Orodha ya wasanii ambao bongo fleva / hiphop imewapa mafanikio makubwa

Orodha ya wasanii ambao bongo fleva / hiphop imewapa mafanikio makubwa

Msanii aliepiga hela hapa bongo ni nyoshi el saadat mzee ya ngwasuma jamaa alikua na pair million moja zaviatu na takribani pair 500000 za suti. Chezeya mtu ya Kongo wewe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣utoto raha sana.
 
🤣🤣🤣 kwa kiroboto hapo hapana, sema tu muzik umempa umaarufu, popote alipo anatag la watu, ila sidhan kama industry imemtendea haki huyu jamaa, sijui management au ndo system zetu ila kuna wasanii bado wanaudai sana muziki wa bongo, including Dully Sykes, Mr. Blue, T.I.D, Q Chilla, Daz baba, Ferooz, Albert (RIP), Ray C, Jay mo, na wengine wengi.
 
1. DIAMOND PLATNUMZ - CEO wa wasafi fm na tv + label, msanii pekee mwenye msururu wa ndinga za kwenda mbele

View attachment 2908478


2. MR NICE - Ni Diamond pekee ndie alieweza kumfikia ukwasi akiwa peak, miaka hio ya 2003 inasemekana alikuwa anamiliki ukwasi wa bilioni 1 ya enzi hizo

View attachment 2908479

3. AY - Mzee wa commercial alikuwa kawaida kiuchumi kwa upande wa muziki ila alijiongeza kutumia pesa alizopata kwenye muziki kufanya investments kadhaa kujiongezea kipato, yupo low key anafanya mambo yake kimya kimya, Kuna kesi yeye na FA walilipwa fidia ya bilioni 2.1 na Tigo, inakadiriwa kila moja aliondoka na milioni 800 baada ya gharama za wanasheria na asante za wazito waliotoa misaada yao (wazee wa mgao), lakini hata bila hii kesi AY alikuwa vizuri kiuchumi, aliwahi kuwa msanii wa kwanza kushoot video ya milioni 50 hata kabla ya hizo fidia.

View attachment 2908482

4. PROFESSOR JAY - Jifunze, ona, sema, elimika, pitia, hamasika... Joseph a.k.a Professor Jay, inasemekana mwamba huyu alikwa analipia kazi zake, alikataa unyonyaji wa album zake kuwa chini ya label, kama ni maokoto mshua huyu kayapiga, miaka hiyo 2004 analipwa milioni 400 advance ya kuuza nakala zake, hio ni kama bilioni ya sasa.

View attachment 2908480


5. ALI KIBA - akiwa kijana mdogo kabisa alishaanza kushika milioni 200 enzi za muhindi wa GMC, yeye anakwambia ziliisha zote kisa "utoto", lakini haikuwa mwisho wa safari yake, huyu ni msanii ambae yupo kwenye game kitambo sana japo kuna kipindi huwa anapoa sana

View attachment 2908481

6. MWANA FA - Ni kesi ya Tigo waliyopewa fidia ya bilioni 2 yeye na AY ndio imemweka kwenye hii orodha, kila moja wao yasemekana aliondoka na milioni 800 baada ya gharama za mawakili na asante za mnyororo wa watu wazito waliowasaidia kwa namna moja ama nyingine (wazee wa mgao)

View attachment 2908576


7. LADY JAY DEE - Binti machozi kautendea haki mziki wetu wa bongo nao mziki ukambarikia mafanikio makubwa,

View attachment 2908483


8. JUMA NATURE - Kwa album zake alizotoa zilizohit hata namba hii pengine haimfai, nadhani alikosa tu usimamizi mzuri wa kusimamia mapato ya kazi zake, mziki wake uliwafaidisha zaidi wengine lakini hata kwa alichoambulia ilikuwa pesa ndefu.

View attachment 2908484

BONUS kutoka Bongo Gospel

ROSE MUHANDO - Tatizo ni mashetani yaliyomo kwenye music industry lakini huyu mama ilibidi awe juu sana, katimila sana kutajirisha wengine, pengine kaambulia 20 % ya mafanikio yake

View attachment 2908588
Kwa zamani mziki haukuwa na hela sana ila tangu diamond abadili radha na game la mziki wa bongo isee now day wasanii wanapesaa jamani..

Nikawaida wasanii sasa kuwa na bilion 1 bank.. hawa kina tembo, rayvan, zuchu, kina billnasi na mkewe, jux, mboso, marioo na wengine wanamiliki hizo bilion alafu kawaida tu.
 
Mr Nice ni msanii anayekubalika sana mpaka kusini mwa Africa huko nyimbo zake wanazielewa japo hawajui alishafulia kwenye game
Hii ni kweli kabisa kuna day pisi yangu moja ya kizulu iliniambia niwekee nyimbo za Mr Nice alooo nilishangaa sana..
 
Usd 352,000 ndio b1 ya Tshilingi......kwa hiyo ma diaspora wengi ni ma bilionea 👍
 
Kwa zamani mziki haukuwa na hela sana ila tangu diamond abadili radha na game la mziki wa bongo isee now day wasanii wanapesaa jamani..

Nikawaida wasanii sasa kuwa na bilion 1 bank.. hawa kina tembo, rayvan, zuchu, kina billnasi na mkewe, jux, mboso, marioo na wengine wanamiliki hizo bilion alafu kawaida tu.
Bilion moja sio jambo dogo wasanii wetu hawa walivyoshamba wa magari msanii kanunua range ya million 100 lazima ajitangaze kama kwamba yeye ndio mtu wa kwanza kununua hiyo gari hapa Tanzania yani sizani kama wanamiliki hiyo pesa nazani watakuwa wanacheza hapa kwenye mill 200-400
 
Msanii aliepiga hela hapa bongo ni nyoshi el saadat mzee ya ngwasuma jamaa alikua na pair million moja zaviatu na takribani pair 500000 za suti. Chezeya mtu ya Kongo wewe
Hahahaha daaaaah we jamaa [emoji28][emoji28]
 
Kwa Tanganyika kesi yao inawezekana kuwa inside job vilevile. Wazee wa down town wanakwambia hakuna bahati mbaya kwenye pesa ndefu, kila kitu kinapangwa halafu pasu kwa pasu. Kwetu pesa za kampuni ni shamba la bibi zubaa ufe masikini.
Ndio maana yake hii nchi ikaitwa Bongo.

Ile kesi ya Tigo ilikuwa wazi lazima washinde maana ni copyright issue ,usicheze na kazi za msanii bila makubaliano.
 
Kwa zamani mziki haukuwa na hela sana ila tangu diamond abadili radha na game la mziki wa bongo isee now day wasanii wanapesaa jamani..

Nikawaida wasanii sasa kuwa na bilion 1 bank.. hawa kina tembo, rayvan, zuchu, kina billnasi na mkewe, jux, mboso, marioo na wengine wanamiliki hizo bilion alafu kawaida tu.
Wacha bwana 😅
 
Kwenye mafanikio kupitia sanaa ya muziki, Naeza nika wasema Hawa ma guru wako vizuri mno
01, mwana fa & Ay ile kesi dhidi ya tigo ili wapa mtonyo mrefu.
Miksa uwekezaji Wai mzuri.
Hivi mna jua ay alikuwa patner wa kipindi Cha mkasi!?.

02, sugu jomba ana hotel kabisa, msanii was kwanza kuvuta chuma ya maana bongo
 
1. DIAMOND PLATNUMZ - CEO wa wasafi fm na tv + label, msanii pekee mwenye msururu wa ndinga za kwenda mbele

View attachment 2908478


2. MR NICE - Ni Diamond pekee ndie alieweza kumfikia ukwasi akiwa peak, miaka hio ya 2003 inasemekana alikuwa anamiliki ukwasi wa bilioni 1 ya enzi hizo

View attachment 2908479

3. AY - Mzee wa commercial alikuwa kawaida kiuchumi kwa upande wa muziki ila alijiongeza kutumia pesa alizopata kwenye muziki kufanya investments kadhaa kujiongezea kipato, yupo low key anafanya mambo yake kimya kimya, aliwahi kuwa msanii wa kwanza kushoot video ya milioni 50 hata kabla ya ile kesi waliyolipwa fidia yeye na Mwana Fa

View attachment 2908482

4. PROFESSOR JAY - Jifunze, ona, sema, elimika, pitia, hamasika... Joseph a.k.a Professor Jay, inasemekana mwamba huyu alikwa analipia kazi zake, alikataa unyonyaji wa album zake kuwa chini ya label, kama ni maokoto mshua huyu kayapiga, miaka hiyo 2004 analipwa milioni 400 advance ya kuuza nakala zake, hio ni kama bilioni ya sasa.

View attachment 2908480


5. ALI KIBA - akiwa kijana mdogo kabisa alishaanza kushika milioni 200 enzi za muhindi wa GMC, yeye anakwambia ziliisha zote kisa "utoto", lakini haikuwa mwisho wa safari yake, huyu ni msanii ambae yupo kwenye game kitambo sana japo kuna kipindi huwa anapoa sana

View attachment 2908481

6. MWANA FA - Ni kesi ya Tigo waliyopewa fidia ya bilioni 2.1 yeye na AY ndio imemweka kwenye hii orodha, yasemekana wawili hao kila moja aliondoka na milioni 700 baada ya kuwapa chao wazee wa mgao wenye connections zao na asante za wanasheria (hakuna cha bure bongo)

View attachment 2908576


7. LADY JAY DEE - Binti machozi kautendea haki mziki wetu wa bongo nao mziki ukambarikia mafanikio makubwa,

View attachment 2908483


8. JUMA NATURE - Kwa album zake alizotoa zilizohit hata namba hii pengine haimfai, nadhani alikosa tu usimamizi mzuri wa kusimamia mapato ya kazi zake, mziki wake uliwafaidisha zaidi wengine lakini hata kwa alichoambulia ilikuwa pesa ndefu.

View attachment 2908484

BONUS kutoka Bongo Gospel

ROSE MUHANDO -
Tatizo ni mashetani yaliyomo kwenye music industry lakini huyu mama ilibidi awe juu sana, katimila sana kutajirisha wengine, pengine kaambulia 20 % ya mafanikio yake

View attachment 2908588
-Mr Nice hajawahi kuwa na bilioni, acheni utani.
-Profesa Jay hajawahi kuwa independent na hajawahi kulipwa advance ya 400m. Alikuwa Label ya Bongo Records na ndio maana walikwaruzana na P Funk kuhusu beat ya Nikusaidiaje. Kama angekuwa anamiliki huo wimbo P Funk asingepata kitu.
 
Mr Nice alikuwa na pesa ila alikuwa mshamba enzi zake alikuwa ndio Diamond watu wa kila rika walipenda nyimbo zake , tatizo alikuwa anawapambe kutwa anatoka Dar kwenda kwao Moshi akifika analewa na kurudi , sometimes anakodisha hata ndege na crew yake.

Mwisho wa siku akafulia akakimbilia kenya ,Mr Nice alishindwa hata na Matonya kwa uwezekezaji mwenzie ana hotels mpaka kenya plus kuwa na jina kubwa ,japo Kenya Mr Nice bado anajulikana kuliko hata Tz ila hana lolote .

Matonya yupi???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu huyu anayetapeli hadi bolt/uber anapanga chumba kimoja na kodi inamshinda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]au matonya yupiiii
 
Matonya yupi???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu huyu anayetapeli hadi bolt/uber anapanga chumba kimoja na kodi inamshinda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]au matonya yupiiii
Matonya alikuwa na hotels mpaka Kenya fanya kuuliza mpaka mwaka 2007 alikuwa nondo ,Matonya yupo kenya ndio anapiga dili zake
 
Back
Top Bottom