livafan
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 2,955
- 5,616
Haya Sasa,hii ndo jf na vituko vyake...Jana tulipata Uzi wa sifa za wanaume wa kihaya...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo wasukuma
Tunasubiri makabila mengine....
Kesho zamu yetu Wamasai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya Sasa,hii ndo jf na vituko vyake...Jana tulipata Uzi wa sifa za wanaume wa kihaya...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Leo wasukuma
Tunasubiri makabila mengine....
Bila NTEMI OMABALA ( ACHA TUDANGE)Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
List hii ni batili mbona simuoni Dawa dawa...Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Hahahahaaaa umeuaaa shmjUzi wa wasukuma huu unanuka mavi ya ng'ombe
Tanzania wanaume tumebaki wasukuma tu,hahahaa( usimaind) vingine vinapaka podaaa.Haya Sasa,hii ndo jf na vituko vyake...Jana tulipata Uzi wa sifa za wanaume wa kihaya...🤣🤣🤣
Leo wasukuma
Tunasubiri makabila mengine....
Lung'wechaa,Inaga,Bhudagalaa...Hatariiiiii sanaHawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Umemuacha wapi ntemi!¡Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Nami nashangaa hajamtaja ntemiBila NTEMI OMABALA ( ACHA TUDANGE)
Hiyo listi ni feki[emoji1787][emoji1787]
Haa haa haa nawachokoza watani zangu washamba wasukuma hawaHahahahaaaa umeuaaa shmj
Kesho zamu yetu Wamasai
Wamasai hawajui kuandika. Labda hawa wamasai wa mchongo.
Hahahaa Leo nimefurahi mnoo kamandaHaa haa haa nawachokoza watani zangu washamba wasukuma hawa
Hivi INAGA ni ndege au mnyama??Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.
1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Tanzania mkuu.Ndio kwanza nawasikia hapa hv ni wa nch gan hao
Ni mnyamaHivi INAGA ni ndege au mnyama??