Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,308
- 21,507
Duh... unaelewa nini kwenye mziki ambacho mimi sikijui kaka?Mkuu muziki nauelewa kuliko wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh... unaelewa nini kwenye mziki ambacho mimi sikijui kaka?Mkuu muziki nauelewa kuliko wewe
Nakumbuka nilisikiliza interview moja wakati huo pale radio one, UVC wakachana sana wimbo wa niko busy ( sikumbuki kama mashairi yalikuwa yale yale 100% au la). Na nika appreciate wimbo ni mkali so nasubiri utoke sasa.Duh kumbe hakuandika mwenyewe ..basi jamaa ni kilaza mno
Tatizo WATOTO mna fujo dharau nyingi eti anamvua vyeo hadi Jay Dee kweli?Komando jidw habari ingine ile yule ndo msanii wa kupewa heshima upande wa wanawakw tz hapa
Wenyewe wakipita watakujibuKilichowakwamisha ni nini
Unajua hit song ya mwisho temba kutoa kama solo artist ilikua ni mwaka ga
Hit song sio kigezo cha kusema msanii ana kipaji au hana kipaji, na ndio maana katika wasanii ulio wataja hapo juu kuna waliowahi kutoa hit song mara kadhaa lakini wewe umewaona bado hawana vipajiUnajua hit song ya mwisho temba kutoa kama solo artist ilikua ni mwaka gani?
Umesema kweli mkuu Ila mziki ndio ulivyo mziki upo dynamic sio staticWote uliowataja wangeimba enzi hizi wangekuwa mbali
Hahahah ndo maana nikasema kwenye hii list kuna watu siwakubali kwa personal interest tu lakini siwezi sema hawana kipaji.We jamaa unajua sana mkuu, emu muelekeze huyu MTOTO wa 2010s aelewe
Asante sana mkuuKiukweli tu watanzania wanshindwa kutofautisha heshima na kipaji. Sugu kipaji cha muziki hakuna ila heshima anayo na yote ni kwasababu wakati wanaimba wao hakukuwa na ushindani, so ata ukiimba vibaya hakuna wakukushinda nisha nae.
Taste ya muziki huwa na nguvu na mvuto kutokana na muda husika.29years
Hao wote uliowataja waambie watoe hit song kwa kipindi hiki kudhihirisha ukali wao ..hao wote hawana uwez
Hapa umesema ukweli kuna kitu kinaitwa Personal Interest hicho mtoa mada ameacha kulitolea ufafanuzi anakitenganisha vipi na kipaji Cha mtu husika hajaeleza, kwa hio ni kwa mapenzi yake tu anaona msanii fulani na fulani hawana kipaji Cha muziki Ila sababu anazotoa hazina mashiko maana watu wanakataa kwamba sio sahihi huyu na huyu hujawatendea haki hawa kipaji wanacho Ila wewe kwa interest zako binafsi za kupenda flow fulani na miondoko fulani ya mziki ukaona huyu msanii hana kipaji Jambo ambalo sio kweliHahahah ndo maana nikasema kwenye hii list kuna watu siwakubali kwa personal interest tu lakini siwezi sema hawana kipaji.
Na hizi list zinaweza kuwa nyingi kama idadi ya watu duniani, maana kila mmoja atakuja na list yake na zisifanane kabisa.
Hapo ndo tunapoamua kuheshimu mawazo ya mtu.
SI KWELISugu
Huyu jamaa ana majina kibao kama Mr two, jongwe, too proud na sasa anajiita Taita licha ya kuwa na heshima kama moja ya waasisi wa music wa hiphop tanzania , ukweli ni kwamba hana kipaji cha music
SI KWELISoggydog hunter
Huyu jamaa bora angebaki kwenye u presenter tuu huku kwenye music aliforce tuu hana uwezo kabisa ana ngoma nyingi ila iliyopenya ni kibanda cha simu pekee yake
Hapo ndio unapokosea maana maelezo yako ni kwa mtazamo wako binafsi Ila sio kwa mtazamo wa wengiI gree with you mkuu ..ila bahati mbaya hawana vipaji