Tetesi: Orodha ya Wana-CCM ndani ya vyama vya upinzani

Tetesi: Orodha ya Wana-CCM ndani ya vyama vya upinzani

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2016
Posts
17,506
Reaction score
16,003
Ninaiweka orodha hii ili muda muafaka ukifika mmoja baada ya mwingine atafanya yake;

  1. Freeman Mbowe,huyu kazi yake kubwa ni kuwaondoa wanachama kwenye lengo la msingi hususan pale hari inapokuwa juu. Ni ngumu kumgundua japo ndio hivyo tena.
  2. Tundu A.Lissu;wengi hawawezi kuamini ila siku ikifika atatoa lugha chafu sana dhidi ya kambi ya upinzani.
  3. Edward Lowassa; ''busara'' zake zinaeleweka.
  4. Fredrick Sumaye; yeye kazi yake kubwa ni kuhakikisha ''mikakati'' ya kuijenga Chadema ''inafanikiwa''.
  5. Kingunge Mwiru; anachochea moto kuelekea ufipa,ila ni ngumu kumgundua.
  6. Makongoro Mahanga; kazi kubwa ni ''kupoteza muda kwa chenga nyingi bila kushambulia goli la adui''.
  7. John Mrema et al; kazi yao kubwa ni kuhakikisha pale ambapo ''makamanda'' wanahoji jambo wanakuja na hoja ya kuwapooza, kama vile ''anatekeleza sera za Ukawa''
  8. Maalim Seif; Huyu wengi hamuwezi kuamini lakini ndio ukweli wenyewe
Orodha ni ndefu ila kwasasa unaweza kuongezea ili kuweka kumbukumbu sawa.
 
Kila mtu anayo haki ya kutoa mawazo yake mchango wake ni mzuri na ndio demokrasia tunayopigania iwe kwa wote
 
Mimi sishangai upuuzi Kama huu ,kwa hali ilivyo sehemu pekee ya kupata vichekesho na vituko ni Lumumba tu

Sent From Kisana Kiki Iphone
 
Leo hatukulipi kwakutoa hoja mbaya
Ninaiweka orodha hii ili muda muafaka ukifika mmoja baada ya mwingine atafanya yake;

  1. Freeman Mbowe,huyu kazi yake kubwa ni kuwaondoa wanachama kwenye lengo la msingi hususan pale hari inapokuwa juu. Ni ngumu kumgundua japo ndio hivyo tena.
  2. Tundu A.Lissu;wengi hawawezi kuamini ila siku ikifika atatoa lugha chafu sana dhidi ya kambi ya upinzani.
  3. Edward Lowassa; ''busara'' zake zinaeleweka.
  4. Fredrick Sumaye; yeye kazi yake kubwa ni kuhakikisha ''mikakati'' ya kuijenga Chadema ''inafanikiwa''.
  5. Kingunge Mwiru; anachochea moto kuelekea ufipa,ila ni ngumu kumgundua.
  6. Makongoro Mahanga; kazi kubwa ni ''kupoteza muda kwa chenga nyingi bila kushambulia goli la adui''.
  7. John Mrema et al; kazi yao kubwa ni kuhakikisha pale ambapo ''makamanda'' wanahoji jambo wanakuja na hoja ya kuwapooza, kama vile ''anatekeleza sera za Ukawa''
  8. Maalim Seif; Huyu wengi hamuwezi kuamini lakini ndio ukweli wenyewe
Orodha ni ndefu ila kwasasa unaweza kuongezea ili kuweka kumbukumbu sawa.
 
Ninaiweka orodha hii ili muda muafaka ukifika mmoja baada ya mwingine atafanya yake;

  1. Freeman Mbowe,huyu kazi yake kubwa ni kuwaondoa wanachama kwenye lengo la msingi hususan pale hari inapokuwa juu. Ni ngumu kumgundua japo ndio hivyo tena.
  2. Tundu A.Lissu;wengi hawawezi kuamini ila siku ikifika atatoa lugha chafu sana dhidi ya kambi ya upinzani.
  3. Edward Lowassa; ''busara'' zake zinaeleweka.
  4. Fredrick Sumaye; yeye kazi yake kubwa ni kuhakikisha ''mikakati'' ya kuijenga Chadema ''inafanikiwa''.
  5. Kingunge Mwiru; anachochea moto kuelekea ufipa,ila ni ngumu kumgundua.
  6. Makongoro Mahanga; kazi kubwa ni ''kupoteza muda kwa chenga nyingi bila kushambulia goli la adui''.
  7. John Mrema et al; kazi yao kubwa ni kuhakikisha pale ambapo ''makamanda'' wanahoji jambo wanakuja na hoja ya kuwapooza, kama vile ''anatekeleza sera za Ukawa''
  8. Maalim Seif; Huyu wengi hamuwezi kuamini lakini ndio ukweli wenyewe
Orodha ni ndefu ila kwasasa unaweza kuongezea ili kuweka kumbukumbu sawa.
Bro umbea ulisomea chuo gani vile?
 
Chadema Haiingiliki Kirahisi Kama Mlivyoimaliza Cuf Kabla Ya 92 Chama Kilikuwa Kimoja Tu Ccm Tia Akilini Hilo Hayo Ma Chadema Sio Ya 1961
 
Back
Top Bottom