Mtu Asiyejulikana
JF-Expert Member
- Sep 11, 2017
- 2,254
- 5,161
Umeongea upupu tu. Simu unapopiga lugha inahusikaje?kama hawakupokea....shule si zimefunguliwa lakini?huendi shule wewe dogo?BRELA walikuwa hawapokei, kuna siku nikawapigia kupitia Lugha ya malikia wakapokea fasta!
Tafuta namba zao mtandaoni uwapigie utaulizwa utumie lugha gani, Acha kelele!Umeongea upupu tu. Simu unapopiga lugha inahusikaje?kama hawakupokea....shule si zimefunguliwa lakini?huendi shule wewe dogo?
Halotel kumejaa mayai vizaNa baadhi ya mitandao ya simu pia shenzi zao, unapiga huduma kwa wateja inaita tu haipokelewi.
Nyie form four leaver mnasumbua sana humu ndani.Tafuta namba zao mtandaoni uwapigie utaulizwa utumie lugha gani, Acha kelele!
Za monchwari au wapi hizo?Jaribu kupiga 112 au 114
HELSB....Ofisi na taasisi nyingi za serikali hawapokei simu pamoja na kuweka namba za simu mtandaoni.
- BRELA
- Baraza la Wataalamu wa Maabara
Hawa wamekithiri huwa naamua kuwatumia sms kwenye ac zao za mitandao ya kijamii na kwenye email. Jana niliongea na mhudumu wao ni mdada ana kichwa kigumu sana haelewi tatizo langu mwisho akaniambia kata simu kuna ujumbe utatumwa kwenye line ukiingia nipige tena, mpaka sasa huo ujumbe hakuna.Halotel kumejaa mayai viza
Wanazingua sana, unakosea muamala utapiga mpaka utaamua hela ipotee
Hawa wamekithiri huwa naamua kuwatumia sms kwenye ac zao za mitandao ya kijamii na kwenye email. Jana niliongea na mhudumu wao ni mdada ana kichwa kigumu sana haelewi tatizo langu mwisho akaniambia kata simu kuna ujumbe utatumwa kwenye line ukiingia nipige tena, mpaka sasa huo ujumbe hakuna.
Ongeza Benki Kuu Dar es Salaam. Ukitaka uwapate ni hadi upige simu Dodoma halafu wakupe namba zao za mikononiOfisi na taasisi nyingi za serikali hawapokei simu pamoja na kuweka namba za simu mtandaoni.
- BRELA
- Baraza la Wataalamu wa Maabara
Shule mkuu wanaajiri watu ambao hawana ujuzi na kazi hiyoNa wakipokea hawana jibu la maana sijui wanakwama wapi
Shule mkuu wanaajiri watu ambao hawana ujuzi na kazi hiyo
π¬π¬ they lack proffessionalism mbwa hawa wanawekana tu ofisini. Mwaka juzi nilienda halotel Dodoma HQ, nilikua nafuatilia taarifa za miamala ni kitendo cha kuniprintia tu ebhana eeh nilizungushwa oh mara mhasibu hayupo, nenda urud sijui ijumaa yaani full kero mwisho wa siku nikaona upuuzi nikaachana nao. Kulikua na lishangazi jeupe fulani hivi anavyojibu tu unajua hapa kawekwa sio fani yake. Kwanza muda wote lipo insta anakuskiliza huku anaendelea kusurf.Hawaja wapa mafunzo yaliyo bobea huwezi kuta airtel wanafanya ujinga uho umekosea ndani ya masaa kumi na mbili muhamala umeludi
Ndio shule yenyeweNo wakipata izo nafasi wanapewa mafunzo na kampuni sasa pale kampuni ndio inakuwa shida kama watazembea kuwapa mafunzo bora
Ase walikukuta wewe mpole ππ¬π¬ they lack proffessionalism mbwa hawa wanawekana tu ofisini. Mwaka juzi nilienda halotel Dodoma HQ, nilikua nafuatilia taarifa za miamala ni kitendo cha kuniprintia tu ebhana eeh nilizungushwa oh mara mhasibu hayupo, nenda urud sijui ijumaa yaani full kero mwisho wa siku nikaona upuuzi nikaachana nao. Kulikua na lishangazi jeupe fulani hivi anavyojibu tu unajua hapa kawekwa sio fani yake. Kwanza muda wote lipo insta anakuskiliza huku anaendelea kusurf.
Mimi nadhani halotel wakiajiri wasichana wanaangalia chura hawaangalii kilicho kichwani.Hawa wamekithiri huwa naamua kuwatumia sms kwenye ac zao za mitandao ya kijamii na kwenye email. Jana niliongea na mhudumu wao ni mdada ana kichwa kigumu sana haelewi tatizo langu mwisho akaniambia kata simu kuna ujumbe utatumwa kwenye line ukiingia nipige tena, mpaka sasa huo ujumbe hakuna.
Kweli kabisa yani ni wa hovyo sanaMimi nadhani halotel wakiajiri wasichana wanaangalia chura hawaangalii kilicho kichwani.
Kila siku tunawaambia...
Jamani matako sio akili.