Abdillahjr
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 694
- 319
Umemkamia!!
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Acha majungu kibaraka wewe.Kuna Lady JD.
Vp nature n mtoto wa mama Said? mie nna mashaka nao
hv hizo bang huwa hazina athar et maana kuna kamsemo bora kuvuta majan kuliko dona.chege sina uthibitisho zaidi ya mibange anayovuta kama chakula,ila nature,temba na YP wanabwia dona
hv hizo bang huwa hazina athar et maana kuna kamsemo bora kuvuta majan kuliko dona.
Nani anawauzia tukawakamate?
Huyu sina mashaka naye 100% anatumia Unga uliokobolewa!
kuna mmoja anaitwa mzungu yuko maeneo ya ITV
jamaa kaporomosha majumba mawil ya kifahari huko Mbezi Beach kwa biashara ya nyunga
jamaa anajulikana mbaya lakini hakuna anaembugudhi si serikali ko sidhani kama Andybird314 unaweza kumkamata........
Yeah_hii biashara inalipa sana,...na hasa kwa nchi kama tanzania ambapo wala haubugudhiwi na mtu wala serikali.
na vijana hawakauki pale.........,
mtu anaokota makopo kutoka mwenge hadi tegeta then anarudi mwenge
afu pesa yote wanampelekea jamaa
wenyewe wamechoka chakariii mwenzao anazikusanya tu
Huyu njemba nyoka wa siku nyingi.
16. BushokeKwa kuwataja na kuwaanika hadharani nafikiri itasaidia,kwani wengi wanafanya siri na kuja kuharibikiwa mbeleni
1.LORD EYEZ
2.DAZ BABA
3.CHID BENZ
4.Q CHIEF
5.TEMBA
6.NATURE
7.BANZA
8.DIOF
9.TID
10.BLUE
11.IBRA DA HUSTLER
12.BU NAKO
13.CHRISTIAN BELA
14.MABOVU
15.mox
16.
Wengine wajazie list,wasipoacha kama wenzao ray c na langa suti zitawatosha
we punga nini kama unatafuta kwa kutokea kajipange upya.......,
Bado haujaniudhi, ongeza tusi jingine.