Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Ongeza na jamaa mmoja anaitwa Wakazi. Huyu nimekuja kujua kwamba ni msanii baada ya kuingia Twitter. Pamoja na hvho bado sijua wimbi wake hata mmoja.

Halaf kuna weusi. Hao jamaa huwa wanaimba vitu ili mradi tu wapate vina lkn aaid ya hapo hakuna kitu
 
Ongeza na jamaa mmoja anaitwa Wakazi. Huyu nimekuja kujua kwamba ni msanii baada ya kuingia Twitter. Pamoja na hvho bado sijua wimbi wake hata mmoja.

Halaf kuna weusi. Hao jamaa huwa wanaimba vitu ili mradi tu wapate vina lkn aaid ya hapo hakuna kitu
Kwa wakazi kweli nakubaliana na ww ila weusi hapana
 
Kuna wakati mziki ulikuwa mwepesi kutoboa mpaka jokate nae alianza kuimba[emoji16][emoji1787]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hata hawa nliowataja wote walitoka kipindi ambacho kwanza wasanii walikua wachache ilikua ukitoa ngoma lazima iende redioni
 
Nakuongezea na

My boo ft q chief
Unapenda nini ft dada mmoja hivi
Demu wangu ft T.I.D

Lakini bado jamaa naomuona ni weak MC
Unapenda nini ft. Fatma.

Fatma ni dada yake hardmad, waliimba TAMALA.

Fatma pia alishiriki kwenye ENO MIC na Ziggy D.

Fatma aliimba 1. Alif kwa ujiti ft. Jose Mrambo 2. Usiache music.


Fatma anajaribu kurudi sasa hivi, mara aimbe singeli mara vile mara hivi, ilimradi tu aendane na muziki wa sasa, ila akikaa kwenye hip hop yupo vizuri sana

Anachana sana na anaimba pia.
 
Unapenda nini ft. Fatma.

Fatma ni dada yake hardmad, waliimba TAMALA.

Fatma pia alishiriki kwenye ENO MIC na Ziggy D.

Fatma aliimba 1. Alif kwa ujiti ft. Jose Mrambo 2. Usiache music.


Fatma anajaribu kurudi sasa hivi, mara aimbe singeli mara vile mara hivi, ilimradi tu aendane na muziki wa sasa, ila akikaa kwenye hip hop yupo vizuri sana

Anachana sana na anaimba pia.
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom