Tetesi: Orodha ya Wana-CCM ndani ya vyama vya upinzani

Tetesi: Orodha ya Wana-CCM ndani ya vyama vya upinzani

Mtu yeyote aliyeingia upinzani wakati vyama vingi vinaazishwa alikuwa mwana chama tawala, hata mimi pia.
 
Ninaiweka orodha hii ili muda muafaka ukifika mmoja baada ya mwingine atafanya yake;

  1. Freeman Mbowe,huyu kazi yake kubwa ni kuwaondoa wanachama kwenye lengo la msingi hususan pale hari inapokuwa juu. Ni ngumu kumgundua japo ndio hivyo tena.
  2. Tundu A.Lissu;wengi hawawezi kuamini ila siku ikifika atatoa lugha chafu sana dhidi ya kambi ya upinzani.
  3. Edward Lowassa; ''busara'' zake zinaeleweka.
  4. Fredrick Sumaye; yeye kazi yake kubwa ni kuhakikisha ''mikakati'' ya kuijenga Chadema ''inafanikiwa''.
  5. Kingunge Mwiru; anachochea moto kuelekea ufipa,ila ni ngumu kumgundua.
  6. Makongoro Mahanga; kazi kubwa ni ''kupoteza muda kwa chenga nyingi bila kushambulia goli la adui''.
  7. John Mrema et al; kazi yao kubwa ni kuhakikisha pale ambapo ''makamanda'' wanahoji jambo wanakuja na hoja ya kuwapooza, kama vile ''anatekeleza sera za Ukawa''
  8. Maalim Seif; Huyu wengi hamuwezi kuamini lakini ndio ukweli wenyewe
Orodha ni ndefu ila kwasasa unaweza kuongezea ili kuweka kumbukumbu sawa.
Kwa akili mbovu kama hizi Tz ya vi...wonder iko njiani
 
Mm Nawasiwasi Na Mbowe Tangia Afanye Biashara Ya Chama Kwa Luwasa Haeleweki Kabisa ,kuhusu Luwasa Na Sumawe Hawa Wanaeleweka Wanakazi Maulum Yakuua Upinzani.
 
kuna kipindi baba ako anaweza fanya ujinga unajaribu kumtetea kwa kila namna na anazidi kuurudia huo ujinga kila siku mwisho ata we unayemtetea mnaonekana kitu kimoja na kukaa kimya huwezi sababu alishakuahid kila unaponitetea nakunisifia kuna posho yako tayari kwa hiyo inabidi ujitoe ufahamu tu ili kulinda ugali wako bila kujua zipo njia nyingi tu zakujipatia kipato tofauti na hiyo unayojifedhehesha nayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaiweka orodha hii ili muda muafaka ukifika mmoja baada ya mwingine atafanya yake;

  1. Freeman Mbowe,huyu kazi yake kubwa ni kuwaondoa wanachama kwenye lengo la msingi hususan pale hari inapokuwa juu. Ni ngumu kumgundua japo ndio hivyo tena.
  2. Tundu A.Lissu;wengi hawawezi kuamini ila siku ikifika atatoa lugha chafu sana dhidi ya kambi ya upinzani.
  3. Edward Lowassa; ''busara'' zake zinaeleweka.
  4. Fredrick Sumaye; yeye kazi yake kubwa ni kuhakikisha ''mikakati'' ya kuijenga Chadema ''inafanikiwa''.
  5. Kingunge Mwiru; anachochea moto kuelekea ufipa,ila ni ngumu kumgundua.
  6. Makongoro Mahanga; kazi kubwa ni ''kupoteza muda kwa chenga nyingi bila kushambulia goli la adui''.
  7. John Mrema et al; kazi yao kubwa ni kuhakikisha pale ambapo ''makamanda'' wanahoji jambo wanakuja na hoja ya kuwapooza, kama vile ''anatekeleza sera za Ukawa''
  8. Maalim Seif; Huyu wengi hamuwezi kuamini lakini ndio ukweli wenyewe
Orodha ni ndefu ila kwasasa unaweza kuongezea ili kuweka kumbukumbu sawa.
Kwa akili zenu zilivyo ndogo mnaamini njia hiyo ya kutengeza story za kijinga ndio zitaanza kuleta migogoro CHADEMA??

Hahahaaa mna kazi kwakweli badala ya kutimiza ahadi mlizo waahidi wananchi mmekalia kutengeneza mbinu za kuufitinisha upinzani wajinga kweli nyie na mmedumaa kiakili

maana mbinu hizo mnazo tumia na nguvu hizo mnazotumia kutaka kugombanisha upinzani zingekuwa zinatumika kutatua kero na changamoto zinazo wakabili watanzania nadhan leo hii msingekuwa mna haha kutafuta pesa za kuendeshea serikali

lakin tatizo mmejikita kwenye mambo ambayo yanakuwa automaticaly yenyewe maana upizani haukai kwa viongozi bali kwa watanzania na hilo ndilo ambalo hamjalijua wajinga nyie ndio maana mnatumia pesa nyingi kununua wapizani wasio jielewa lakin ukija uchaguzi upinzani hawapotezi chochote zaid ya kuongeza majimbo na kata kwa kila uchaguzi hamjioni wajinga ?,

hangaikeni kujenga nchi na kuleta maendeleo ya kiuchumii CCM itapendwa automaticaly sio kupambana na upinzani mkizani kuua upinzani ndio kuendeleza nchi huu upinzani ni lazima utakuwepo tuu hauwezi kufa kwa akili za kijinga namna hiyo zaid mtakuwa mnaingiza hasara serikali na kodi zetu kila mara kurudia uchaguzi kwa sababu ya upumbavu wenu wa kushindwa kufikiri
 
Ninaiweka orodha hii ili muda muafaka ukifika mmoja baada ya mwingine atafanya yake;

  1. Freeman Mbowe,huyu kazi yake kubwa ni kuwaondoa wanachama kwenye lengo la msingi hususan pale hari inapokuwa juu. Ni ngumu kumgundua japo ndio hivyo tena.
  2. Tundu A.Lissu;wengi hawawezi kuamini ila siku ikifika atatoa lugha chafu sana dhidi ya kambi ya upinzani.
  3. Edward Lowassa; ''busara'' zake zinaeleweka.
  4. Fredrick Sumaye; yeye kazi yake kubwa ni kuhakikisha ''mikakati'' ya kuijenga Chadema ''inafanikiwa''.
  5. Kingunge Mwiru; anachochea moto kuelekea ufipa,ila ni ngumu kumgundua.
  6. Makongoro Mahanga; kazi kubwa ni ''kupoteza muda kwa chenga nyingi bila kushambulia goli la adui''.
  7. John Mrema et al; kazi yao kubwa ni kuhakikisha pale ambapo ''makamanda'' wanahoji jambo wanakuja na hoja ya kuwapooza, kama vile ''anatekeleza sera za Ukawa''
  8. Maalim Seif; Huyu wengi hamuwezi kuamini lakini ndio ukweli wenyewe
Orodha ni ndefu ila kwasasa unaweza kuongezea ili kuweka kumbukumbu sawa.
Hivi siku mkikosa cha kupost ndio unatuma upumbavu ilimradi hela yako iingie tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi ieleweke vyama vyote vya upinzani vipo geresha tu ila Tanzani ina chama kimoja tu.
 
Umesema Ndani Ya Vyama Vya Upnzan Lkn Umetaja Wote Walioko Chadema, Hii Unataka Kumaanisha ACT, CUF Lipumba, NCCR,TLP Nk Ni CCM Sio Upnzani? Tatizo Mishule Yenu Ya St.Nanihiii Mlizoea Kutafuniwa, Umizeni Vichwa Kdogo
 
Back
Top Bottom