Orodha ya Wakurugenzi wa Usalama wa Taifa Tanzania "TISS" Tangu uhuru

Kuna mmoja wa hawa wakurugenzi ameweka rekodi ya kipekee sana.
Alianza na Nyerere, mwaka 1983 akaendelea na Mwinyi mpaka mwisho wa utawala wa Mwinyi wa miaka 10, halafu akaingia tena hadi utawala wa Mkapa na akafariki mwaka 1996
Kwa nini aliuawa wakati wa Mkapa, ilhali alikuwa ameshafanya kazi na maRais wengine wawili nyuma?
 
Alirudi kutoka vitani akiwa amenunua gari; huko alipata wapi hela nyingi hiyo ya kununua gari?
 
Jamaa ana kimavi kweli,miaka mingi baadae alilazimishwa kujiuzulu uwaziri kwa kosa la mke wake kuforge gharama za matibabu alikokuwa anatibiwa ng'ambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…