CHANANJA DYNASTY
JF-Expert Member
- Sep 14, 2024
- 772
- 1,121
ni USENG£ JAZZ BAND kumjadili mwanaume mwenzako eti hana mtoto, basi zaa nae.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yake mzaziNandi yupi?Baba yake Nandi anaitwa Mdee,ni Mpare na Pierre sio Mpare.Labda kama unamaanisha Baba wa kiroho.
Lengo ucoment kwenye ujinga kama huu kama ulivyofanyaUzi wa kifala kabisa, mkuu siyo lazima kila mtu awe na mtoto. Umenikumbusha wimbo wa UtaDead Jux, Nako, Tarico kuna sehemu anaimba Jux anasema, "....una nyingi changamoto, kichwa kimepata moto na bado unateseka lini Jux atapata mtoto..." ukanikumbusha pia maisha yangu tu kuwa nina watoto wawili wa kike, ndugu wanamsumbua wife kuwa kwanini hatuna wa kiume. Kuna vitu ni bahati tu, hauwezi amua.
Pierre Liquid msanii wa fani gani?1.Jb jerusalem
2.jux
3.piere liquid
4.omy dimpoz
5.
Ongezea unaiwaju jamii isiwe gandamiz kumsema wema sepetu na wengine iwe fair
🤣Suala la familia ni faragha kwa wengine...wewe japo si msanii uliwahi kuuliza wazazi wako kama walijaaliwa mtoto?
Pierre liquid n msanii wa nn1.Jb jerusalem
2.jux
3.piere liquid
4.omy dimpoz
5.
Ongezea unaiwaju jamii isiwe gandamiz kumsema wema sepetu na wengine iwe fair