRELA walikuwa hawapokei, kuna siku nikawapigia kupitia Lugha ya malikia wakapokea fasta!
Hata hao wakubwa huko juu nani kakuambia ofisini kwao simu zinapokelewa?Karibu taasisi zote za serikali hawapokei simu hata kama namba zipo, kwenye e-mail sasa ndo shughuli. Hawajibu kabisa. Hili wakubwa huko juu waliangalie, nchi inaenda kianalog sana.