harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,907
Mzee baba yule muhindi wa kwimba yule nadhani anaweza chinjiwa kulekule wilayani au mkoani.
Mwanini zinikatae!Mkuu kama unavuta bangi juwa zimekukataa .
aahahaaaaKuna mbunge wa viti maalum nilikuwaga namkula kimashara sijuwi atarejea jamani make ashanilemaza hata kazi nilikuwa sitaki kufanya.
Mwenye ku delete hao msiotaka au asiotaka ni mpiga kura au wenye nchi?
Inategemea jiwe kaamkaje siku hiyo. Inashangaza vijana wa kisasa kushabikia ccm.Kuna kila sababu ya wabunge na watia nia hawa, kutopitishwa na vyama vyao vya siasa kugombea .
1. Wabunge wote wa CHADEMA sababu wameonesha kuwa siasa zao ni za kujinufaisha wao bila kujali wananchi! Hasa kipindi cha corona walisikika wakitaka nchi iwe lockdown.
2. Zitto - Kigoma Mjini
3. Raphael Chegeni - Busega
4. Ezekiel Maige - Msalala
5. Masele - Shinyanga Mjini
6. Mabula - Nyamagana
7. W. Ngeleja - Sengerema
8. Mathayo D. - Musoma
9. Dkt. Kamani - Mtia nia Busega
10. Dkt f. Limbu - Mtia nia Magu
11. Kiswaga - Magu
12. Eng Manyanya - Nyasa
13. J. Mhagama - Peramiho
14. Nchambi - Kishapu
15. ........ - Maswa
Unaweza kuongeza wakutoka au kutete wanaotakiwa kuondoka.
Bunge lijalo linaweza kuwa na wabunge wengi kutoka Upinzani,Tusubiri muda utatoa majibu
Bunge lijalo linaweza kuwa na wabunge wengi kutoka Upinzani,Tusubiri muda utatoa majibu
Dk Limbu ameshauriwa safari hii achukue jimbo la Sumve, liko wazi baada ya Mh. Ndassa kufariki. Bila Limbu kwenda kusimama jimbo hilo kuna uwezekano mkubwa kwamba CCM wanaweza kulipoteza. Vijana wa jimbo hilo wote waoga kugombea, unless labda iwe kuna mtu ambaye mimi simfahamu!10. Dkt f. Limbu - Mtia nia Magu
Dk Limbu ameshauriwa safari hii achukue jimbo la Sumve, liko wazi baada ya Mh. Ndassa kufariki. Bila Limbu kwenda kusimama jimbo hilo kuna uwezekano mkubwa kwamba CCM wanaweza kulipoteza. Vijana wa jimbo hilo wote waoga kugombea, unless labda iwe kuna mtu ambaye mimi simfahamu!
Kwa hiyo mwananchi amefungwa na mwenyechama.Kabla ya mpiga kura ni wenye vyama.
Kamati kuu ya chama ndo top. Uzuri wana ma investigators safi.Kwa hiyo mwananchi amefungwa na mwenyechama.
Kwa lugha nyepesi,bila mwananchi kupitia kwenye chama hana kauli ya kuwa mbunge ,diwani hata Raisi.
Pale ndio hapo utumwa mamboleo unapotia fora.
Uzi tayariKuna kila sababu ya wabunge na watia nia hawa, kutopitishwa na vyama vyao vya siasa kugombea .
1. Wabunge wote wa CHADEMA sababu wameonesha kuwa siasa zao ni za kujinufaisha wao bila kujali wananchi! Hasa kipindi cha corona walisikika wakitaka nchi iwe lockdown.
2. Zitto - Kigoma Mjini
3. Raphael Chegeni - Busega
4. Ezekiel Maige - Msalala
5. Masele - Shinyanga Mjini
6. Mabula - Nyamagana
7. W. Ngeleja - Sengerema
8. Mathayo D. - Musoma
9. Dkt. Kamani - Mtia nia Busega
10. Dkt f. Limbu - Mtia nia Magu
11. Kiswaga - Magu
12. Eng Manyanya - Nyasa
13. J. Mhagama - Peramiho
14. Nchambi - Kishapu
15. ........ - Maswa
Unaweza kuongeza wakutoka au kutete wanaotakiwa kuondoka.
Mmemsahau Charles Kitwanga Jimbo la MisungwiKiswahili chenyewe hujui!
Sio kweli🤣🤣🤣 pole sana mkuu!
Nikutabirie wabunge wengi wa upinzani hawatazidi 9 kwa huku bara, tena watakuwa ni wa NCCR na CUF
Bunge lijalo nilawabunge wengi wapya tena ni wa ccm
Naona hajui huyu mtoa mada[emoji16]ITATEGEMEA AMEAMKAJE siku hio.
Mbona Nape umemuacha?16. Ole melya wajimbo la simanjiro
17. Mollel wa Jimbo la siha
18.shaly Raymond viti maalum ccm Kilimanjaro
19. Prof magembe Jimbo la mwanga kilimanjaro
20.Riziwani kikwete Jimbo la chalinze
21. Job ndugai Jimbo la kongwa
22. Mbunge Jimbo la nyangwale geita
23. Mbunge Jimbo la Arusha mjini CDM
24. Mbunge Jimbo la meru ccm
25. January makamba
26. Mbunge wa biharamulo
27. Mbunge wa Jimbo la Serengeti Mara
28. Jimbo la monduli arusha
HarudiEti job ndugai nimecheeeka[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu hatamuacha hta kwa nyungu.