Uchaguzi 2020 Orodha ya wabunge na watia nia ambao kama watagombea hawatarudi bungeni 2020 kupitia vyama vyao au kisanduku cha kura

Waloyafanya majimbo yao, Mungu mwenyewe ataingia kazini na kuwaondoa!
Yajayo yanafurahisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ludia kusoma habari kabla ya comment.
Nimesema ndani ya vyama vyao vya siasa au kisanduku cha KURA.

Au hangover za faru john mzee??
Nani ka kwambia kuwa kwa sasa kisanduku cha kura kinaamua mshindi wa uchaguzi? Bali ni nani anatakiwa,walau Demokrasia ili kuwepo 2015-kurudi nyuma. Ndio walau mlikuwa mkiweza kukomaa, sanduku la kura litatoa kura zilizomo!!
 
Kuna mwingine wa Busega sijui Dr kamani nae alikuwa anakwapua matokeo, yani ukiona utacheka.
 
Magu anateua hadi wagombea wa upinzani, hii kweli Tanzania mupya.
 
jamani kwa wale watia nia na wataogombea kikubwa wananchi tunaitaji maendleo naxi ahad zang wakishachaguliwa bhx wengi wao awetekelezi ahadi kwo kwa mwaka u mwananchi tujitaidi kuchagua viongozi bora naxi bora viongoz kila cku tutaishia kulalamik bila mafanikio
 
 
Paragraph ya kwanza tu nikaudharau uzi wako
 
Kwa Dr. Limbu kwenda jimbo la sumve ni afadhari! Maana magu haweziwaambia kitu, yule jamaa mbinafsi sana, anakiburi cha uzima pia, ila watu wa sumve utawasikia tu watakavyolia km watampitisha.

Hapana hayuko hivyo, mimi namfahamu. Kuna tatizo kubwa usukumani kwamba mtu akishakuwa Mbunge wao, wanadhani kuwa atakuwa na uwezo wa kutatua matatizo yao yeye mwenyewe binafsi, ikiwemo kuwapa misaada pamoja na fedha kutoka mfukoni mwake. Dr. Limbu hana uwezo huo, wala mimi au wewe; na ni Wabunge wachache sana ndani ya JMT wanaoweza kufanya hivyo; wapo lakini wachache sana. Limbu for 2020 anawafaa sana wanachi wa Jimbo la Sumve, na CCM pia. Zaidi ni kuwa ni mkongwe ndani ya Chama na hivyo ana uwezo wa kuwa-coordinate, kuwa-mobilize na hata kuwa-guide wagombea Ubunge wenzake wa majimbo jirani na la kwake. Mimi nashauri Limbu wampe Sumve 2020 halafu akipata, ahakikishe kuwa ana vijana rika la 35 mpaka 45 ambao atawa-groom kwa ajili ya kuja kuwaachia majimbo huko mbele ya safari, na asifanye hivyo kwa jimbo lake tu bali kwa majimbo mengine pia yaliyoko jirani naye
 

Jamani namba 26 ni swahiba yangu naomba umuondoe kwa orodha yako!@Mhe.Oscar Mukasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…