Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Dogo janja na Harmonize sijawahi kuwaelewa kabisa.
 
Wapo wengi sana
1-Benjamin wa mambo jambo
2-Bwana misosi
3-pingu na denso
4-dark master
5-kali p
6-mrisho mpoto
7-chege
8-shilole
9-baba levo
10-masawe mtata
11-H baba
12-harmo rapa
13-queen darline
14-crazy gk
15-bonge la nyau
16-baby madaha
17-snura
18-top c
Aisee list ni ndefu
 
1.Baba levo(Anapiga kelele nyingi)
2.Niki wa pili na Kaka yake johmakin(Hawa hawana kipaji ila wanabebwa kwakua wana connection kwenye kundi lao la weusi anaejua ni G warawara tu )
3.Darasa ( huyu aliotea maisha na mziki Basi Hadi leo anaimba kwa staili ileile ni kama anarudia nyimbo moja kila siku)
4.Best naso
5.Abdu kiba
6.Wakazi
7.Hbaba
 
Wapo wengi sana
1-Benjamin wa mambo jambo
2-Bwana misosi
3-pingu na denso
4-dark master
5-kali p
6-mrisho mpoto
7-chege
8-shilole
9-baba levo
10-masawe mtata
11-H baba
12-harmo rapa
13-queen darline
14-bibi cheka
15-bonge la nyau
16-baby madaha
17-snura
18-top c
Aisee list ni ndefu
Bibi cheka ni marehem sahiv man
 
Wapo wengi sana
1-Benjamin wa mambo jambo
2-Bwana misosi
3-pingu na denso
4-dark master
5-kali p
6-mrisho mpoto
7-chege
8-shilole
9-baba levo
10-masawe mtata
11-H baba
12-harmo rapa
13-queen darline
14-bibi cheka
15-bonge la nyau
16-baby madaha
17-snura
18-top c
Aisee list ni ndefu
Mkuu kwaweli list ni ndefu sana
 
1.Baba levo(Anapiga kelele nyingi)
2.Niki wa pili na Kaka yake johmakin(Hawa hawana kipaji ila wanabebwa kwakua wana connection kwenye kundi lao la weusi anaejua ni G warawara tu )
3.Darasa ( huyu aliotea maisha na mziki Basi Hadi leo anaimba kwa staili ileile ni kama anarudia nyimbo moja kila siku)
4.Best naso
5.Abdu kiba
6.Wakazi
7.Hbaba
😂😂😂
 
Unataka aweje ili umuone ana kipaji
Nikusaidie kwa mazingira ya zaman ilikua ni ngumu sana kutoa nyimbo na ukavuma ni tofauti na sasa hivi

Chujio la zaman ni gumu sana kama huna kipaji tofauti na sasa hivi mafanikio ya msanii yako revolve around kick
Hao uliowataja ni wachache kati ya wengi waliopambana kujulikana ki-music na wakashindwa ukweli ni kwamba watoto wa sahivi mnachukulia mambo kirahis sana kabisa unasimama unasema sugu au temba hana kipaji hivi unayajua mazingira ya 2000 kurudi nyuma huko
Ebu nikuulize una miaka mingapi
Kiukweli temba hana kipaji kabisa. Nyimbo zake alikuwa anaongea ongea tu maneno hovyo na wimbo wake uliompa umaarufu zaidi nd aliongea pumba vibaya mno( ule nampenda yeye). Lakini pia nyimbo we nd mchizi wangu remix yeye alionekana kabisa kuwa sio rapper tofauti na wenzie.
 
Back
Top Bottom