Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What do you mean you know anything about music music it's not about wearing naked clothesHuna akili
Shukrani mkuuKiukweli temba hana kipaji kabisa. Nyimbo zake alikuwa anaongea ongea tu maneno hovyo na wimbo wake uliompa umaarufu zaidi nd aliongea pumba vibaya mno( ule nampenda yeye). Lakini pia nyimbo we nd mchizi wangu remix yeye alionekana kabisa kuwa sio rapper tofauti na wenzie.
Darasa kweli,Inaonekana we unapenda sana ngoma za asili1.Baba levo(Anapiga kelele nyingi)
2.Niki wa pili na Kaka yake johmakin(Hawa hawana kipaji ila wanabebwa kwakua wana connection kwenye kundi lao la weusi anaejua ni G warawara tu )
3.Darasa ( huyu aliotea maisha na mziki Basi Hadi leo anaimba kwa staili ileile ni kama anarudia nyimbo moja kila siku)
4.Best naso
5.Abdu kiba
6.Wakazi
7.Hbaba
Kwenye hii list yako kuanza number 4 nakuabaliana na ww1.Baba levo(Anapiga kelele nyingi)
2.Niki wa pili na Kaka yake johmakin(Hawa hawana kipaji ila wanabebwa kwakua wana connection kwenye kundi lao la weusi anaejua ni G warawara tu )
3.Darasa ( huyu aliotea maisha na mziki Basi Hadi leo anaimba kwa staili ileile ni kama anarudia nyimbo moja kila siku)
4.Best naso
5.Abdu kiba
6.Wakazi
7.Hbaba
Ngoja tumnyonyoe liverfool then ntakuja hapaWatetee kwa hoja
Mwaka wa shetan ilikuwa mwaka gani!?Temba mwanzon huko alifanya vizur ..ila ukitaka ujue jamaa hana uwezo ..mwambie atie solo projects uone kama ataweza tena kutoa hit song
Temba alibebwa sana na chege
Au nkuulize....Ntajie hitsong ya mwisho temba kutoa kama hit song ilikua mwaka gani
Bila shaka ilikua 2009 nyimbo inaitwa Maneno nawafunza ...toka hapo ngoma zilizotamba hajafanya peke yake
Nilichouliza na ulichojibu ni vitu viwili tofautiKukaa muda mrefu kwenyw game sio hoja kabisa
Hoja ni je ana uwezo?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hayo ni mawazo yako nayaheshimuKalapina (YES)
Dudu Baya (YES)
Richie One (YES)
KR Mullah (YES)
Bou Nako (YES)
Maujanja (YES)
Mchizi Mox (Muombe Msamaha)
Jaffarai (Muombe Msamaha)
Mh. Temba (Muombe Msamaha)
Sugu (Muombe Msamaha)
Mike Tee (Nenda palee upigwe makonzi manne, kisha muombe msamaha)
Soggy Doggy (Nenda paleee upigwe makonzi 9, kisha umuombe msamaha)
We jamaa unajua sana mkuu, emu muelekeze huyu MTOTO wa 2010s aeleweHalafu kuna wimbo unaitwa HAKI
herufi zake chache sana neno HAAKI.