Tetesi: Orodha ya Wana-CCM ndani ya vyama vya upinzani

Lete video mkuu
 
Kama iliwezekana Lowassa kuamia upinzani sidhani kama kuna linaloshindikana,kuna watu wanakimbia nyuzi humu ambazo walisema haiwezekani kwa mtu kama Lowassa kuania chadema.
 
Umesema Ndani Ya Vyama Vya Upnzan Lkn Umetaja Wote Walioko Chadema, Hii Unataka Kumaanisha ACT, CUF Lipumba, NCCR,TLP Nk Ni CCM Sio Upnzani? Tatizo Mishule Yenu Ya St.Nanihiii Mlizoea Kutafuniwa, Umizeni Vichwa Kdogo
Kwani Maalim seifu naye keshahamia chadema?
 
Umesema Ndani Ya Vyama Vya Upnzan Lkn Umetaja Wote Walioko Chadema, Hii Unataka Kumaanisha ACT, CUF Lipumba, NCCR,TLP Nk Ni CCM Sio Upnzani? Tatizo Mishule Yenu Ya St.Nanihiii Mlizoea Kutafuniwa, Umizeni Vichwa Kdogo
Umeona ehe... Jamaa atakua elimu sawa na mkuu wa mkoa wake

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Siyo tatizo lako ninawalaumu moderators walioacha huu upuuzi uwepo humu
 
Ha ha ha Jizi kuu tumeliambia lije kuwarubuni huko ufipani

Ameondoka Lowassa about 10year ago,na wizi bado umeendelea.Escrow,UDA,LUGUMI<Kivuko Kibovu etc etc.Aliyekwapua kivuko kibovu ndiye mnayemuabudu kwa sasa,pathetic
 
Jamaa ana hoja..kwa nini Maalim alitaja matokeo mapema akijuwa ni kosa?Lowassa pigeni kura nitalinda...watu wanataka liwalo na liwe anakataza...
 
mabavicha yana akili ndogo.usiyashtue mapandikiz yetu yaendelee na kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…