Fanani wa hard blasters.
Babuu wa Kitaa msimsahau hapo
Feruzi naye nasikia anakula ngano
Huyu sina mashaka naye 100% anatumia Unga uliokobolewa!
vp nature n mtoto wa mama said? Mie nna mashaka nao
hawa bangi
Nani anawauzia tukawakamate?
Kwa kuwataja na kuwaanika hadharani nafikiri itasaidia,kwani wengi wanafanya siri na kuja kuharibikiwa mbeleni
1.LORD EYEZ
2.DAZ BABA
3.CHID BENZ
4.Q CHIEF
5.TEMBA
6.NATURE
7.BANZA
8.DIOF
9.TID
10.BLUE
11.IBRA DA HUSTLER
12.BU NAKO
13.CHRISTIAN BELA
14.MABOVU
15.mox
16....
Wengine wajazie list,wasipoacha kama wenzao ray c na langa suti zitawatosha
Kuna Lady JD.
Watu mmekomalia hapa kuwataja wala unga na kupoonda mnajiona nyie malaika. Cha kusikitisha wengine mnaongea kwa kejeli kama vile mnafurahia matatizo yao. Anyway ni asili ya binadamu kupotezea kama tatizo halimgusi personally. Ni mtazamo tu dont take it personal.
Hivi zile harakati za HIP HOP bila madawa inawezekana, ziliishia wapi?
mimi nadhani tuanze kuwataja wauza unga kwani wao mdio chanzo,
kaka voda wa kinondoni
na dogo hamidu ndio wanaowauzia na polisi wanawajua