Orodha ya Viongozi, Wanachama, Wananchi na Waandishi wa Habari waliokamatwa kwenye Maandamano ya CHADEMA

Orodha ya Viongozi, Wanachama, Wananchi na Waandishi wa Habari waliokamatwa kwenye Maandamano ya CHADEMA

Leo nimeona sura ya Nicole, havutii kabisa, sijui kama atapata mume
GYKLyRsXwAAXxr_.jpg
 
Anaupiga mwingi!
Tunapumua baada ya kuonewa san
Anatufuta machozi
Anafungua nchi

Au kama vipi tumualike tena kwenue jukwaa letu la bawacha
 
This is an official report provided by Tanzania police that 14 lone oppositon leaders have been arrested on an attempted demonstration which was not supported by majority of Citizens.
 
Orodha hii itaendelea kuboreshwa kwa kadri Majina mengine yanavyotufikia.


Hii ni orodha ya viongozi, wanachama, wananchi na waandishi wa habari walioathirika na kushikiliwa na Jeshi la Polisi leo tarehe 23 Septemba, 2024.

  1. Mheshimiwa Freeman Mbowe - Mwenyekiti wa Chama Taifa
  2. Mheshimiwa Tundu Lissu - Makamu Mwenyekiti Bara
  3. Mheshimiwa Benson Kigaila-Naibu Katibu Mkuu Bara
  4. Mheshimiwa Godbless Lema - Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini
  5. Mheshimiwa Rhoda Kunchela - Mwenyekiti Mkoa wa Katavi
  6. Mheshimiwa Emmanuel Ntobi - Mwenyekiti Mkoa wa Shinyanga
  7. Mheshimiwa Aisha Madoga - Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa Dodoma
  8. Mheshimiwa Jerome Ulomi- Katibu Mkoa wa Ilala
  9. Dr.Lilian Mtei - Mke wa Freeman Mbowe
  10. Nicole Freeman Mbowe (Wakili) na mtoto wa Freeman Mbowe
  11. Rosse Mramba - Mwenyekiti Bavicha Kawe
  12. Josephine Lwambuka - M/hazina Bawacha Kawe
  13. Othman Makame - Mwenyezi Bavicha Kawe
  14. Noel Charles - Mwenyezi Goba
  15. Amani Mwakalinga - Mwenyezi Kinzudi
  16. Mary Isack - Mwenyekiti Bazecha Kwembe
  17. Deonis Kimaro - Kwembe
  18. Edward Mphuru - Mwenyezi Segerea
  19. Edward Zombe - Mwenyekiti Bazecha Segerea
  20. John Peter - Segerea
  21. Paul Msangi - Segerea
  22. Abed Mdegela - Mwenyezi Pascal Mudaa - Segerea
  23. Leila Asali - Segerea
  24. Savera Madale - Segerea
  25. Emanuela Andrew - Mwenyekiti wa Bavicha Kinondoni
  26. Leocadia Njau - Mwenyekiti wa Bavicha Kinondoni
Soma Pia:
Mambo mengine ni aibu mbele ya macho ya Kimataifa
 
Back
Top Bottom