Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Kiukweli temba hana kipaji kabisa. Nyimbo zake alikuwa anaongea ongea tu maneno hovyo na wimbo wake uliompa umaarufu zaidi nd aliongea pumba vibaya mno( ule nampenda yeye). Lakini pia nyimbo we nd mchizi wangu remix yeye alionekana kabisa kuwa sio rapper tofauti na wenzie.
Shukrani mkuu
Unajua watu hapa wanajibu kwa mihemko tuu lakini hawa nliowataja ukiwafuatilia kwa makini utagundua hawana talent
 
1.Baba levo(Anapiga kelele nyingi)
2.Niki wa pili na Kaka yake johmakin(Hawa hawana kipaji ila wanabebwa kwakua wana connection kwenye kundi lao la weusi anaejua ni G warawara tu )
3.Darasa ( huyu aliotea maisha na mziki Basi Hadi leo anaimba kwa staili ileile ni kama anarudia nyimbo moja kila siku)
4.Best naso
5.Abdu kiba
6.Wakazi
7.Hbaba
Darasa kweli,Inaonekana we unapenda sana ngoma za asili

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
....... kwa maoni yangu, binafsi nakubaliana na wewe kwa upande mmoja na upande mwingine sikubaliani na wewe kutokana na yafuatayo........
......1. hujaweka kigezo ulichotumia kutambua msanii mwenye kipaji na asiye na kipaji, hii inapelekea kutokea kwa sababu zingine hapa chini........
......2.Hapo juumeshindwa kuwatambua wasanii wasio na kipaji, hivyo umechanganya wengi wenye kipaji na wachache wasio na kipaji cha muziki.....
......3.Umeshindwa kutambua nafasi ya muda(kipindi cha kuwa kwenye peak Kwa msanii), hii imepelekea wewe kudhani kuwa hawana kipaji, ipo siku utasema lucky dube hana kipaji coz reggae haisikiki sasaiv....
.......4.Wasanii wote uliowaweka hapo ni wa zamani, hivyo inaondoa uhalali wa wewe kumjaji kuwa hana kipaji, ungeweka walau hata wasanii wa sasa tungeweza kupata uhalisia kidogo wa kile ulichopresent........
....... Conclusion: Upo uwezekano kwamba umetumia hisia zaidi za kishabiki, kwa kutaka kuponda baadhi ya wasanii ambao huwa wanashindanishwa na wasanii ambao wewe ndo unawakubali.......
 
1.Baba levo(Anapiga kelele nyingi)
2.Niki wa pili na Kaka yake johmakin(Hawa hawana kipaji ila wanabebwa kwakua wana connection kwenye kundi lao la weusi anaejua ni G warawara tu )
3.Darasa ( huyu aliotea maisha na mziki Basi Hadi leo anaimba kwa staili ileile ni kama anarudia nyimbo moja kila siku)
4.Best naso
5.Abdu kiba
6.Wakazi
7.Hbaba
Kwenye hii list yako kuanza number 4 nakuabaliana na ww
 
Wewe wa 2017 utamwelewa wapi Sugu alikuepo tangu 1995 ? Eti kijana unanielewa kweli?
Kukaa muda mrefu kwenyw game sio hoja kabisa
Hoja ni je ana uwezo?
 
Temba mwanzon huko alifanya vizur ..ila ukitaka ujue jamaa hana uwezo ..mwambie atie solo projects uone kama ataweza tena kutoa hit song
Temba alibebwa sana na chege

Au nkuulize....Ntajie hitsong ya mwisho temba kutoa kama hit song ilikua mwaka gani
Bila shaka ilikua 2009 nyimbo inaitwa Maneno nawafunza ...toka hapo ngoma zilizotamba hajafanya peke yake
Mwaka wa shetan ilikuwa mwaka gani!?
 
Kalapina (YES)
Dudu Baya (YES)
Richie One (YES)
KR Mullah (YES)
Bou Nako (YES)
Maujanja (YES)

Mchizi Mox (Muombe Msamaha)
Jaffarai (Muombe Msamaha)
Mh. Temba (Muombe Msamaha)
Sugu (Muombe Msamaha)

Mike Tee (Nenda palee upigwe makonzi manne, kisha muombe msamaha)
Soggy Doggy (Nenda paleee upigwe makonzi 9, kisha umuombe msamaha)
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hayo ni mawazo yako nayaheshimu
 
Back
Top Bottom