Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuweni na amani...administration ya Magufuli ina focus na kuwekeza kwenye mchakamchaka wa mapinduzi ya kiuchumi, kijamii na kisiasa...
Wezi lazima wapate stahili yao,
Dua za kuku hizo mwisho wenu umefika tuwasubiri wajukuu labda watakuja na Siasa za maelewani na sio za fujofujo km UKAWALowasa anatoa yake ya moyoni leo
Dua za kuku hizo mwisho wenu umefika tuwasubiri wajukuu labda watakuja na Siasa za maelewani na sio za fujofujo km UKAWA
ndio mimi mkuu,huwa nakuwa pale na wanangu (marafiki),tena wengine wanatokea mle ndani kwenye ukuta mweupe, tunajisikia raha sana kula ganja maeneo yale."popo-ma" GENTAMYCINE na mbwembwe zake za nyuma ya keyboard hawezi kutia mguu pale,maana kile ni kijiwe cha walume ndago watupu.na siku akithubutu lazima tumvutishe "dry" ili tupime uwezo wake kama yaliyomo yamo.
halafu samahani kwa kukosea jina,upo sahihi ni SJMC.ndio madhara ya kula ganja mchana.
kwangu ni sifa.Hiyo nayo ni sifa?
Acheni ndoto za mchana? danganyeni bongo lalaz tu
Sipati picha itakuwaje kwa wale waliobadili namba zinazoanzia na ST... DFP... na kuwa T... Kwa manufaa binafsi
Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.
Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi
Mark my ward
Kwa hiyo kumkosoa Magufuli ni kutangaza vita!.. Duu!!!!!!! hii tena habari nyingine.
Ikulu ya wapi?Mkuu nyie ndiyo siku zenu 40 zinakaribia maana ukawa ikiingia madarakani tunaanza na vibaka hadi mapapa walio iba rasilimali za watanzania hadi kulifikisha taifa hapa lilipo.
Wale wachina wa meli na samaki zao wakomae walipwe vinginevyo sijui
Hatima ya CAG Assad sijui itakuwaje
kila siku.hata sasa hivi navuta.nipo hapa graveyard nyuma ya ukuta wa usalama wa taifa,kama unaelekea TSJ.
![]()