Elections 2015 Orodha ya waliogombana na Magufuli na hatma zao

Elections 2015 Orodha ya waliogombana na Magufuli na hatma zao

Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.

Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi

Mark my ward

Well said.... Wavute subira, Nchi inakwenda kusimama... Na Rais anaenda kujilikana
 
Ukitofautiana na mpanga agenda, nawe ukawa na agenda zako inatakiwa uachie ngazi.

Si kitu cha kutunga hivyo ndivyo ilivyo, kwani asiyeweza kufanya kazi na Magufuli aachie Ngazi awe CAG au mtumishi wa Chama.
 
Lowassa is a dead case!!!

Real dead case!

waliojifanya kuona mwenyekiti wa CCM anaingia ukumbini na kuimba" tunaimani na Lowassa oya oya oya Lowasa kweli kweli! yeye akawa amesimama anaangalia kama ng'ombe jike yuko heart! mara moja kikao kiliahirishwa! walivyorudi hata yeye mwenyewe hakuthubutu kurudisha mamvi ndani! Alaa chezea waliangaliwa waliokuwa wanaimba Sofia Simba Emmanuel Nchimbi na Adam hakuna rangi hawakuona walikubali matokeo!
 
Kwani uongozi ni kukomoana?
Na kwani watu wakikupa makavu laivu dawa yao ni kupigana nao au kupokea taswira yako halisi ya upande wa pili?
 
Membe alisema kuwa akiwa rais waliokuwa wanamkosoa (akina Pasco, Ulimwengu, Jf members, etc) itabidi wakimbie nchi (wakimbilie Kenya) kwa bahati yao hajawa rais (labda wataondoka Membe akiwa Waziri Mkuu).

Sasa kuna hawa waliokuwa wanamkosoa Magufuli na wengi wao wako serikalini hatma zao zikoje kwenye zama hizi ambazo tuna watawala waliojaaa siasa za visasi hata kwa wapiga domo mitaani?
Hajawa rais bado kama sikosei, tutayaongea haya baada ya Oktoba 25.
 
Na kama unaandika ili wengine wasijue basi haina maana ya kuweka hapa

Unatakiwa Uwe Na Akili Siyo Ya Kuzaliwa Bali Na Ya Ziada Kuweza Kujua Ninachokiandika Na Ni Bahati Sana Wewe Ni Pentium Zero Haswa!
 
aisee "popo-ma" kuna bandiko/post moja uliwahi kumuongelea mteuliwa wako ccm ambaye angekuja kuteuliwa kugombea uraisi.naitafuta sana ili ni-refresh kumbukumbu zangu.nipe link yake kiroho safi tafadhari.

Na Wewe Umeanza Kuvuta Bangi Lini?
 
Na Wewe Umeanza Kuvuta Bangi Lini?
kila siku.hata sasa hivi navuta.nipo hapa graveyard nyuma ya ukuta wa usalama wa taifa,kama unaelekea TSJ.
150319_ROADS_JamaicaWeed_smoker.jpg.CROP.original-original.jpg
 
Kila mtu ni mwizi akiwa CCM, ila wizi unaondena na uchapaji kazi ni wizi mzuri Unaiba na unazalisha mali kuna shida gani. Magufuli anayaweza haya kaiba kidogo ila anachapa kazi. Hata wewe ungekuwepo kwenye system ungeitwa mwizi kwa sababu mfumo unakufundisha wizi
 
Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.

Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi

Mark my ward

Kwani Team Eddo mmekodi Al Shabab kuja kufanya milipuko? Msituletee balaa kwenye nchi yetu kwa kutafuta madaraka. Acheni demokrsia uchukuwe mkondo wake.
 
makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.

Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya kambarage atakuwa wazi

mark my ward

naona bado upo usingizini na wakukuamsha hamna.
 
hilo ndilo tatizo la watu wa CCM, swali umelielewa? usitufanye watu wote hapa hatuelewi kama wewe, tumeona mikauli tofauti pale na maandamano, je wale wote tayari wameshusha mikono? jibu swali tu, mkeo, mumeo yote hayo ya nini?

Hapana huyo si CCM labda kama kajificha humo apate sabuni au chumvi kwa watu waliokivamia!.huyo ana matatizo ya kutafakari,anatakiwa asaidiwe,kwa mtu mwelewa hoja ikija mezani lazima atoe jibu lenye logic,sasa anajibu kama mtu wa gongo!
 
kwa mtazamo wangu magufuli msukuma wawatu huwa haana visasi, wito wangu ni kwa walio na madaraka wakati vyeti vyao vya magumashi wajiandae mapema. nimefanya kazi na magufuli anajari elimu ya mtu katika nyadhifa zao na uwezo wa kuproduce results. kumbuka watu wa mizani alivyo waumbua...makatibu wakuu watajaa kutoka mlimani na vyuo mbalimbali vya taaluma...ushkaji umeisha katika kupeana madaraka kama walivyopewa akina mnyikulu gurumo

Membe alisema kuwa akiwa rais waliokuwa wanamkosoa (akina Pasco, Ulimwengu, Jf members, etc) itabidi wakimbie nchi (wakimbilie Kenya) kwa bahati yao hajawa rais (labda wataondoka Membe akiwa Waziri Mkuu).

Sasa kuna hawa waliokuwa wanamkosoa Magufuli na wengi wao wako serikalini hatma zao zikoje kwenye zama hizi ambazo tuna watawala waliojaaa siasa za visasi hata kwa wapiga domo mitaani?
 
kila siku.hata sasa hivi navuta.nipo hapa graveyard nyuma ya ukuta wa usalama wa taifa,kama unaelekea TSJ.
150319_ROADS_JamaicaWeed_smoker.jpg.CROP.original-original.jpg

mkuu kadoda11 kumbe ndo wewe ulikuwa unalipuliza?Nimepita hapo kama dakika 20,nikasikia harufu kali ya bange.
SAHIHISHO: mkuu sio TSJ,ni SJMC
 
Naona kila dalili za Mapadlocks kuendeshwa na le professeri, daktari wa madaktari wa pale magogoni
AMESHAKATWA
 
mkuu kadoda11 kumbe ndo wewe ulikuwa unalipuliza?Nimepita hapo kama dakika 20,nikasikia harufu kali ya bange.
SAHIHISHO: mkuu sio TSJ,ni SJMC

ndio mimi mkuu,huwa nakuwa pale na wanangu (marafiki),tena wengine wanatokea mle ndani kwenye ukuta mweupe, tunajisikia raha sana kula ganja maeneo yale."popo-ma" GENTAMYCINE na mbwembwe zake za nyuma ya keyboard hawezi kutia mguu pale,maana kile ni kijiwe cha walume ndago watupu.na siku akithubutu lazima tumvutishe "dry" ili tupime uwezo wake kama yaliyomo yamo.

halafu samahani kwa kukosea jina,upo sahihi ni SJMC.ndio madhara ya kula ganja mchana.
 
Back
Top Bottom