Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Yaani eti sugu hana kitu huyu sugu ni zaidi ya msanii
 
Shilole,hamisa,yule mtoto wa gadna, webro wakazi km wakazi,yule jamaa wa arusha wa kababaye chin beez,
Chin bees mkali sana aisee, if u know u know..

Kasikilize
1. Nitulize
2. Nasebenza
3. Champion ft Davizzo

Ata chorus ni mkali sana mfano arosto ya weusi, duble duble ya nyandu tozzy kama unapenda good music nna iman utachange mindset mkuu juu ya huyu chalii.

Anachokera ana ego sana kujiona the finest in bongo hakuna ila kujua anajua
 
Yeah sure, chin anajua sana, chin ana swagga, sema sjui anakwama wapi, nadhani nidhamu ipo chini.
 

Sugu Moto Chini!
 
Chin beez sio mkali wasanii wengi wa chuga ujanja ujanja....
 
Ni kwamba hauzipendi sauti zao.Anyway,upo sahihi.
 
Hahahaahahaha... huu uzi ni wa chuki iliyopitiliza. Hapo labda Kalapina, Maujanja Suppliers na Bou Nako tu ndo vipaji vyao vinaweza kuwa na hitilafu... kusema Sugu hana kipaji ni tusi kwa Bongo Flavour yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…