Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

Orodha ya wasanii bora wa kisukuma wa siku zote

Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.

1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Kwa hali hii basi Kanda ya Ziwa mnatisha sana. Maana siyo kwa msululu huo wa wasanii waliotoa ngoma kali, na kuweza ku hit ukanda wa ziwa wote!

Hao wasanii wakipata nafasi waje basi na huku Lushoto Tanga, ili watuburudishe. Maana tumechoka kucheza ngoma za mdumange.
 
Eti wasanii waliotoa nyimbo kali. Wasukuma mna visa sana aisee 🤣
 
Wakinadada kama bae wako anajifanya mbahili hakupi pesa dawa ni ndogo tu. Unatengeneza uji asubuhi unaenda kuuza kazini kwake.
Halafu huo uji wenyewe usiwe wa ulezi na sukari! Uwe wa sembe, au dona! Halafu unawekwa chumvi!!
 
Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.

1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Duh wasukuma wameanza lini kuimba?
 
Hawa ni wasanii ambao wametoa ngoma kali na kuweza kuhit ukanda wa ziwa wote. Ni wasanii ambao wanajaza sana kwenye show zao.

1. Malingita
2. Bhudagala mwanamalonja
3. Bahati wa bugalama
5. Ngelela
6. Kisima
7. Juma marco
8 Gudegude
9. Inaga
10. Bushemeli
Ongeza hapo mwana kang'wa
 
Back
Top Bottom