Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.

1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Bila NTEMI OMABALA ( ACHA TUDANGE)

Hiyo listi ni feki[emoji1787][emoji1787]
 
Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.

1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
List hii ni batili mbona simuoni Dawa dawa...
Wakangwa..wakangwa...wasolwa...
Kwa kiswahili
(Unashituliwa.........unashituliwa......unapewa)
🤓🤓😂😂😂🤣🤣🤣😂😂🤣🤣
 
Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.

1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Lung'wechaa,Inaga,Bhudagalaa...Hatariiiiii sana
 
Nani aliimba wimbo flani kuna sijui ila kuna verse inasema


No nsanga grace,. Aleng'hwa juice.


No ng'wela grace oleng'wa juice, oyomba yes






Pia kuna mwingine inaombea na jamaa sijui nani



Gashinaga oh shipanda wachile


Nipeni audio
 
Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.

1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Umemuacha wapi ntemi!¡

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama Best Nasso hayupo kwa list ujue ni uongo
 
Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.

1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Hivi INAGA ni ndege au mnyama??
 
Kuna kinyimbo kimoja nakisikia sana hasa kwenye harusi, wanaimba .....kubyala mayo kubyala jawiza sana.... Kaimba nani huo?
 
Back
Top Bottom