Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Orodha ya wasanii wenye majina makubwa lakini kiuhalisia hawana vipaji

Mkuu nje ya Music Sugu nampa heshima kubwa sana katika kuupambania muziki wa Bongo fleva
Lakini kama tumeamua kuwa wakweli Sugu hana uwezo wa kisanaa kabisa , ukimskiliza vizuri kama kweli una sikio la music utagundua jamaa ni wakawaida kinyama
Kiukweli tu watanzania wanshindwa kutofautisha heshima na kipaji. Sugu kipaji cha muziki hakuna ila heshima anayo na yote ni kwasababu wakati wanaimba wao hakukuwa na ushindani, so ata ukiimba vibaya hakuna wakukushinda nisha nae.
 
Kwa iyo ili msanii awe na kipaji inatakiwa atoe hit song ngap?,Mb dog hit song ya mwisho ni ya mwaka gani? na je naye hakuwa na kipaji?
list yko haiko sawa nlzan labda ungetaja wale wasio na uwezo kabisa au waliokuwa wanabebwa na media
Mkuu una hoja lakini ukweli ni kuwa hiyo list wote hawana talent
 
Ndomana mziki wa sasa unaendana na ushoga ...mziki sahv umechukua nafasi ya taarab wakati ule show zao mashoga lazima wajae
Na sahv mziki mashoga wanajaaa

Ova
Tajiri list umeipitia?
 
Utawaelewa wapi na wewe msoftee sio msugu. Ukiona jambo hulielewi sio kwa ajili yako.

Fido Vatoo utaweza kumsikiliza, Bou Nako? Nenda kacheza unakochezaga.
Sasa fido vato naye msanii au mbabaishaji hivi unajua talent ww
 
Wewe hujui maana ya mziki Sugu ukimtoa prof Jay Hakuna Mtu talented Kama Sugu katika hip hope sema nyie watoto wa siku ushoga ndo mnaausudu
Hivi unajua maana ya talent
 
Hao wote uliowataja waambie watoe hit song kwa kipindi hiki kudhihirisha ukali wao ..hao wote hawana uwezo
Hapa ndio umevuruga sasa..kwani msanii akishindwa kutoa hit kwa kipindi ambacho yupo nje ya muziki kwa muda mrefu sababu kubwa inakua ni kwamba hana kipaji?
Mb dog kapiga magoma mangapi hatari enzi zake na alipojaribu kurudi akashindwa tafsiri ni Hana kipaji?
Muziki unabadirika na njia pia za ku push kazi zinakua tofauti iyo ndio inayowafanya wasanii wengi wa zamani washindwe kurudi kama walivyokua zamani.
 
Soggy doggy ana hits kali

Nilikaona mwaka jana
Story

Mtoa mada umelewa.....

Unamjua Sugu wewe????pumbacpv kabisa
Pumbavu mimi au ww [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom