Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Mathayo Gekul anamwogopaje Mlemeta wakati wako majimbo tofauti ?Gekul ana mwogopa Kibiki ndiyo maana alicheza Thadei apite, Thadei ni mtu wa karibu sana na Gekul
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mathayo Gekul anamwogopaje Mlemeta wakati wako majimbo tofauti ?Gekul ana mwogopa Kibiki ndiyo maana alicheza Thadei apite, Thadei ni mtu wa karibu sana na Gekul
Hakuna sehemu nimesema Mathayo Gekul labda huyo ni wa kwakoMathayo Gekul anamwogopaje Mlemeta wakati wako majimbo tofauti ?
Kama unamaanisha Pauline Gekul huyo yuko huko mbogamboga na hajapita kwenye kura za maoniHakuna sehemu nimesema Mathayo Gekul labda huyo ni wa kwako
Alimpa 3M kumtoa KibikiKama unamaanisha Pauline Gekul huyo yuko huko mbogamboga na hajapita kwenye kura za maoni
Una ushahidi na hili unalolisema ?Alimpa 3M kumtoa Kibiki
Wewe ni nani mpaka nikupe ushahidi?Una ushahidi na hili unalolisema ?
Anapikwa kiaje? Angekuwa mgeni wa chama asingeweza kumshinda Mrema kwa kura zote zile. Acheni tabia za uCCM, onyesheni demokrasia ya kweli. Au mmemuonea kwa kuwa ni mdada?
Nimeuliza una ushahidi ?Wewe ni nani mpaka nikupe ushahidi?
Wewe ni wa wapi usiyemjua Katambi?Katambi wa wapi
Umeuliza kama nani?Nimeuliza una ushahidi ?
Sijaomba unipe huo ushahidi
Patrobas kwani amerudi CHADEMA lini?Wewe ni wa wapi usiyemjua Katambi?
Kama mwanajamii forumUmeuliza kama nani?
Naona anajipitisha pitisha hapa CHADEMA, sasa hatutaki huo ujinga aisee alishatususa huyo, ameenda huko CCM akakumbana na wajumbe!Patrobas kwani amerudi CHADEMA lini?
Atulie tu ivyo ivyoNaona anajipitisha pitisha hapa CHADEMA, sasa hatutaki huo ujinga aisee alishatususa huyo, ameenda huko CCM akakumbana na wajumbe!
Uteuzi wa gombea ubunge/udiwani huwa haufanyiki namna hiyo; kwa awamu. Jibidishe kusikiliza wataalam kwenye maeneo husika siyo wanasiasa.Wameshasema hayo majina ni awamu ya kwanza, hayo uliyoandika yanaonesha hauna correct information.
Kuna majimbo mengine hawajayatangaza ilihali yana wagombea waliopita kura za maoni.Uteuzi wa gombea ubunge/udiwani huwa haufanyiki namna hiyo; kwa awamu. Jibidishe kusikiliza wataalam kwenye maeneo husika siyo wanasiasa.
Kyerwa? Na anatropia theonest naye kapelekwa wapi? Au umechabga mafile?
Anatropia alikuwa mbunge wa viti maalum jimbo la segerea na safari hii amegombea huko kyerwa na kashinda mwenye kura za maoni.
Nahisi hamfatilii chama, bali mnafatilia ushabiki tu
Mlikuwa na bonge la mbunge bogus ni hakuna mfano, hafai hata bure hilo li-dotard. Useless kabisa.Hata Newala mjini sijaona mtu hapo, Mbunge wetu ni Captain George Mkuchika
Watu na nyie mmezidi umbeya, sasa mtu mwenyewe hajalalamika nyie ndio mje kumlalamikia.!Hizi porojo hazitakiwa hapo kubalini viongozi wamekosea, nahii inavunja moyo wanachama, kiukweli mmemkosea huyu dada nahamjamtendea haki kabisa, 2015 Mrema aligombea Moshi huko ingawa sikumbuki jina lajimbo kwa nini asingerudi huko?.
Kwahio aligombea kura za maoni, ili ampishe Mrema?. Mbona unakuwa na akili ndogo mkuu, unajuaje kama hajalalamika?. Hizi tabia zakufumbia ujinga kisa unafanywa nawachama chetu hautakiwi, ccm wakimrudisha Makonda mtaanza kupiga kelele kuwa ccm wanampendelea huku nanyie mnafanya utopolo kama huo.Watu na nyie mmezidi umbeya, sasa mtu mwenyewe hajalalamika nyie ndio mje kumlalamikia.!
Hata Messi hawezi kucheza siku zote na timu bado inashinda, hamuwezi kujua watu wana mkakati gani.