Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya

Orodha ya Walimu na Mafundi Sanifu Maabara Ajira Mpya

Haiwezekani watu tumejaza form chuoni kuomba maeneo tunayoweza kupangiwa halafu ninyi mfanye tofauti kabisa na makadirio. kwa mfano mtu umetumia anuani ya dar, umeomba dar, moshi then unajikuta umepangiwa rukwa, hivi mashariki na magharibi wapi na wapi. mbona mikoa jirani na hiyo iko mingi. au zile form hazikua na maana? chakushangaza zaidi mtu mwingine ameomba upande huo huo wa rukwa una mleta mashariki tena kwa masomo hayo hayo. Hivi haya si ni makusudi kabisa. Na hii inasababisha matumizi ya kiasi kikubwa cha pesa za nauli zinazolipwa na serikali pamoja na kero za baadae za watu kubadilishana vituo kiholela bila kujali uhitaji wa wasomo husika. Naomba tatizo hili lijumuishwe kwenye marekebisho yanayoendelea ya walimu ngazi ya shahada na stashahada.

Mimi niliomba Mwanza, Geita na Morogoro nikitumia anwani ya Geita bt nimepangwa Mtwara
 
Haiwezekani watu tumejaza form chuoni kuomba maeneo tunayoweza kupangiwa halafu ninyi mfanye tofauti kabisa na makadirio. kwa mfano mtu umetumia anuani ya dar, umeomba dar, moshi then unajikuta umepangiwa rukwa, hivi mashariki na magharibi wapi na wapi. mbona mikoa jirani na hiyo iko mingi. au zile form hazikua na maana? chakushangaza zaidi mtu mwingine ameomba upande huo huo wa rukwa una mleta mashariki tena kwa masomo hayo hayo. Hivi haya si ni makusudi kabisa. Na hii inasababisha matumizi ya kiasi kikubwa cha pesa za nauli zinazolipwa na serikali pamoja na kero za baadae za watu kubadilishana vituo kiholela bila kujali uhitaji wa wasomo husika. Naomba tatizo hili lijumuishwe kwenye marekebisho yanayoendelea ya walimu ngazi ya shahada na stashahada.

J4 Sagin amesoma gaya maoni na maombi yako. Kasema atayafanyia kazi mkuu
 
Haiwezekani watu tumejaza form chuoni kuomba maeneo tunayoweza kupangiwa halafu ninyi mfanye tofauti kabisa na makadirio. kwa mfano mtu umetumia anuani ya dar, umeomba dar, moshi then unajikuta umepangiwa rukwa, hivi mashariki na magharibi wapi na wapi. mbona mikoa jirani na hiyo iko mingi. au zile form hazikua na maana? chakushangaza zaidi mtu mwingine ameomba upande huo huo wa rukwa una mleta mashariki tena kwa masomo hayo hayo. Hivi haya si ni makusudi kabisa. Na hii inasababisha matumizi ya kiasi kikubwa cha pesa za nauli zinazolipwa na serikali pamoja na kero za baadae za watu kubadilishana vituo kiholela bila kujali uhitaji wa wasomo husika. Naomba tatizo hili lijumuishwe kwenye marekebisho yanayoendelea ya walimu ngazi ya shahada na stashahada.

ww acha kulialia hpa.. tamisemi wanajua wanachofanya.. so kuwapangia watu tofauti na maeneo waliyoomba n kuondoa ile dhana ya preference ambayo watu tunayo.. hv unafikiri kila mtu angepangiwa alikoomba s shule zngine zngekosa walimu... ulishasmbiwa mjini pamejaa mpaka kna walimu wa ziada... kwann tunashindwa kukubali hali halisi ilivo... tamisemi wamefanya hvyo kwa manufaa ya taifa na co matakwa ya mealimu mmoja mmoja.
 
ww acha kulialia hpa.. tamisemi wanajua wanachofanya.. so kuwapangia watu tofauti na maeneo waliyoomba n kuondoa ile dhana ya preference ambayo watu tunayo.. hv unafikiri kila mtu angepangiwa alikoomba s shule zngine zngekosa walimu... ulishasmbiwa mjini pamejaa mpaka kna walimu wa ziada... kwann tunashindwa kukubali hali halisi ilivo... tamisemi wamefanya hvyo kwa manufaa ya taifa na co matakwa ya mealimu mmoja mmoja.

Kuwa mwelewa, km tamisemi wanatumia dhana hiyo basi hakuna haja ya kuwa tunajaza mikoa ya kufanyia kazi. Na kumbuka tulikuwa tunajaza mikoa na siyo shule. Mikoa yenyewe ni mitatu.

Ni kweli walidai kipaumbele ni shule za vijijini lakini tamisemi watabaki kuwa wababaishaji tu. Labda kwa mtu aliyechagua option ya mkoa mmoja tu kwa nafasi zote tatu ndiye anaweza akapelekwa mkoa mwingine ambao hakujaza. Lakini kwa mtu aliyejaza mikoa mitatu tofauti watashindwaje kumpeleka mojawapo ya mkoa alioomba?

Kitu kingine kinachodhihirisha kwamba hawa tamisemi wanapanga watu kijinga bila kuzingatia waliomba wapi ni kwamba;
Inakuwaje wamchukue mtu toka Kigoma wampeleke Lindi wakati hakuomba kupangwa Lindi na wakamwacha mtu wa Lindi aliyeomba kupangwa Lindi wakati kama ni kigezo cha masomo wote wamesoma masomo hayo hayo?
 
Tangazo la ajira mpya ya walimu lilitolewa na tamisemi April 27 liliambatana na ajira mpya kwa mafundi sanifu maabara.Cha kushangaza mbona majina ya hao mafundi sanifu hayaonekani??? Naomba msaada kwa anayefaham lolote kuhusu hilo.
 
Tangazo la ajira mpya ya walimu lilitolewa na tamisemi April 27 liliambatana na ajira mpya kwa mafundi sanifu maabara.Cha kushangaza mbona majina ya hao mafundi sanifu hayaonekani??? Naomba msaada kwa anayefaham lolote kuhusu hilo.

jaman mbona majina ya mafundi sanifu Wa maabara hayapo...???wakati kwenye tangazo lao imeonyesha yapo na majina ya mafundi sanifu Wa maabara
 
Tangazo la ajira mpya ya walimu lilitolewa na tamisemi April 27 liliambatana na ajira mpya kwa mafundi sanifu maabara.Cha kushangaza mbona majina ya hao mafundi sanifu hayaonekani??? Naomba msaada kwa anayefaham lolote kuhusu hilo.

Jamani tatizo ni nini? majina ya mafundi sanifu hayajawekwa?

yeyote mwenye taarifa atujuze tafadhali...
 
Umepangiwa shule gani Iramba ni wilaya ya Singida ni kubwa sana kuliko hata mkoa wenyewe inategemea utapangwa shule gani ila kuna baadhi ya shule ukipangwa zipo kijijini ila zipo bararan kabisa na zina umeme fight upangiwe Kinambeu sec, kizaga sec, kinampanda hizo ni shule nzuri kwa Iramba hasa kinambeu ipo njian kabisa kwenda wilayan kuna umeme wa grid ya taifa pia ni rahis kwenda kupata matibu ktk hospital ya kntc ila Singida kuna ukame maji hayatoki kila siku

hivi kuna majina baadhi yameachwa
 
Back
Top Bottom