Na Mimi Nakuuliza, Hivi Mkeo au Mumeo Katika Macho Ya Wengine Akina Sisi Wanaonekana Kuwa Na Mvuto? Magufuli Siyo Wa CCM Wote Tu Bali Ni Wa Watanzania Wote Na Akinihitaji Nitampigia Kampeni Nchi Nzima Na Kwa Ushawishi Wangu Mkubwa Nilionao Na Niliobarikiwa Nao Na Mwenyezi Mungu ATASHINDA Na KUFANIKIWA Tu. Ewe Mheshimiwa Rais Mtarajiwa Wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli Kaza Kaza Kaza Na Hakuna Wa Kukutisha Huko Mbele Na Najua Yatasemwa Mengi Mabaya Juu Yako ILA Yapuuze Na Angalia Jinsi Ya Kutuongoza Watanzania Kwa Mafanikio Zaidi Ya Pale Mtangulizi Wako Rais Jakaya Mrisho Kikwete Alipoishia Na Endapo UTATAKA Ushirikiano Wangu Wowote Mimi Mathematician Gentamycine TAFADHALI Nitafute Na Kama Na Wewe Huwa Unakuwepo Humu JF Basi Karibu Katika PM Kule Tufanye Mambo Zaidi. Gentamycine Akipenda Mtu au Akikipenda Kitu Basi Ujue Hata Roho Mtakatifu, Malaika Wa Mbinguni Na Mwenyezi Mungu Mwenyewe AMEKIPITISHA Pia. Magufuli Songa Mbele Na ASIKUTISHE Kinshakupe Yoyote Kwani Tumeshawazoea Hao Na Wengi Wao Ni Wale Wale TEAM NIMEKATWA, NAUGULIA Na NINA HASIRA Kwani Sidhani Kama Ni UKAWA Kutokana Na Kwamba Hata UKAWA Wenyewe WAMESHAMKUBALI Jembe Dr. John Pombe Magufuli Na Wameazimia Wote Kumpigia Kura.