John Gregory
JF-Expert Member
- Jul 14, 2019
- 1,137
- 2,147
Kwa mujibu wa shirika la Soccerzone, iliyotoa orodha ya vilabu vyenye mafanikio zaidi kwa kila nchi, Club ya Yanga pekee imeng'ara kwa alama nyingi zaidi ikiachwa mbali kidogo na mahasimu wao club ya Al ahly ya nchini Misri.
Orodha hiyo yenye vilabu kama
TP Mazembe ya nchini Congo
Al ittihad ya nchini Libya
Asec Mimosas ya nchini Ivory coast
Esperancè de Tunis ya nchini Tunisia
Wydad AC ya nchini Morroco
Na club nyinginezo kubwa katika bara la Africa.
Hongera Yanga sc
Hongera Tanzania
Orodha hiyo yenye vilabu kama
TP Mazembe ya nchini Congo
Al ittihad ya nchini Libya
Asec Mimosas ya nchini Ivory coast
Esperancè de Tunis ya nchini Tunisia
Wydad AC ya nchini Morroco
Na club nyinginezo kubwa katika bara la Africa.
Hongera Yanga sc
Hongera Tanzania