Orodha ya Wasanii wa Afrika wenye mkwanja mrefu, huyu wetu anayemiliki nyumba 126 imekuaje?

Orodha ya Wasanii wa Afrika wenye mkwanja mrefu, huyu wetu anayemiliki nyumba 126 imekuaje?

Chomo

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2017
Posts
250
Reaction score
662
Forbes.jpg


Harmonize kasema hakuna msanii wa Tanzania alie mkubwa Afrika ila tunadanganyana tu, akabezwa.

List ya wasanii wanaomiliki mkwanja mrefu imetoka na msanii wetu tunaemuita mkubwa ametoka kapa hata kwenye 15 hayupo.

Hii ina maana vile vyanzo vya mapato vyote inavosemekana vyake havimuingizii faida, watu wanajinufaisha kupitia yeye halafu anatamba kwa sifa tu

Pole sana kwake na kwa nyie mnaomlamba miguu, dunia ya sasa ni vigumu sana kuongopa
 
Ameonyesha ukubwa wake nchini maana ni wa 28 Africa na wa kwanza nchini, labda nikufahamishe Koffi Olomide ni wa 29 Africa pamoja na kuimba mziki mpaka anazeeka
Kuna watu (wasanii) wana mkwanja mrefu kuliko Diamond, ila hawana matangazo kabisa wamepiga kimya!
 
Kuna watu (wasanii) wana mkwanja mrefu kuliko Diamond, ila hawana matangazo kabisa wamepiga kimya!
Matangazo yapo tu, we ujaona Davido kale katoto kamiaka mitano ni kakupa zawadi ya Birthday Gari kali lile? lile ni tangazo ila kwa namna yake, kila mtu anayo haki muhimu asivunje katiba ya nchi
 
Hizi uwa List ni mambo ya kusadikika na kukadiria kwa vitu vinavyo onekana uwa sio ukweli halisi....
 
Back
Top Bottom